Kenya yaendelea kuiga Tanzania, yafungua anga lake kuanzia mwezi wa June

Kenya yaendelea kuiga Tanzania, yafungua anga lake kuanzia mwezi wa June

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Wenye kumbukumbu nzuri watakumbuka kwamba, mwanzoni wa huu ugonjwa nilisema Tanzania ni mfano wa kuigwa katika mapambano dhidi ya Corona.

Tanzania ni nchi ya kwanza hapa Africa kufungua uchumi wake na kuruhusu safari za ndege kuanza kuingia na kutoka. Tanzania haikuwahi kufunga mipaka yake zaidi ya kusimamisha safari za ndege za abiria.

Tanzania imeamua kufungua mipaka yake baada ya kujiridhisha kwamba wagonjwa wa Covid nchini wamepingua hivyo shughuli za usafiri zinaweza kuendelea.

Kenya imeendelea kutangaza wagonjwa kila siku, na idadi ya wagonjwa imekua ikiongezeka kwa kasi sana, jambo la kushangaza ni Kenya kuamua kufungua anga na kuruhusu ndege za abiria kuanza kuingia na kutoka, wakati ambapo Nairobi ipo chini ya vikwazo vya kutoka na kuingia jijini humo.

Katika account yake ya twitter, rais Uhuru Kenyatta Jana alisema kwamba kutokana na idadi kubwa ya maambukizi, Jiji la Nairobi litaendelea kuwa chini ya karantini kwa muda mrefu zaidi. Swali la kujiuliza, kama Nairobi itaendelea kuwa na karantini hakuna watu wanaoruhusiwa kuingia na kutoka, hizo ndege za abiria zitatua uwanja gani kama sio JKIA?.

Kweli Kenya ilistahili kuanza kuruhusu ndege za abiria, au imeamua kufanya hivyo ili kushindana na Tanzania, lengo ni kuhakikisha watalii wasitembelee Tanzania pekee?

Source: Kenya Airways To Resume Passenger Operations In June
 
You guys must really be looking up to Kenya, yani Kenya ikifanya jambo ambalo nyinyi mnafanya hio ni sifa kwenu.
😀 😀 😀
 
Rais Magufuli Mwenyezi Mungu kampa karama na ujasiri wa kukataa kubariki Mradi wa hofu wa kina Bill gates na WHO
 
You guys must really be looking up to Kenya, yani Kenya ikifanya jambo ambalo nyinyi mnafanya hio ni sifa kwenu.
😀 😀 😀
Jibu hoja ya msingi, iweje mnataka kuruhusu ndege za abiria wakati Nairobi bado ipo chini ya karantini, hakuna watu wanaoruhusiwa kuingia wala kutoka?. Copy & Paste"
 
Jibu hoja ya msingi, iweje mnataka kuruhusu ndege za abiria wakati Nairobi bado ipo chini ya karantini, hakuna watu wanaoruhusiwa kuingia wala kutoka?. Copy & Paste"
Tena maambukizi yemeongezeka mara dufu au kwasababu wazungu wamefungua, uongozi wa Kenya ni sawa na kichwa Cha mwendawazimu, Yani kumbe hawakufunga sababu ya ugonjwa walifunga sababu wazungu wamefunga.
 
Jibu hoja ya msingi, iweje mnataka kuruhusu ndege za abiria wakati Nairobi bado ipo chini ya karantini, hakuna watu wanaoruhusiwa kuingia wala kutoka?. Copy & Paste"
Because Air Travel is easier to regulate and control. Nairobi is closed because the road transport is very busy, you cannot test everyone who is traveling.

The country will be opened up slowly as risks as evaluated.

The next thing to be lifted will be the night curfew.
 
Because Air Travel is easier to regulate and control... Nairobi is closed because the road transport is very busy, you cannot test everyone who is traveling.
The country will be opened up slowly as risks as evaluated.

The next thing to be lifted will be the night curfew...
Uhuru si alisema only cargo transport is allowed across Kenya's border? Hii inakaaje sasa? Have passengers become cargo!?
 
