Kenya yanufaika pakubwa kutokana na uhamiaji wa nyumbu

Kenya yanufaika pakubwa kutokana na uhamiaji wa nyumbu

Usinichekeshe, wezi wa mifungo wa kabila la Waturukana bila kusahau
Al-Something wanapekeka jeshi lenu puta - leo hii ndio muwe na ubavu wa kujaribu kubomoa ukuta - hamjipendi nini? Jeshi letu kitu kingine kabisa we omba kulisikia kwenye Radio na TV sio kwenye real World mkijaribu mtajuta kuzaliwa.

Bla!...bla ..bla,,bla!...maaskari kanzu.
Litapigwa na hamtajua ni nini limelipiga!.....dunia ya leo teknologia kaka!
Yaweza pigwa hata tokea sayari ya nje!
Chezea wanyama ukumbane na hasira ya mzungu!

wavunja matofali kwa vichwa(JWTZ) wataachwa na msukumo kasi ya damu!
 
Napendekeza nyumbu wote wa Tanzania wapigwe mhuri wa utambulisho ili kulinda urithi wetu!
 
Hivi tukihamua kuweka electric fence kuzunguka mbuga zetu za wanyama na mpaka wa Kenya mnaweza kutufanya nini!

Hapa nafanya utani tu, ila nataka kuwakumbusheni majirani zetu kwamba Kenya inategemea sana Ungwana wa Tanzania kwa mambo mengi tu - tukihamua kufanya kweli mtakwama sana. NAKUMBUSHIA TU.

Ecosystem ni complicated sana.
Hii haizuiliki.
 
Ufafanuzi kidogo ni nyumbu wanyama au wale wa UKAWA maana hiyo Kenya ni jirani na mkoa wao mkuu
 
Hivi tukihamua kuweka electric fence kuzunguka mbuga zetu za wanyama na mpaka wa Kenya mnaweza kutufanya nini!

Hapa nafanya utani tu, ila nataka kuwakumbusheni majirani zetu kwamba Kenya inategemea sana Ungwana wa Tanzania kwa mambo mengi tu - tukihamua kufanya kweli mtakwama sana. NAKUMBUSHIA TU.

Uungwana?
Wakati wamasai kutoka Kenya waliweka kambi ya kulishia Mifugo Kwenye njia ya wanyama hivyo kuzuia wanyama kurudi Tanzania kama ilivyo kawaida . Rejea Uchunguzi wa Muro...
 
Back
Top Bottom