Kenya yaomba kuruhusiwa kukopa zaidi ili kulipa Madeni ya nyuma na kulipa mishahara ya wafanyakazi

Kenya yaomba kuruhusiwa kukopa zaidi ili kulipa Madeni ya nyuma na kulipa mishahara ya wafanyakazi



Bila kujali vyama, kabila au sehemu wanazotoka, wabunge wakenya wamekubaliana kwamba serikali ya Kenya imefilisika kiasi cha kuomba kuruhusiwa kuomba mikopo itakayowezesha kulipa Madeni ya nyuma na kujenga miradi mikubwa.

Wakati Tanzania ikijitahidi kujenga miradi yake mingi kwa pesa zake za ndani, ili kupunguza kukopa mikopo yenye riba kubwa, kwa jirani hali ni mbaya sana ya kiuchumi kiasi kwamba muda si mrefu nchi italazimika kukopa ili kulipa mishahara ya wafanyakazi, ikiwemo rais na mawaziri wake.

Ningewaomba majirani wamtume rais wao ili aje kumuangukia " uncle Magu" ili awakopeshe japo $1B, kwasababu pesa ipo nyingi tu, tunanunua midege na kujenga madaraja na barabara vile tunavyojisikia

itakuwa Thomas anatoa pumba? Kiongozi wa Praise team, hamna kitu kama "pesa zetu za ndani"
 
France, South Korea, Japan, WB, AfDB, China, IMF nk. shida yako?
Onyesha duniani ni nchi gani ambayo China ilikataa kuikopesha zaidi ya Kenya. Kenya pekee ndio haiminiki kwa China.
 
Jiulize why is our credit rating same as yours?( Category B1)
Tofautisha kati ya "credit rating and credit trust". Kenya you have very low credit trust". China can't trust Kenya any longer, other countries to follow China soon.
 
Onyesha duniani ni nchi gani ambayo China ilikataa kuikopesha zaidi ya Kenya. Kenya pekee ndio haiminiki kwa China.
Punguza ujinga. Wapi wamekataa kukopesha? Mbona miradi kadhaa tu hapa nchini wanazidi kufadhili? Ishu yako ni ya SGR pekee na hawajakataa kukopesha. Tulia uone reli ukifika Malaba. Povu ruksa!
 
Punguza ujinga. Wapi wamekataa kukopesha? Mbona miradi kadhaa tu hapa nchini wanazidi kufadhili? Ishu yako ni ya SGR pekee na hawajakataa kukopesha. Tulia uone reli ukifika Malaba. Povu ruksa!
Hahahaha, ndoto za mchana hizo, China imegundua kwamba Kenya imefilisika haina uwezo wa kulipa Madeni, kamwe haiwezi kutoa pesa kubwa kwa Kenya, matapewa pesa za miradi midogo midogo hawawezi kuwapa "above $1B.
 
Hahahaha, ndoto za mchana hizo, China imegundua kwamba Kenya imefilisika haina uwezo wa kulipa Madeni, kamwe haiwezi kutoa pesa kubwa kwa Kenya, matapewa pesa za miradi midogo midogo hawawezi kuwapa "above $1B.

Bla bla bla bye!
 
Back
Top Bottom