Kenya yajiandaa kuagiza maziwa lita milioni 200 kutoka kwa majirani, haya wenye akili changamkieni fursa

Hakuna kuuza unprocessed products, tutawaizia processed milk and milk products tu.
 
Tanga fresh hawapati maziwa yakutosha sasa tuache kuwauzia hao tuwauzie nyie?fugeni ng'ombe acheni kufuga majizi
Issue bei kwanini mfugaji asifaidi bei nzuri iwapo Kenya itanunua kwa bei kubwa zaidi?
 
Issue bei kwanini mfugaji asifaidi bei nzuri iwapo Kenya itanunua kwa bei kubwa zaidi?
Kaka usiwe na mawazo finyu kiasi hicho, tukiuza maziwa ndani ya nchi hata tukipata bei ndogo, tinapata faida nyingi
1) Tunatengeneza ajira kwa watoto wa hao hao wakulima
2) Serikali inapata kodi nyingi kutoka kiwandani na Kodi ya PAYEE toka kwa wafanyakazi wa viwanda vya maziwa
3)Maziwa tutayauza njee ya nchi kwa bei ya juu zaidi kuliko yangeuzwa unprocessed
4) Viwanda vitapata pesa nyingi kwa kuuza processed milk, hivyo kuwa na mtaji mkubwa wa kununua maziwa mengi zaidi na kwa bei ya juu ili kumfaidisha mkulima.
5) Maziwa toka viwanda vya ndani yanakua cheap kuliko yanayotoka nje ya nchi.
 
Hilo shirika halijasema kuwa wanataka maziwa ghafi, Pili hii ni njama ya Uhuru kuagiza Yale maziwa yake kutoka Uganda na Rwanda , maana 70% ya viwanda vya maziwa kule Uganda na Rwanda vipo chini ya brookside, processed milk imepandishwa bei ilhali maziwa ghafi kutoka Kwa wakulima hayajapanda pia ukizingatia bei ya maziwa ghafi hapa na kule Uganda na Rwanda nitofauti sasa amepandisha maziwa na kufua mlango Kwa viwanda vyake vya kule Uganda na Rwanda vije vituibie,#resistbrookside #resisthandshake ,nitakunywa crown milk hadi kiyama.
 
Senene zipo? Nitumie kama parcel.
 
Cry the beloved country, wakulima watatubeba hadi lini?
 
Bei ndio itazungumza,
Hakuna mjinga atakata pesa juu ya uzalendo
 
Cry the beloved country, wakulima watatubeba hadi lini?
Kama umesoma vizuri utagundua kwamba kila mtu anasaidia mwengine, mkulima anauzia viwanda maziwa kwa bei nafuu, na viwanda vinatengeza ajira kwa watoto wa wakulima.
 
Sasa tutengeneze powdered milk na tuwarudishie na bei ya juu. Deal
 
Ni sababu ya njaa na ukame ng'ombe wa kenya wamegoma kutoa maziwa
Lazima demand itakua kubwa,hence ni lazima kununua kwa jirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…