muznaabdallah
Member
- Mar 14, 2020
- 58
- 233
Swahili Times
@swahilitimes
·
5h
Mwanaume mmoja mkazi wa Kibundani katika Kaunti ya Kwale nchini Kenya amefariki dunia baada ya kupigwa na kundi la watu wakimtuhumu kuwa na Coronavirus. Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo.
[https://pbs]
Sent using Jamii Forums mobile app
Fatilia vizuri Burkina FasoKorona bado haija ua ngozi nyeusi..Wabongo endeleeni na biashara, huku kenya mnajua tuna penda kuiga ya mabeberu ila mimi sina upuuzi huo..Nipo klabu ya "Garage" Thika town kenya na bugia machozi ya simba..
Watanzania waliopo kenya msiondoke kabla ya kupitia bata ya "garage" Thika town - Kila aina ya raha ipo tena ya kukata na shoka
Swahili Times
@swahilitimes
·
5h
Mwanaume mmoja mkazi wa Kibundani katika Kaunti ya Kwale nchini Kenya amefariki dunia baada ya kupigwa na kundi la watu wakimtuhumu kuwa na Coronavirus. Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo.
[https://pbs]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi acha utumalize tu tumejitolea kufa...acha tutafute hela za watalii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata mm ckuwa naamini kwmb ww ni mkenya mana kwa sindano unazowadungaga kina MK254 lazima wakuvue uraia[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa wewe umenipata kama na ondoka kuelekea kumpea "sweetheart" haki yake...[emoji533][emoji533][emoji533] Ila hapa chini ona picha ya "garage" Thika town..Na kwa wale ambao wahaamini kwamba mimi mkenya... Kafrican @kevin85fiy pingli-nywee Tony254 Sinister na wengineo..leo wajue nipo "Garage" Thiika town nikibigugia mali ya kwangu..
See attached
1. "Garage -Thika town
2. Gari langu..Mitsubishi evolution X (330 hp Turbo intercooled - Nguvu ya farasi 330) Kb..469M - kenyan registration
Geza Ulole BantugbroView attachment 1392374View attachment 1392378View attachment 1392374View attachment 1392378
kongole mzee! umpe vitu vya maana shemegi!Sasa wewe umenipata kama na ondoka kuelekea kumpea "sweetheart" haki yake...🍆🍆🍆 Ila hapa chini ona picha ya "garage" Thika town..Na kwa wale ambao wahaamini kwamba mimi mkenya... Kafrican @kevin85fiy pingli-nywee Tony254 Sinister na wengineo..leo wajue nipo "Garage" Thiika town nikibigugia mali ya kwangu..
See attached
1. "Garage -Thika town
2. Gari langu..Mitsubishi evolution X (330 hp Turbo intercooled - Nguvu ya farasi 330) Kb..469M - kenyan registration
Geza Ulole BantugbroView attachment 1392374View attachment 1392378View attachment 1392374View attachment 1392378
Ndio hii hii sababu watu wa chini hata vyakula vyao vya kawaida tu Kama bweni tu mchana ugali ucku wali
Sent using Jamii Forums mobile app
Failed people in the failed state..Swahili Times
@swahilitimes
·
5h
Mwanaume mmoja mkazi wa Kibundani katika Kaunti ya Kwale nchini Kenya amefariki dunia baada ya kupigwa na kundi la watu wakimtuhumu kuwa na Coronavirus. Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo.
[https://pbs]
Sent using Jamii Forums mobile app
Napendekeza muufunge mileleKenya imefunga mipaka yake kote ikiwemo mpaka maarufu wa Namanga, ila majirani Tanzania wao wako freshi wanapokea wageni huku wakitumia vipima joto. Uganda nao wamechukua tahadhari na kufunga shule zote licha ya kwamba hawaa kesi yoyote ya Corona, wametumia akili kwa kujifunza kutokana na ujinga wa kwetu wengine
Kama wewe ni Mkenya basi mbona kiswahili chako ni cha Kibongo. Ama umewahi kuishi Tanzania.Sasa wewe umenipata kama na ondoka kuelekea kumpea "sweetheart" haki yake...🍆🍆🍆 Ila hapa chini ona picha ya "garage" Thika town..Na kwa wale ambao wahaamini kwamba mimi mkenya... Kafrican @kevin85fiy pingli-nywee Tony254 Sinister na wengineo..leo wajue nipo "Garage" Thiika town nikibigugia mali ya kwangu..
See attached
1. "Garage -Thika town
2. Gari langu..Mitsubishi evolution X (330 hp Turbo intercooled - Nguvu ya farasi 330) Kb..469 - kenyan registration
Geza Ulole BantugbroView attachment 1392374View attachment 1392378View attachment 1392374View attachment 1392378
Mipaka ikifungwa tutauwa wenye kutegemea misaada,:ie Kenya.
Duh! Dengue watu wanaigopa sana. Symptoms zake ni zipi?Ndivyo ilivyo hata kwa wanaokufa Ulaya, inawakuta wakiwa na matatizo mengine ya kiafya, nimewahi kuumwa Dengue, ile unaambiwa hamna dawa ya kuiponya, you need to survive its lifespan of two to three weeks.
Sasa isikukute unaumwa kitu kingine chochote, na pia unywe maji mengi na kubaki ndani muda wote usiambukize au hata mwenyewe kuambukizwa zaidi.
We jamaa mbona Tz inakuwasha sana