Kenya Yafungua Tawi La Bandari Kigali Rwanda

Kenya Yafungua Tawi La Bandari Kigali Rwanda

Acha kujidanganya wewe,na unafikiri Kenya wamelala? hizo barabara watajenga tuu kwa pesa za hiyo mizigo ya Uganda na Rwanda

kama watajenga baadaye sawa. nazungumzia hali ilivyo kwa sasa. besides, barabara haijengwi kwa mwezi au mwaka ukizingatia kuwa ni kipande kirefu sana. mbona wamelalamikiwa muda mrefu lkn hawajengi!?
 
System ya pale Bandarini sio nzuri ata kidogo,mizigo inachelewa kutoka bila sababu za msingi..Kila ukienda system ipo down,Wizi pamoja na chai!!!Bado nakumbuka Mwaka juzi kuna vijana pale Bandarini waliokuwa wakaguzi wa TRA walikuwa wanataka niwapatie chai ili mambo yangu yawe rahisi nikawapatia elfu 50,000/ ya IRAN wakaniuliza hii pesa ya wapi ??(maana imeandikwa kwa lugha ya Iran Farsi ambayo inafanana sana na kiarabu)nikawaambia si unaona ina picha ya mwarabu(picha ya yule kiongozi wao mwenye ndevu nyingi hayatollah)wakaichukua wakifikiri ya mwarabu,mimi nikatoa mzigo wangu...ki ukweli pesa ya Iran ndio pesa ovyo kabisa duniana labda zaidi ya MUGABE,hiyo Iran Rial 50,000/ inaweza Kuwa ni Tsh 4000/ nao walikuwa watatu sijui waligawana vipi,ni kitu ambacho uwa sikisahau

Hata ukiwapa mavi kwenye mkebe wanachukua
 
kujifunga na Rwanda tu au EA ni ujinga. Tuachane na Eac lets capture Drc, zambia and the other southen collegues. Kung'ang'ania Eac tunahatarisha hata amani yetu. Wajenge hata reli to Kigali lets plan other routes.
 
[h=2]
icon1.png
Kenya Yafungua Tawi La Bandari Kigali Rwanda[/h]

BANDARI YA MOMBASA KENYA WAMEFUNGUA OFFICE KIGALI-MWAYKEMBE SISI TUMEJIPANGAJE?

Kufuatia kikao cha triple K (Kenyatta, Kagame na Kaguta (Mseveni)) kilichofanyika Kampala mwezi uliopita, jana bandari ya Mombasa wamefungua rasmi ofisi yao Kigali kwa ajili ya kuhudumia nchi za Rwanda, Burundi na DRC.

Moja ya mambo waliyokubaliana triple K ni kuondoa matatizo yote yanayofanya biashara baina ya nchi hizi kuwa ngumu.

Sote tunafahamu mahusiano mabovu yaliyopo kati ya Rais Kikwete na Rais Kagame kwa sasa. Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa Bandari ndio cash cow ya Tanzania, hakuna cha kilimo,madini, utalii au chochoteutakachotaja.

Kama kumbukumbu zangu bado ziko poa, bandari inaingiza over 50 bil kwa mwezi.

Swali ninalojiuliza, hivi tumejipangaje ili kuwa competitive zaidi in case nchi hizi nne kwa maana ya DRC, Burundi, Rwanda na Uganda zitaamua kwa kiasi kikubwa kuanza kutumia bandari ya Mombasa? Think of hayo mapato niliyotaja, ajira, biashara za mafuta, hotel n.k.
 
Halafu wanasema DR SLAA kakosea kutoa ushauri.....
 
Hebu soma hiki kipande kutoka repoti ya World Bank kuhusu bandari ya Dar....the report titled..OPENING THE GATES.Ni repoti ya juzi tu May 2013.............
Tanzania and its East African neighbors could boost their annual Gross Domestic Product (GDP) by up to US$1.8 billion and US$ 830 million respectively by taking measures to improve the efficiency of the Port of Dar es Salaam, according to the latest Tanzania Economic Update published by the World Bank.

So far, Tanzania and six neighboring countries have missed this opportunity, notes the new report titled, ‘Opening the Gates: How the Port of Dar es Salaam Can Transform Tanzania,’ authored by Jacques Morisset, the Bank’s lead economist for Tanzania, Uganda and Burundi.
With its strategic location, the Dar es Salaam Port is the gateway for 90 percent of Tanzania’s trade, clearing US$15 billion of merchandise annually (a sum equivalent to 60 per cent of Tanzania’s GDP in 2012). In addition, the port provides vital access to Tanzania’s six landlocked neighbors: Malawi, Zambia, Burundi, Rwanda, Uganda, and Eastern DRC.
In 2012, the total global welfare loss resulting from inefficiencies at the port was estimated to reach a value of US$ 1.8 billion for the Tanzanian economy and US$ 830 million for the neighboring countries. These losses were equivalent to approximately seven percent of Tanzania's annual GDP, and affected a wide range of local consumers, businesses and government agencies. According to the report, inefficiencies at the Dar es Salaam port cost Tanzanians and other East Africans dearly, as they must pay more for imported goods, including basic products such as crude oil, cement, fertilizers and medicines.
These losses are attributed to several factors, not least the long delays affecting ships that arrive in Dar es Salaam. In mid-2012, ships were waiting up to 10 days on average just to berth and an additional 10 days to be able to unload and move their merchandise. The excessive delays in anchorage alone translated into an additional cost of 22 per cent on container imports and about 5 per cent of bulk imports. The report identifies corruption as another key factor contributing to the poor performance of the port, as “both a source of inefficiency and a direct result of inefficiency.”

“The Port of Dar es Salaam has enormous potential to contribute to the transformation of the country as its impact cuts across all aspects of life in Tanzania,” said Philippe Dongier, the World Bank Country Director for Tanzania, Uganda and Burundi. “For example, medicines are imported through the port as well as some of the food consumed in Tanzania. This underscores why efficient operation of the port should be a concern for everybody.”


Wachina washaiona hiyo dili na wanaichukua kwa kujenga bandari bagamoyo na tunawapa exclusive rights bila kulipa chochote kwa miaka 50 sijuhi 100.
 
Kenyatta ni mfanyabiashara
Kagame ni mjasiriamali
Kaguta ni dalali

Pierre ni ....?
Kikwete ni ....?
 
Bado hao triple k wanajidanganya. Tz ya sasa si ya jana. Halafu uchumi wa nchi hautengenezwi na husika hapa africa. Wamuulize Mugabe alivyoharibiwa,unadhani hakuwa na resources! Wajipange tena
 
Hey bro, don't forget Kenya is also building another port ( Lamu ) to tap into the Ethiopian/South Sudan Market. This will be the equivalent of your Bagamoyo. It is all about strategy hence we welcome improved service delivery in Dar as well the proposed Bagamoyo port. All these developments are good for the region. Don't read mischief each time your neighbor does something.

Tuwekane sawa kidogo, Bandari ya Bagamoyo kama ilivyo bainishwa, Itakuwa kubwa zaidi katika Afrika ya mashariki. Mara 32 kiuwezo, ukilinganisha na bandari ya Mombasa. Si kweli kwamba hiyo bandari yao ya Lamu, itakuwa sawa na ya Bagamoyo.
Hili jambo hata wachumi wa Kenya waliwahi kulijadili sana. TUSIPOTOSHANE.
 
Back
Top Bottom