Kojoa ukalalemnavyotojadili huu uzi ni kama Tanzania na Kenya ni maadui wakubwa wakati juzijuzi tumeshuhudia Kenya wakirudisha dhahabu na fedha zilizoibiwa Tanzania.
East Afrika ni moja na sisi ni ndugu ndio maana kuna wajaruo na wamasai nchi zote
Itina riri ria ngiri!Narudia tena Mkikuyu kwenye Mali na Ardhi anakudedisha live.
Yupo kule ambapo wanaume wanaolewa na wanaume wenzo " Mombasa "Upo turkana kumbe
Vichannel vyenu viko cheap siyo lazima Dstv, ata ukiwa na antenna ya panzi unavipata.That guy wishes he was a Kenyan. Yaani alikuwa anawatch hii kitu live at the same time yenye sisi huku Kenya pia tunaiwatch live. Lazima ako na Dstv kutazama vipindi vya Kenya halafu anatutusi kila siku.
Kama ambavyo tafiti zimeitaja Kenya kuwa miongoni mwa nchi hatari duniani na kushika nafasi ya 7 duniani kote, hili limeendelea kudhihirika baada ya mwili wa mzungu tajiri aliyekuwa katika mzozo wa kutalikiana na mkewe toka kabila la Kikuyu kuokotwa porini.
Bwana Tob Cohen alikuwa ni miongoni mwa wazungu wanaomiliki uchumi wa Kenya na amewekeza sana Kenya, ikiwemo mashamba na viwanda. Tob Cohen hakujua kwamba anawekeza ktk nchini hatari sana hapa duniani, kibaya zaidi akaamua kuoana na mama wa kabila katili zaidi hapa Afrika Mashariki na kati.
R.I.P .... Tob Cohen.
Although most visits to Tanzania are trouble-free, violent and armed crime is increasing. Take sensible precautions to protect yourself and your belongings.Hahahaha, hahahaha, Nina uhakika wewe sio miongoni mwa hilo kabila.
Mambo vipi hapo Nairobi?
Ndio maana they are your favorite channels 😉Vichannel vyenu viko cheap siyo lazima Dstv, ata ukiwa na antenna ya panzi unavipata.
Hahaha sawaVichannel vyenu viko cheap siyo lazima Dstv, ata ukiwa na antenna ya panzi unavipata.
Imagine hata mimi niko Kenya na sijawatch kwa TV, nimeiona tu Facebook yet yeye anawatch life. Kweli Kenya is the USA of East Africa.That guy wishes he was a Kenyan. Yaani alikuwa anawatch hii kitu live at the same time yenye sisi huku Kenya pia tunaiwatch live. Lazima ako na Dstv kutazama vipindi vya Kenya halafu anatutusi kila siku.
Ila mnavipenda hata hamuangalii vyenu. 😅 😅 😅Vichannel vyenu viko cheap siyo lazima Dstv, ata ukiwa na antenna ya panzi unavipata.
Imagine hata mimi niko Kenya na sijawatch kwa TV, nimeiona tu Facebook yet yeye anawatch life. Kweli Kenya is the USA of East Africa.
Nephew Alleges Death Threats After Winning Case Against Nyong'o
Returning from the court in the evening, a well-built man approached him while he was waiting for...www.kenyans.co.ke
Hivi ndivyo nchi yenu ilivyo, "man eat man". Hovyo kabisa ninyi.
Peace indexSecond opposition politician killed in Tanzania
Godfrey Luena was hacked to death at his home.www.nation.co.ke
Yet richer than your coward state.Peace index
Tanzania. 1.86. Namba 53 Duniani
Kenya. 2.3. Namba 124 Duniani
Failed state.
Richer but you kill each other like Afghanistan, no one is sure of tomorrow, which is better?Yet richer than your coward state.
Kenya GDP 2019 - $100 billion
Tanzania GDP 2019 - $60 billion
Most dangerous cities in Africa, Again Nairobi among top ten.Yet richer than your coward state.
Kenya GDP 2019 - $100 billion
Tanzania GDP 2019 - $60 billion
Hio ni uwongo. Afghanistan ni war zone. How dare you compare Kenya to a war zone. Afghanistan is worse than Somalia. Hata kama ni chukiRicher but you kill each other like Afghanistan, no one is sure of tomorrow, which is better?
When it comes to police killings and extra judicial killings, Kenya tops the list in Africa.https://www.nation.co.ke/news/Kenya-top-Africa-police-shootings/1056-3824890-1183k27/index.htmlHio ni uwongo. Afghanistan ni war zone. How dare you compare Kenya to a war zone. Afghanistan is worse than Somalia. Hata kama ni chuki
Last 2 weeks zaidi ya watu mia walikufa Afghanistan juu ya terrorism hadi Trump akacancel peace agreement na Taliban. Watu wangapi Kenya walikufa last week juu ya police shotings?When it comes to police killings and extra judicial killings, Kenya tops the list in Africa.https://www.nation.co.ke/news/Kenya-top-Africa-police-shootings/1056-3824890-1183k27/index.html
Sina chuki na Kenya, ninataka kuwa onyesha mambo ya msingi mnapaswa kuyashughulikia, sio vitu mnavyoshabikia ambavyo sio muhimu kwa sasa
Hahahaha, Mdude ndio nani tena?, sisi tunakuletea habari za Leo Leo ambazo hutokia kila siku huko Kenya. Hii ndio sababu Forbes imeiweka Kenya ni namba 7 katika nchi hatari zaidi duniani, kwa mwendo huu ni wazi " next report" Kenya itapanda hadi namba 2 " watch my words".