LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
yeah while kenya has a smaller populationBut with few money we collect we do things almost the same as you even if its by loans hizo loans tunalipa...while u had an advantage of being business frinedly on many sectors esp private ones ..mna kuwa na wide base ya ku collect tax kuliko Tz ...u never practiced Socialism so myb tht might hv bn a barrrier btn Tanzania and KE in terms ya kuattact investors na ulipaji kodi..but funny enough we hv almost the same GDP(ppp)..
Hehehe two different places mnadanganywa eti ni sehemu moja. Look at this fool.
Kama atulipi kodi ujue hiyo hela tunaitumia huku majumbani kujenga uchumi wa MTU mmoja mmoja uenda nyinyi Kwa kulipa kodi hela nyingi inaingia serikalini ila mnabaki kwenye makazi duni ya slumNdio maana pengo la uchumi baina yetu linazidi kuongezeka kiasi cha kuwa karibia ya mara mbili yenu. Acheni ukajanja mwingi mlipe kodi ili kuipa serikali yenu uwezo wa kutumia pesa za ndani kwenye miradi bila kutesa idara nyeti hadi watu wote wanalia kwamba vyuma vimekaza.
Ukicheki jiji la Lagos wanavyo lisifia kumbe hakuna chochote kila nikitazama youtube nashindwa kuanini kuwa ndiyo Lagos naendelea kutafuta picha zaidi labda nitapata picha ya lagos yenyewe lakini ola!!! Nikajifunza kumbe Dar bonge la mji kinyume na ss wenyewe tunavyo udharau
Kama atulipi kodi ujue hiyo hela tunaitumia huku majumbani kujenga uchumi wa MTU mmoja mmoja uenda nyinyi Kwa kulipa kodi hela nyingi inaingia serikalini ila mnabaki kwenye makazi duni ya slum
Mnashindwa hata kukarabati MGR wenyewe hiyo kodi inawasaidia nini?Uongo wewe Chamoto that's a fool's errand.Tatizo la kukula tu ni kujipata unategemea misaada ya wageni kila wakati -sisi Kenya we learn how to fish efficiently sio kama nyie .
😁😁 You have made my day .... Ati the money is naughty!!!!With corruptions the all collections are naughty.
Hehehe Lagos ni jina tu. Tukotoa their residential department hata Dar inaichapa tu.Ukicheki jiji la Lagos wanavyo lisifia kumbe hakuna chochote kila nikitazama youtube nashindwa kuanini kuwa ndiyo Lagos naendelea kutafuta picha zaidi labda nitapata picha ya lagos yenyewe lakini ola!!! Nikajifunza kumbe Dar bonge la mji kinyume na ss wenyewe tunavyo udharau
Pengo kubwa baina ya wenye nacho na wasio nacho lipo kenya kwa kuwa pesa inayokusanywa inaliwa juu kwa juu na matapeli, huku wananchi wengi wakiwa kwenye lindi la umasikini.Ndio maana pengo la uchumi baina yetu linazidi kuongezeka kiasi cha kuwa karibia ya mara mbili yenu. Acheni ukajanja mwingi mlipe kodi ili kuipa serikali yenu uwezo wa kutumia pesa za ndani kwenye miradi bila kutesa idara nyeti hadi watu wote wanalia kwamba vyuma vimekaza.
Pengo kubwa baina ya wenye nacho na wasio nacho lipo kenya kwa kuwa pesa inayokusanywa inaliwa juu kwa juu na matapeli huku wananchi wengi wakiwa kwenye lindi la umasikini.
Uongo uko wapi wakati tumegharamia 15% ya mradi na 85% ni mkopo kutoka kwa nchi mkandarasi na hii ni kwasababu ya masharti ya mkataba?I have never seen a president muongo Kama Magufuli. Sasa anadanganya watanzania ati terminal 3 imejengwa kutumia pesa za ndani wakati tunajua si sote hati pesa ni grant from Netherlands.
lipeni Madeni ya China,Tunanunua mahindi yenu kwa pesa yetu ya ndani....mlime tule sisi.
Pengo kubwa baina ya wenye nacho na wasio nacho lipo kenya kwa kuwa pesa inayokusanywa inaliwa juu kwa juu na matapeli, huku wananchi wengi wakiwa kwenye lindi la umasikini.