chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Nimeona hii habari kwenye ukurasa wa chombo kimoja cha habari huko Kenya.
Kuwa wachambuzi wa masuala ya uchumi na siasa wanahofia Kenya inaweza kukumbwa na kilichoitokea Sri Lanka sababu hali ya nchi hiyo inaelezwa kufanana na ile ya Sri Lanka.
Sri Lanka ni nchi iliyoelemewa na madeni na ukosefu wa fedha za kigeni hadi kushindwa kuagiza bidhaa muhimu nje kama mafuta, hali iliyosababisha maisha kuwa magumu na wananchi kuandamana hadi kumfurusha Rais Ikulu.
Kuwa wachambuzi wa masuala ya uchumi na siasa wanahofia Kenya inaweza kukumbwa na kilichoitokea Sri Lanka sababu hali ya nchi hiyo inaelezwa kufanana na ile ya Sri Lanka.
Sri Lanka ni nchi iliyoelemewa na madeni na ukosefu wa fedha za kigeni hadi kushindwa kuagiza bidhaa muhimu nje kama mafuta, hali iliyosababisha maisha kuwa magumu na wananchi kuandamana hadi kumfurusha Rais Ikulu.