mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
CCmu fanatic anamwabudu His Highness the StoneHuwa nasoma majibu yako kwenye jukwaa la kisiasa kule, serikali ya Tanzania ikitangaza kufanya kitu kama hiki halafu wapinzani waponde, huwa unakua mkali sana kwao, ila ikitangazwa Kenya huwa unakua wa kwanza kuponda, sijui unawezaje kujibadilisha badilisha.