Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Usinichekeshe, wezi wa mifungo wa kabila la Waturukana bila kusahau
Al-Something wanapekeka jeshi lenu puta - leo hii ndio muwe na ubavu wa kujaribu kubomoa ukuta - hamjipendi nini? Jeshi letu kitu kingine kabisa we omba kulisikia kwenye Radio na TV sio kwenye real World mkijaribu mtajuta kuzaliwa.
Hivi tukihamua kuweka electric fence kuzunguka mbuga zetu za wanyama na mpaka wa Kenya mnaweza kutufanya nini!
Hapa nafanya utani tu, ila nataka kuwakumbusheni majirani zetu kwamba Kenya inategemea sana Ungwana wa Tanzania kwa mambo mengi tu - tukihamua kufanya kweli mtakwama sana. NAKUMBUSHIA TU.
Hivi tukihamua kuweka electric fence kuzunguka mbuga zetu za wanyama na mpaka wa Kenya mnaweza kutufanya nini!
Hapa nafanya utani tu, ila nataka kuwakumbusheni majirani zetu kwamba Kenya inategemea sana Ungwana wa Tanzania kwa mambo mengi tu - tukihamua kufanya kweli mtakwama sana. NAKUMBUSHIA TU.