Kenya yaanza zoezi la kunyunyiza dawa kote kama juhudi dhidi ya kuzuia kirusi kuenea

Kenya yaanza zoezi la kunyunyiza dawa kote kama juhudi dhidi ya kuzuia kirusi kuenea

Huwa nasoma majibu yako kwenye jukwaa la kisiasa kule, serikali ya Tanzania ikitangaza kufanya kitu kama hiki halafu wapinzani waponde, huwa unakua mkali sana kwao, ila ikitangazwa Kenya huwa unakua wa kwanza kuponda, sijui unawezaje kujibadilisha badilisha.
CCmu fanatic anamwabudu His Highness the Stone
 
Back
Top Bottom