Interest ni 0.1 tumia akili wewe babuHahahaha, sema hakuna nchi yenye deni kubwa kama "Mungu wa Kenya", Marekani kwenu ni zaidi ya Mungu, kila mkiona hamna njia ya kujitetea lazima mjilinganishe na Marekani, kwanini WB wasiwaonye Marekani kwamba deni lao halibebeki tena?,
Gari yenye uwezo wa kubeba tani 50 hata ikibeba tani 40, bado haijafikia kikomo, wakati gari la tani 7 ilibeba tani 8 tu ni hatari, wacha kujilinganisha na "Engine" kubwa utapata taabu
Sent using Jamii Forums mobile app
What about the Campaign of killing and eradicating Jaluo Community which is under sponsorship of GoK?People have been trying to kill Josephat Torner since the day he was born.In his rural Tanzania hometown, some encouraged Torner's parents to poison him, saying an albino baby was a curse.
Huyo nyang'au keshapanick.Argue politely ndugu, acha hasira,joto la jiwe amepost kilichoandikwa,usijiaibishe humu ukadharaulika.
keshapanick ni mboga ya kisukuma ama nini mnatuaibisha nyie wadanganyikaHuyo nyang'au keshapanick.
Haisaidii kitu.keshapanick ni mboga ya kisukuma ama nini mnatuaibisha nyie wadanganyika
Hahaha, kunywa soda baridi ili ubongo upoe kidogo, naona kichwa kimepata motokeshapanick ni mboga ya kisukuma ama nini mnatuaibisha nyie wadanganyika