Kenya yaendelea kuiga Tanzania, yafungua anga lake kuanzia mwezi wa June

Kelele ya kwanza kwa magufuli....weee🗣
Kelele ya pili kwa magufuli............weeewee🗣🗣
Kelele ya tatu kwa magufuli........weeweeweweeeee🗣🗣🗣
🇰🇪 hawana jipya na wataisoma namba wataiga kila kitu
Hakuna kelele kW makonda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…