Kenya yachukua mkopo mwengine, yapuuza ushauri wa WB wa kuacha kukopa kizembe

Kenya yachukua mkopo mwengine, yapuuza ushauri wa WB wa kuacha kukopa kizembe

Hahahaha, sema hakuna nchi yenye deni kubwa kama "Mungu wa Kenya", Marekani kwenu ni zaidi ya Mungu, kila mkiona hamna njia ya kujitetea lazima mjilinganishe na Marekani, kwanini WB wasiwaonye Marekani kwamba deni lao halibebeki tena?,

Gari yenye uwezo wa kubeba tani 50 hata ikibeba tani 40, bado haijafikia kikomo, wakati gari la tani 7 ilibeba tani 8 tu ni hatari, wacha kujilinganisha na "Engine" kubwa utapata taabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Interest ni 0.1 tumia akili wewe babu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As Tanzania's Albino Killings Continue, Unanswered Questions Raise Fears
 
People have been trying to kill Josephat Torner since the day he was born.
In his rural Tanzania hometown, some encouraged Torner's parents to poison him, saying an albino baby was a curse.
 
People have been trying to kill Josephat Torner since the day he was born.
In his rural Tanzania hometown, some encouraged Torner's parents to poison him, saying an albino baby was a curse.
What about the Campaign of killing and eradicating Jaluo Community which is under sponsorship of GoK?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom