Kenya yaendelea kuthibitisha kwamba si nchi usalama, Tajiri wa kizungu auliwa kinyama

Screenshot hilo neno hapa..na halafu ukasema eti vyema ni kiswahili cha kenya..unatia aibu bro
We jamaa umeshindwa kusoma post za juu kipindi tunarekebishana hilo neno???
Ebu soma juu kuna sehemu nimempa na link usifufue vilivyokufa.
 
Naona umeshindwa na hoja...m napinga hakuna neno vema bali ni vyema..[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
We jamaa umeshindwa kusoma post za juu kipindi tunarekebishana hilo neno???
Ebu soma juu kuna sehemu nimempa na link usifufue vilivyokufa.

Naomba utengue kauli yako ama ulete ushahidi
 
Naona umeshindwa na hoja...m napinga hakuna neno vema bali ni vyema..[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1209418
Naomba utengue kauli yako ama ulete ushahidi
Acha kuwa kama mtoto siwez kufufua vilivyokufa.
Soma post #126 nilikwishamalizana na mwenzio naona na ww unataka kuleta ubishan mm siwez kubishana.
 
Santa sana...lkn ujue akwilina yeye risadi ilifyetuliwa juu ikakata kona...
Kisha kemu na nynyi jaribuni kuandamana baada hta km ni kupinga utekaji uone mtakavyochakazwa...mtazikwa makundi makundi km wale jamaa wa boti
Miaka sawa na wale walioua Jaluo 67 katika maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliopita 2017

Sometime woga wenu huaga unawaupushia mambo mengi sana..lkn ile siku mtajaribu..ndio mtawatambua poli ccm vizuri...
 
Screenshot tu imekushinda..halafu unajitetea..eti hutaki ubishi...
Acha kuwa kama mtoto siwez kufufua vilivyokufa.
Soma post #126 nilikwishamalizana na mwenzio naona na ww unataka kuleta ubishan mm siwez kubishana.
 
Ninyi ukabila wenu unawaletea hasara kubwa, ona jinsi mnavyouliwa na POLISI wenu na mnavyouana kila kipindi cha uchaguzi lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.

Watu zaidi ya 2000 waliuliwa wakati wa PEV 2007 na hakuna mtu hata mmoja aliyewajibishwa, haijawahi tokea duniani. "Kenya is a failed state."
 
Tz hatuna UPUMBAVU kama wa Kenya.
Huku ukiandamana kuipinga serikali utapigwa marungu ukalale lakini sio kupigwa risasi km kwenu.
 
Sawa blaza...nimekuerewa...rakini kejeri sitaki ujue...hii si simba wara yanga, ni kuhusu selikari yetu tukufu

Fleshi kakablaza, tunatumai laisi wetu mtukufu Magufuri atafanya kama Mwarimu arivyotuereza. Mungu ibaliki Tanzania, Mungu ibaliki rugha yetu ya Kiswahiri.
 
Ndio maana Ali Kiba kampa talaka tatu Bii Amina Mkenya. Tusubiri Simba Modi
 
mnavyotojadili huu uzi ni kama Tanzania na Kenya ni maadui wakubwa wakati juzijuzi tumeshuhudia Kenya wakirudisha dhahabu na fedha zilizoibiwa Tanzania.
East Afrika ni moja na sisi ni ndugu ndio maana kuna wajaruo na wamasai nchi zote
Unadhani Kama Rais angekuwa Rutto. Dhahabu mngepata hiyo? Mshukuru UMK/JPM maswahiba.. TANZANIA tushukuru Sana Mungu. Kuwepo kwa Uhuru K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…