Kenya yakataa wanariadha wake kushiriki Kilimanjaro Marathon 2021 ikiwa ni tahadhari dhidi ya Covid-19

Kenya yakataa wanariadha wake kushiriki Kilimanjaro Marathon 2021 ikiwa ni tahadhari dhidi ya Covid-19

Wivu tu wa kikenya,mamelodi anakipiga na timu ya algeria hapo uwanja wa mkapa,na za chini ya kapeti tp mazembe nao wanataka match zao wacheze hapok

Kwenye michezo hamtuwezi. Hata kwenye mpira huwa tunawachapa kama watoto wetu.
 
Watakuja kina nani wakati shirika la AK(Athletics Kenya) limesema kwamba halitawapa wanariadha(wakenya) vibali?
Ile sio marathon ya wanariadha pekee, ile kuna kuanzia 5 km I guess, sijui 1 ile, hadi hizo za athletics, ashinde athlete au common man, atatuzwa, wapo wanaotembea tu, sababu moshi pazuri, hizo routes wanapita kuko poa kutalii, fine house, roads, environment, weather.

Kwa wale mnapenda chini, bitches from all over Tz hufika moshi, na huenda marathon, na nguo zao za mitego, wao huprefer kutembea tu, na kukimbia mara moja moja wakitingisha inye zao, u know, ni kama ka festival flani hivi, sasa unaweza jikuta mbele wapo bibi, nyuma ako bibi, unafanya kuamua tu utembee na wepi, usiku ukawale, wako weusi, wazungu.

Kunakuwaga na music festivals kuanzia mchana hadi usiku.

Wakenya kibao wanaelewa what really happens, hawakosi mzee, au unataka ni kuprove siku enyewe ikifika
 
Ile sio marathon ya wanariadha pekee, ile kuna kuanzia 5 km I guess, sijui 1 ile, hadi hizo za athletics, ashinde athlete au common man, atatuzwa, wapo wanaotembea tu, sababu moshi pazuri, hizo routes wanapita kuko poa kutalii, fine house, roads, environment, weather.

Kwa wale mnapenda chini, bitches from all over Tz hufika moshi, na huenda marathon, na nguo zao za mitego, wao huprefer kutembea tu, na kukimbia mara moja moja wakitingisha inye zao, u know, ni kama ka festival flani hivi, sasa unaweza jikuta mbele wapo bibi, nyuma ako bibi, unafanya kuamua tu utembee na wepi, usiku ukawale, wako weusi, wazungu.

Kunakuwaga na music festivals kuanzia mchana hadi usiku.

Wakenya kibao wanaelewa what really happens, hawakosi mzee, au unataka ni kuprove siku enyewe ikifika
bro, it seems you missing the point,,, kwa korona hii ilivyochachamaa ndani ya Tz na inavyoenea kama bush fire.... hata muwe na warembo vipi,,, wacHa ikAe.
usinichukulie vibaya broo,,, napenda sana afya yangu
 
Ila ndege zao zinakuja huku kuleta na kuchukua abiria, wachezaji wao Shikalo, Kahata na Onyango wako huku wakikipiga uwanjani wakati matimu yao kama Gor Mahia hata nauli inakuwa ya kususuaa.
Wakenya acheni wivu wiki hii tutashuhudia mechi kubwa ya klabu bingwa Afrika toka nchi ya Algeria na Afrika Kusini
 
Kisa cha yote hayo ni kwa sababu Mnajifanya Hamnazo.
 
Ile sio marathon ya wanariadha pekee, ile kuna kuanzia 5 km I guess, sijui 1 ile, hadi hizo za athletics, ashinde athlete au common man, atatuzwa, wapo wanaotembea tu, sababu moshi pazuri, hizo routes wanapita kuko poa kutalii, fine house, roads, environment, weather.

Kwa wale mnapenda chini, bitches from all over Tz hufika moshi, na huenda marathon, na nguo zao za mitego, wao huprefer kutembea tu, na kukimbia mara moja moja wakitingisha inye zao, u know, ni kama ka festival flani hivi, sasa unaweza jikuta mbele wapo bibi, nyuma ako bibi, unafanya kuamua tu utembee na wepi, usiku ukawale, wako weusi, wazungu.

Kunakuwaga na music festivals kuanzia mchana hadi usiku.

Wakenya kibao wanaelewa what really happens, hawakosi mzee, au unataka ni kuprove siku enyewe ikifika
Wewe kwenu ni moshi?
 
bro, it seems you missing the point,,, kwa korona hii ilivyochachamaa ndani ya Tz na inavyoenea kama bush fire.... hata muwe na warembo vipi,,, wacHa ikAe.
usinichukulie vibaya broo,,, napenda sana afya yangu
Bakini hapo na ujinga wenu wa Corona, wewe kwanza hata hujawai kuja wala huwezi kuja, wapo naowajua wanakuja na wapo nisiowajua
 
Jina Moshi linatokana na nini? Huwa nikisikia neno hilo ninawaza tu moshi la bangi. Itakuwa huko Moshi mnavuta bangi sana?
Moshi naiongelea hapo ni moshi mjini, ni wilaya ya mkoa wa kilimanjaro, ndio metropolitan ya kilimanjaro region, wilaya zingine ni moshi vijijini, mwanga, hai, same, vunjo na siha. Karibu.
 
Moshi naiongelea hapo ni moshi mjini, ni wilaya ya mkoa wa kilimanjaro, ndio metropolitan ya kilimanjaro region, wilaya zingine ni moshi vijijini, mwanga, hai, same, vunjo na siha. Karibu.
Asante. Na Arusha ni wilaya ya mkoa gani?
 
Pro and Cons..., Je faida ya hayo mashindano individually yanaendana na risk iliyopo ? (kama ipo anyway ) kwa mujibu wa mkuu wa mkoa hakuna risk yoyote
 
Ile sio marathon ya wanariadha pekee, ile kuna kuanzia 5 km I guess, sijui 1 ile, hadi hizo za athletics, ashinde athlete au common man, atatuzwa, wapo wanaotembea tu, sababu moshi pazuri, hizo routes wanapita kuko poa kutalii, fine house, roads, environment, weather.

Kwa wale mnapenda chini, bitches from all over Tz hufika moshi, na huenda marathon, na nguo zao za mitego, wao huprefer kutembea tu, na kukimbia mara moja moja wakitingisha inye zao, u know, ni kama ka festival flani hivi, sasa unaweza jikuta mbele wapo bibi, nyuma ako bibi, unafanya kuamua tu utembee na wepi, usiku ukawale, wako weusi, wazungu.

Kunakuwaga na music festivals kuanzia mchana hadi usiku.

Wakenya kibao wanaelewa what really happens, hawakosi mzee, au unataka ni kuprove siku enyewe ikifika
Mimi nazungumza kuhusu 'pro athletes' ndio maana nimeitaja AK, sio wandangaji. Jombaa, 'international' marathon yeyote bila wanariadha wa Kenya itakuwa ni sawa na ule ukichaa wenu wa mbio za mwenge. 😆
 
Back
Top Bottom