Kenya yamtimua balozi wa Rwanda

Kenya yamtimua balozi wa Rwanda

Acha atimuliwe tu ana mpango wa kuchomeka Rais ajaye Kenya awe ni nature ya Rwanda sasa zilishavuja na Kagame ni super planner wa hilo na hicho ndo kitendo pia kilichowakosanisha na M7 ingawaje baadhi ya nchi walifanikiwa.
Kagame ni hatari.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] upoyoyo mwingine ni wa ajabu sana.
 
Joseph kabila na baba yake ni pandikizi lake hata kama kabila senior alianzaga harakati zamani yeye ndiye alimuingiza ikulu kinshasa.Burundi waliokolewa na JK,yanayoendelea hapa kwetu sina la kusema tukae chiini tusali tu ,tumejishusha mno kwa mr slim,kiboko yake alikuwa kikwete
kenya wali m mind sana mauaji ya sendashonga kwenye ardhi ya nairobi,vipi sisi kuhusu profesa mwaikusa na jenerali kombe,tumenyamaza tu.

BEHIND THE PRESIDENTIAL CURTAIN1736Chap VI:KagameProxy war in Democratic Republic of Congo and His troubled relations with NeighbouringCountries6.1A hungry President, the truth behind Congo WarAfter the overthrow of Mobutu of Zaire and naming it Democratic Republic of Congo, Paul Kagamewas convinced that his Government will have the biggest access of Congo’s wealth and the right to do whatever he wished without any hindrance

This caused a lot of anger, distrust and chaos to Kabila and his government. In return Kabila ordered the Rwandan forces undertheir most senior Commander General James Kabarebeto leave the country.


unaona kwamba baada ya kabila sr kupindua mobutu James kabarebe ,mnyarwanda alichaguliwa kusimamia majeshi,alivypoigwa chini na kabila kagame kaksirika akamrudia mara ya pili akakuta jamaa analindwa na angola na zimbabwe na Chiluba alikataa kumpa njia ya kupita ambayoalimpa kabla baada ya kugundua siyo mtu mzuri

.On their arrival at Kanombe International Airport, we drove his excellence Paul Kagameto meet with them. This force was immediately ordered to go to Camp GP (Presidential Guard Barracks) and wait for more orders as they remain on standby. He seemed physically angered and disappointed at that time.After twenty-four hours, we went to Camp GP with Paul Kagameto brief the forces why they should immediately go back to the Congo to fight Kabila, the man they had just installed in power. Surprisingly everyonesupported the idea because at that time all soldiers seemed to believe that they would keep their loot on return from the DRC. These included gems and American Dollars the currency Congo used.Desire Kabila on the other hand had solicited for troops from Zimbabwe and Angola to take over deployments after the departure of the Rwandese forces. When Kagame’s forces attacked Congo this second time, they could not believe how massively Kabila had deployed.Our forces sustained big losses and casualties this time around. The first Congo war was a bit easier because Kagamenegotiated with President Chiluba of Zambia to offer our troops the quickest route to Kinshasa.When Kagameattempted to ask for the second attack route to oust Kabila on this second time, President Chiluba declined, reminding Kagame that: ‘’I thought Mobutu was a bad man and a dictator what about Kabila you came with to visit me, why fight him now’’.
Usukumani hakuna nzagamba bachiluchilu giti bhebhe.
 
Wanyarwanda wapo nchini tumesoma nao humu nchini wakifaulu kutoka ktk kambi zao na wengine wakiishi uraiani tumeendelea kusoma nao hadi vyuo vikuu wapo wameajiriwa na serikali yetu wengine wamepata na uraia kabisa lakini hiyo haiwaondolei ukweli kuwa ni watusi ,wahutu na wengineo kwani wana ndg huko kwao na wana mawasiliano.
Sikurupuki kuandika hiki wapo kwa sasa wamekuwa wenyeviti wa mitaa,wenyeviti wa vyama wilaya hadi mikoa.Upo mkoa mmoja nchini mwenyekiti wake wa mkoa ni mkazi wa Rwanda aliyejipatia uraia hapa kwani wazazi wake walifika huku wakaweka makazi na kuishi but ni mtusi pure.
Vikao vya nec yumo kwanini asije siku moja akawa raisi wa nchi na hata asipofanikiwa siri za nchi atazijua na aweza kuzilikisha kwa kagame vyema.
Kwa taarifa yako kagame anaijua tz yetu kuliko hata ikulu yake.
Hebu weka picha za wanyarwanda mliosoma nao tuwaone walivyojaa kwa wingi hapa nchini.
 
its time now , African countries to be responsible enough...and to work on what actually matters! damn...
 
