Kenya yafikiria kurejesha chanjo Urusi

Kenya yafikiria kurejesha chanjo Urusi

Rais mpya wa Burundi hata msibani kule Chato hakuhudhuria.

Hehehe!! Huyo rais mpya hataki kujiunga kwenye huo ujuha, alitia akili, na akina Museveni na Kagame hawataki mzaha walikaa mbali....
Corona haijui cha urais wala nini, inafagia wote ukiichukulia poa unajifanya komando.
Inatia huruma kuona bado kuna Watanzana wanaamini chanjo imebuniwa kuwadhuru wao pekee yao duniani.
 
Maana nyuzi zimerindima za Watanzania za kuponda chanjo, ilhali duniani watu mamilioni wanaendelea kuchanjwa.
Corona mlisema imebuniwa kuwakwamisha kiuchumi, sasa chanjo mnasema ipo ili iwazuie Watanzania kuzaa hehehe
Ila mkuu chanjo inaweza kukaa kibiashara mda mwingine maana hao watu hawaeleweki aisee
 
Maana nyuzi zimerindima za Watanzania za kuponda chanjo, ilhali duniani watu mamilioni wanaendelea kuchanjwa.
Corona mlisema imebuniwa kuwakwamisha kiuchumi, sasa chanjo mnasema ipo ili iwazuie Watanzania kuzaa hehehe
Ila mkuu chanjo inaweza kukaa kibiashara mda mwingine maana hao watu hawaeleweki aisee
 
Yaani wakenya wanavyojidai na ni hii Corona utadhani inawapa umaarufu duniani

Viongozi wao wameikumbatia sababu ni kichochoro kizuri cha kupigia hela za misaada na kuchukulia mikopo ya kila aina

Kajamba nani wapo migandaoni wakishangiliaa na kufurahia wakiungwa mikono na keyboard warriors wa kitanzania wasiojua unyumbu wao unawaumbua

Hapo mkoloni wa kichina kipitia boss lao kapiga marufuku dawa ya mrusi viguinea pigs vinachekeleeeaaaaa
 
Yaani wakenya wanavyojidai na ni hii Corona utadhani inawapa umaarufu duniani

Viongozi wao wameikumbatia sababu ni kichochoro kizuri cha kupigia hela za misaada na kichukulia mikopo ya kila aina

Kajamba nani wapo migandaoni wakishangiliaa na kufurahia wakiungwa mikono na keyboard warriors wa kitanzania wasiojua unyumbu wao unawaumbua

Hapo mkoloni wa kichina kipitia boss lao kapiga marufuku dawa ya mrusi viguinea pigs vinachekeleeeaaaaa
Hahahahahahaha 🤣🤣🤣 wakenya bhana
 
Hiyo sio mifano mizuri.

Boris Johnson alipoponea tundu la sindano alirudi na adabu kubwa sana akatia lockdown ya nguvu UK na kusisitiza kila kinga itumike kuanzia barakoa, S distancing nk. Aliacha ubishi kabisa.

Trump hakuugua; alipata maambukizi tu akaji-isolate. Lakini kwa uhuni, yeye na familia yake wakachanja kwa siri mapema akiwa bado Rais White House huku akiendelea kuiponda corona hadharani mbele ya wafuasi wake! Majuzi tu kaamua kuwasisitizia wafuasi wake wachanje, eti “it’s safe, it’s working!”

saa hizi wameondoa lockdow uk yote.

maisha bila maono ni kukata tamaa,rip magufuli.
 
Mtatafuta kila taarifa za kujifariji huo ujuha wenu wa kijekentile wa kupingana na sayansi, lakini bado mtaambulia sifuri.....hapa nasubiri kwa hamu zamu yangu ya kuchanjwa ifike. Kwanza mjue waislamu wenu hawatakwenda kuhiji bila chanjo.
Nawashangaa sana, yaani mumepoteza hadi rais lakini bado mnaendeleza ujuha, yaani duniani kote nyie tu na Burundi ndio mumepoteza marais, hao Burundi waliiga ujuha huu wenu yakawakuta, pale marehemu rais wao alisema kwao hakuna corona imeisha kwa maombi......hehehehe mnachekesha sana.

sisi kama waafrica wengine tunaacha kwanza viherehere yawakute tujue tunashika wapi.

vipi wahanga 200 wanaendeleaje??
 
sisi kama waafrica wengine tunaacha kwanza viherehere yawakute tujue tunashika wapi.

vipi wahanga 200 wanaendeleaje??
Kweli mkuu ngoja watest kwanza wao
 
Ila mkuu chanjo inaweza kukaa kibiashara mda mwingine maana hao watu hawaeleweki aisee

Of course chanjo ni biashara, hautegemei mtu ahangaike kutengeza vyote hivyo kisha akuletee bure ilhali dunia yote watu wanapigana vikumbo wakiifuata. Hata chanjo ambazo huwa mnazikubali huko kama vile dhidi ya homa ya njano n.k. Zote kuna watu wameingia gharama hivyo lazima zilipiwe.
Hata hayo mavitu huwa mnafanya huko sijui kujifukiza, sidhani kama mnapewa viungo au recipe yake bure.
 
sisi kama waafrica wengine tunaacha kwanza viherehere yawakute tujue tunashika wapi.

vipi wahanga 200 wanaendeleaje??

