joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Na soon wataingia nafasi ya tatu kwenye nchi zenye matendo ya xenophobiaDuu majirani ni shidaa yaani. Mnaongoza kila nyanja sasa.
Kama mnavyoshikilia nambari moja duniani katika ulaji wa albinoMaeneo kama haya, Kenya haiwezi kukosekana katika nafasi tatu za juu. Ushindi ni ushindi, hongereni sana majirani kwa kutuwakilisha, mwakani mjitahidi zaidi japo mpande nafasi mbili Juu. Kenya hoyeeee.
Wateja ni wanasiasa wa Kenya maana muko munaongea kizungu lakini hamuwezi kuachana na superstition nadhani iko kwenye DNA zenuKama mnavyoshikilia nambari moja duniani katika ulaji wa albino
Hahahaha, Umeshiba nyama ya Jaluo wewe.Kama mnavyoshikilia nambari moja duniani katika ulaji wa albino
Bwahahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukwel mchunguHahahaha, Umeshiba nyama ya Jaluo wewe.
Naona umeandika kilughaWateja ni wanasiasa wa Kenya maana muko munaongea kizungu lakini hamuwezi kuachana na superstition nadhani iko kwenye DNA zenu
Sanaa, kumtafuna Jaluo kwa misingi ya ukabila, ni jambo la kusikitisha sana.Bwahahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukwel mchungu
Hii inahusianaje na kushika nafasi ya Tatu Afrika kwa " Corruption "?Where will Dar ever appear?
Imekuingia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sanaa, kumtafuna Jaluo kwa misingi ya ukabila, ni jambo la kusikitisha sana.
Dar inaongoza kw uchawiWhere will Dar ever appear?
The Star, Kenya: IG Mutyambai takes action after viral video of police brutality at JKUAT.Niliona video ya polisi wa kenya wakimtandika mwanafunzi wa chuo Jana, Aisee inatisha.
Mngekuwa hamkubaliani angalau tungeona mkikemea hapa JF kama wenzenu wa twitter wanavyofanya,The Star, Kenya: IG Mutyambai takes action after viral video of police brutality at JKUAT.
Na hatua kuchukuliwa mara moja! Hapa tunapiga kelele hadi mtu awajibike! Huu ushenzi hatuukubali karne hii!The Star
The Star brings you breaking news, developing stories, politics, entertainment, lifestyle, sports and much more from Kenya and around the world, throughout the day.www.the-star.co.ke
Kwasababu Jaluo ni ndugu zetu, tunao huku Tanzania, ila Gikuyu huku hawapo.Imekuingia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbna unateseka sana
Ushenzi hamuukubali wakati Kenya inaongoza Afrika katika " police killings & Brutality", mngekuwa hamkubali hilo tatizo lingeshaisha zamani.The Star, Kenya: IG Mutyambai takes action after viral video of police brutality at JKUAT.
Na hatua kuchukuliwa mara moja! Hapa tunapiga kelele hadi mtu awajibike! Huu ushenzi hatuukubali karne hii!The Star
The Star brings you breaking news, developing stories, politics, entertainment, lifestyle, sports and much more from Kenya and around the world, throughout the day.www.the-star.co.ke
Kwenu Lissu liliishia wapi? Enyi nchi ya amani bila Police BrutalityUshenzi hamuukubali wakati Kenya inaongoza Afrika katika " police killings & Brutality", mngekuwa hamkubali hilo tatizo lingeshaisha zamani.