We jamaa umeshindwa kusoma post za juu kipindi tunarekebishana hilo neno???Screenshot hilo neno hapa..na halafu ukasema eti vyema ni kiswahili cha kenya..unatia aibu bro
We jamaa umeshindwa kusoma post za juu kipindi tunarekebishana hilo neno???
Ebu soma juu kuna sehemu nimempa na link usifufue vilivyokufa.
Acha kuwa kama mtoto siwez kufufua vilivyokufa.Naona umeshindwa na hoja...m napinga hakuna neno vema bali ni vyema..[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1209418
Naomba utengue kauli yako ama ulete ushahidi
Wacha kerere msera. 😅 😅 😅Tatizo lao..kujua kiswahili nikuongea km wao..km kufuri, mpila[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Miaka sawa na wale walioua Jaluo 67 katika maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliopita 2017Aliyemuua akwilina..amefungwa miaka mingapi
Miaka sawa na wale walioua Jaluo 67 katika maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliopita 2017
Wacha kerere msera. [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Acha kuwa kama mtoto siwez kufufua vilivyokufa.
Soma post #126 nilikwishamalizana na mwenzio naona na ww unataka kuleta ubishan mm siwez kubishana.
Ninyi ukabila wenu unawaletea hasara kubwa, ona jinsi mnavyouliwa na POLISI wenu na mnavyouana kila kipindi cha uchaguzi lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.Santa sana...lkn ujue akwilina yeye risadi ilifyetuliwa juu ikakata kona...
Kisha kemu na nynyi jaribuni kuandamana baada hta km ni kupinga utekaji uone mtakavyochakazwa...mtazikwa makundi makundi km wale jamaa wa boti
Sometime woga wenu huaga unawaupushia mambo mengi sana..lkn ile siku mtajaribu..ndio mtawatambua poli ccm vizuri...
Tz hatuna UPUMBAVU kama wa Kenya.Santa sana...lkn ujue akwilina yeye risadi ilifyetuliwa juu ikakata kona...
Kisha kemu na nynyi jaribuni kuandamana baada hta km ni kupinga utekaji uone mtakavyochakazwa...mtazikwa makundi makundi km wale jamaa wa boti
Sometime woga wenu huaga unawaupushia mambo mengi sana..lkn ile siku mtajaribu..ndio mtawatambua poli ccm vizuri...
We kweli mbukinya.Screenshot tu imekushinda..halafu unajitetea..eti hutaki ubishi...
Sawa blaza...nimekuerewa...rakini kejeri sitaki ujue...hii si simba wara yanga, ni kuhusu selikari yetu tukufu
Fleshi kakablaza, tunatumai laisi wetu mtukufu Magufuri atafanya kama Mwarimu arivyotuereza. Mungu ibaliki Tanzania, Mungu ibaliki rugha yetu ya Kiswahiri.
Hahahaha, Hahahaha, hahahaha. Hii nimeipenda sana.We blaza kumbe mzarendo wa hajabu..Munge irinde nchi yetu ya asari na maziwa
Unadhani Kama Rais angekuwa Rutto. Dhahabu mngepata hiyo? Mshukuru UMK/JPM maswahiba.. TANZANIA tushukuru Sana Mungu. Kuwepo kwa Uhuru Kmnavyotojadili huu uzi ni kama Tanzania na Kenya ni maadui wakubwa wakati juzijuzi tumeshuhudia Kenya wakirudisha dhahabu na fedha zilizoibiwa Tanzania.
East Afrika ni moja na sisi ni ndugu ndio maana kuna wajaruo na wamasai nchi zote
MjombaHakuna neno "ako" ktk kiswahili mnatuharibia lugha kijana.
Msituharibie lugha yetu.
Nitajie mzizi wa hilo neno "ako".
Hahahaah duh bro kwahiyo mjombaako ndio msamiati mzizi ako???!!!!!!Mjomba