Huku mkiendelea kupoteza viongozi kwa ukijenketile wenu na ujuha, ni nyie tu dunia mumepoteza rais.....mumejitakia misiba
 
Of course chanjo ni biashara, hautegemei mtu ahangaike kutengeza vyote hivyo kisha akuletee bure ilhali dunia yote watu wanapigana vikumbo wakiifuata. Hata chanjo ambazo huwa mnazikubali huko kama vile dhidi ya homa ya njano n.k. Zote kuna watu wameingia gharama hivyo lazima zilipiwe.
Hata hayo mavitu huwa mnafanya huko sijui kujifukiza, sidhani kama mnapewa viungo au recipe yake bure.
🙏🙏🙏
 
Huku mkiendelea kupoteza viongozi kwa ukijenketile wenu na ujuha, ni nyie tu dunia mumepoteza rais.....mumejitakia misiba

we mkun kweli kweli.

kwahiyo sababu kuharisha wanakufa walala hoi pekee hapo kenya,basi hamna shida kushughulikia ugonjwa huo.

ila corona sababu itaua na viongozi basi mnalowana makalio???
 
we mkun kweli kweli.

kwahiyo sababu kuharisha wanakufa walala hoi pekee hapo kenya,basi hamna shida kushughulikia ugonjwa huo.

ila corona sababu itaua na viongozi basi mnalowana makalio???

Hehehe!! Hapo umeguswa ndipo penyewe nilipokusudia, sio kwa matusi yote hayo.
 
Wao waliumwa ila kwa vile wana akili, hawakuficha, wakaanza kutibiwa mapema.
Corona ukigundua unayo, kabla haijawahi kwenye mapafu, unaipiga vita fasta tu. Lakini ikishafika huko, hamna namna ila kulazwa upumulie mashini na ole wako ikukute una matatizo mengine kama ya moyo vile, ndio basi.
Mkuu Boris kaponea tundu la sindano halafu unasema habari za kuwahi mapema,binafsi mie nilidhani hachomoki labda useme tu huduma tu aliyokuwa anapatiwa ndio iliyomsaidia.
 
Hiyo sio mifano mizuri.

Boris Johnson alipoponea tundu la sindano alirudi na adabu kubwa sana akatia lockdown ya nguvu UK na kusisitiza kila kinga itumike kuanzia barakoa, S distancing nk. Aliacha ubishi kabisa.

Trump hakuugua; alipata maambukizi tu akaji-isolate. Lakini kwa uhuni, yeye na familia yake wakachanja kwa siri mapema akiwa bado Rais White House huku akiendelea kuiponda corona hadharani mbele ya wafuasi wake! Majuzi tu kaamua kuwasisitizia wafuasi wake wachanje, eti “it’s safe, it’s working!”
Kwani we umenielewa vp mkuu?
 
Mkuu Boris kaponea tundu la sindano halafu unasema habari za kuwahi mapema,binafsi mie nilidhani hachomoki labda useme tu huduma tu aliyokuwa anapatiwa ndio iliyomsaidia.

Pia inategemea imekukuta katika hali gani, kuna baadhi ya hawa viongozi wana makitu kwenye miili yao inasubiri kiberiti tu.....

Lakini corona ukiigundua mapema kabla haijapenya, una uwezo wa kuipiga, maelezo mengi yametolewa kuhusu hili, hata huko kufukiza huwa mnafanya, ukiwahi kufukiza kabla haijatua kwenye mapafu unaweza ukaichomoa, ila ikishafika huko basi ni wewe na Mungu wako.
 
Pia inategemea imekukuta katika hali gani, kuna baadhi ya hawa viongozi wana makitu kwenye miili yao inasubiri kiberiti tu.....

Lakini corona ukiigundua mapema kabla haijapenya, una uwezo wa kuipiga, maelezo mengi yametolewa kuhusu hili, hata huko kufukiza huwa mnafanya, ukiwahi kufukiza kabla haijatua kwenye mapafu unaweza ukaichomoa, ila ikishafika huko basi ni wewe na Mungu wako.
Wewe umekazania kuwahi tu kwahiyo Boris alichelewa au aliwahi?
 
Back
Top Bottom