Kenya yanufaika pakubwa kutokana na uhamiaji wa nyumbu


Bla!...bla ..bla,,bla!...maaskari kanzu.
Litapigwa na hamtajua ni nini limelipiga!.....dunia ya leo teknologia kaka!
Yaweza pigwa hata tokea sayari ya nje!
Chezea wanyama ukumbane na hasira ya mzungu!

wavunja matofali kwa vichwa(JWTZ) wataachwa na msukumo kasi ya damu!
 
Napendekeza nyumbu wote wa Tanzania wapigwe mhuri wa utambulisho ili kulinda urithi wetu!
 

Ecosystem ni complicated sana.
Hii haizuiliki.
 
Ufafanuzi kidogo ni nyumbu wanyama au wale wa UKAWA maana hiyo Kenya ni jirani na mkoa wao mkuu
 

Uungwana?
Wakati wamasai kutoka Kenya waliweka kambi ya kulishia Mifugo Kwenye njia ya wanyama hivyo kuzuia wanyama kurudi Tanzania kama ilivyo kawaida . Rejea Uchunguzi wa Muro...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…