Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Tumewaoa dada zenu wangapi kama msaada na hatutangazi wengine wanakuja na watoto ili wapone njaa?Duh nimekumbuka hicho kisa cha akina mama kutoka Kenya, yaani hawa waliharibiwa na Nyerere, aliwalisha chuki fulani hivi itachukua vizazi kadhaa kabla kuwatoka.
Sema upande wa Zanzibar hawako hivyo..