Uhuru si alisema only cargo transport is allowed across Kenya's border? Hii inakaaje sasa? Have passengers become cargo!?
Soma thread vizuri, "is planning to resume passenger planes", not started yet
 
Tena maambukizi yemeongezeka mara dufu au kwasababu wazungu wamefungua, uongozi wa Kenya ni sawa na kichwa Cha mwendawazimu, yani kumbe hawakufunga sababu ya ugonjwa walifunga sababu wazungu wamefunga.
Wazungu wanafungua rasmi june 8,so sio mbaya kwa wazungu weusi wa kibera kuwafuatisha wazungu wenzao 😀
 
soma thread vizuri, "is planning to resume passenger planes", not started yet
How can you planning to buy a pair of Sox before a pair of shoes. Actually Uhuru Kenyatta has announced to continue with stringent measures for Nairobi and Mombasa, how come you plan to open air space next month while president is planning to increase more restrictions?. Kenya you don't know what you want apart from cut & paste.
 
How can you planning to buy a pair of Sox before a pair of shoes. Actually Uhuru Kenyatta has announced to continue with stringent measures for Nairobi and Mombasa, how come you plan to open air space next month while president is planning to increase more restrictions?. Kenya you don't know what you want apart from cut & paste.

Unaelewa unachosema? are you saying it's not possible to open international air travel while road transport is closed?
 
Because Air Travel is easier to regulate and control... Nairobi is closed because the road transport is very busy, you cannot test everyone who is traveling.
The country will be opened up slowly as risks as evaluated.

The next thing to be lifted will be the night curfew...
The issue is: The reasons behind the closure and lockdown are more stronger now than before!! If that is the case why are you now opening? There are more new covid 19 cases now than before!
 
Unaelewa unachosema? are you saying it's not possible to open international air travel while road transport is closed?
Wacha upuuzi wewe, Nairobi ipo kwenye restrictions yenye kuzuia watu kuingia au kutoka, bila kujali means wanayotumia. Sasa hao wageni wakitua JKIA, wengi wanapita kuelekea sehemu mbali mbali za nchi kwa ajili ya utalii, wengi watatumia barabara, ninyi mumechanganyikiwa, Tanzania inawanyima usingizi mumebaki kuiga kila tunalofanya bila hata ya kujipanga.
 
Kenya Airways To Resume Passenger Operations In June

Wenye kumbukumbu nzuri watakumbuka kwamba, mwanzoni wa huu ugonjwa nilisema Tanzania ni mfano wa kuigwa katika mapambano dhidi ya Corona.

Tanzania ni nchi ya kwanza hapa Africa kufungua uchumi wake na kuruhusu safari za ndege kuanza kuingia na kutoka. Tanzania haikuwahi kufunga mipaka yake zaidi ya kusimamisha safari za ndege za abiria.

Tanzania imeamua kufungua mipaka yake baada ya kujiridhisha kwamba wagonjwa wa Covid nchini wamepingua hivyo shughuli za usafiri zinaweza kuendelea.

Kenya imeendelea kutangaza wagonjwa kila siku, na idadi ya wagonjwa imekua ikiongezeka kwa kasi sana, jambo la kushangaza ni Kenya kuamua kufungua anga na kuruhusu ndege za abiria kuanza kuingia na kutoka, wakati ambapo Nairobi ipo chini ya vikwazo vya kutoka na kuingia jijini humo.

Katika account yake ya twitter, rais Uhuru Kenyatta Jana alisema kwamba kutokana na idadi kubwa ya maambukizi, Jiji la Nairobi litaendelea kuwa chini ya karantini kwa muda mrefu zaidi. Swali la kujiuliza, kama Nairobi itaendelea kuwa na karantini hakuna watu wanaoruhusiwa kuingia na kutoka, hizo ndege za abiria zitatua uwanja gani kama sio JKIA?.

Kweli Kenya ilistahili kuanza kuruhusu ndege za abiria, au imeamua kufanya hivyo ili kushindana na Tanzania, lengo ni kuhakikisha watalii wasitembelee Tanzania pekee?
Mbona maelezo yako yanakinzana? Mara tz haijawahi funga mipaka halafu unasema tz imefungua mipaka, tushike lipi?
 
Magufuli alimwambia Uhuru kwenye simu. Kenyans must respect Magu the Chato regime
 
Back
Top Bottom