Kenya yaendelea kuiga Tanzania, yafungua anga lake kuanzia mwezi wa June

Kenya yaendelea kuiga Tanzania, yafungua anga lake kuanzia mwezi wa June

Kelele ya kwanza kwa magufuli....weee🗣
Kelele ya pili kwa magufuli............weeewee🗣🗣
Kelele ya tatu kwa magufuli........weeweeweweeeee🗣🗣🗣
🇰🇪 hawana jipya na wataisoma namba wataiga kila kitu
Hakuna kelele kW makonda?
 
You guys must really be looking up to Kenya, yani Kenya ikifanya jambo ambalo nyinyi mnafanya hio ni sifa kwenu.
😀 😀 😀
Kha mtoe huyo hapo juu.
 
Back
Top Bottom