joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Maeneo kama haya, Kenya haiwezi kukosekana katika nafasi tatu za juu. Ushindi ni ushindi, hongereni sana majirani kwa kutuwakilisha, mwakani mjitahidi zaidi japo mpande nafasi mbili Juu. Kenya hoyeeee.