Marekani ni nchi isiyokuwa na mwenyewe inacombine mataifa yote duniani.Jiulize ni watanzania wangapi wameajiriwa Rwanda wakifanya kazi kama nyie mlivyo huku tz.
Sitakiwi kutaja majina na nafasi za watu kwani wanajijua hata humu wapo.Ni mtanzania yupi aweza kupata wadhifa Rwanda na uraia na akaishi kama wao wanavyoishi nchi nyingine.
Ninyi kwa ninyi mnauana mtawezaji kuishi na wageni.Usifananishe na vitu visivyofananishika kwani watanzania hatujawahi vunja haki za wakimbizi hata aiku moja.
Professor Wamba Biyawamba mtanzania na waziri Rwanda.
 
Hebu weka picha za wanyarwanda mliosoma nao tuwaone walivyojaa kwa wingi hapa nchini.
Kichwani kwako kuna hitilafu kubwa.Kambi za wakimbizi zote zilizopo tz unadhani wanaoishi kule ni watz.
Unaniita poyoyo ilhali ulitakiwa ujibu hoja kwa hoja siyo matusi.Ndiyo maana katu hamji kuwa na amani miongoni mwenu kwa kuwa mnajitia wajuaji kumbe zero brain.
 
Kichwani kwako kuna hitilafu kubwa.Kambi za wakimbizi zote zilizopo tz unadhani wanaoishi kule ni watz.
Unaniita poyoyo ilhali ulitakiwa ujibu hoja kwa hoja siyo matusi.Ndiyo maana katu hamji kuwa na amani miongoni mwenu kwa kuwa mnajitia wajuaji kumbe zero brain.
Unataka niwe na amani ipi zero brain wa kinyarwanda wewe?
 
Kichwani kwako kuna hitilafu kubwa.Kambi za wakimbizi zote zilizopo tz unadhani wanaoishi kule ni watz.
Unaniita poyoyo ilhali ulitakiwa ujibu hoja kwa hoja siyo matusi.Ndiyo maana katu hamji kuwa na amani miongoni mwenu kwa kuwa mnajitia wajuaji kumbe zero brain.
Sasa kama ni wakimbizi tena maskini na hohehahe tu,huo uwezo wa kuinfluence siasa za nchi yetu wanautoa wapi?
 
Marekani ni nchi isiyokuwa na mwenyewe inacombine mataifa yote duniani.Jiulize ni watanzania wangapi wameajiriwa Rwanda wakifanya kazi kama nyie mlivyo huku tz.
Sitakiwi kutaja majina na nafasi za watu kwani wanajijua hata humu wapo.Ni mtanzania yupi aweza kupata wadhifa Rwanda na uraia na akaishi kama wao wanavyoishi nchi nyingine.
Ninyi kwa ninyi mnauana mtawezaji kuishi na wageni.Usifananishe na vitu visivyofananishika kwani watanzania hatujawahi vunja haki za wakimbizi hata aiku moja.
Sasa mbona hueleweki?, nimekuambia kwamba ni haki ya wakimbizi kupata elimu na kuajiriwa katika nchi wanazoishi, hii inajibu wasiwasi wako juu ya wanyarwanda uliosoma nao na wengine kuajitiwa hapa Tanzania, sasa lini watanzania walishaishi Rwanda kama wakimbizi?, kama hawajawahi kuishi Rwanda kama wakimbizi na kusoma huko, wataajiriwa kwa misingi ipi?.

Kuhusu Marekani umesema ni nchi ya wote, vipi kuhusu Europe ambako wahamiaji wa kiafrika wanashika nafasi za Uongozi kama France na Beljium?. Waafrika wakiajiriwa ndani ya Africa mnaanza kuwatilia shaka, ila waafrica waliopo Ulaya na Marekani wakitiliwa mashaka na wazungu, mnasema wazungu ni wabaguzi.
 
Hawataweza kwa hilo nakuhakikishia.mpaka sasa immigration inaorodha ya wanyarwanda ,warundi, wakamba wote waliozaliwa hapa Tanzania na wameandikishwa kwa majina hata kama mzazi wako alikuja kabla ya Uhuru wa Tanganyika. Hizi nakupa ni info za ndani.
Nimekupata.
 
Iz habari huenda ikawa sio za kweli maana jana nilikuwa natazama bbc swahili na waliripoti juu ya jumuiya ya wanyarwanda waishio mombasa wakiazimisha siku ya genocide ...ss ktk ile ripoti walimuhoji balozi wa rwanda nchini kenyaaa ......
Sio rahisi kuamini hili sababu ya ukaribu wa maraisi wa nchi izo mbili ata last time wanakutana PK na UK .PK alisema UK ni kk yake na rafiki yake wanaelewana sanaaaa
 
Back
Top Bottom