Kenya yaomba msaada wa chakula tani 200,000 za mahindi kutoka Tanzania

Kenya yaomba msaada wa chakula tani 200,000 za mahindi kutoka Tanzania

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,575
Kenya imeomba msaada wa chakula kutoka Tanzania kiasi cha tani laki mbili (200,000t).Tanzania imekubali na makubaliano yameishasainiwa jana nchini Kenya baina ya waziri wa kilimo chini ya balozi wa Tanzania.

Wafanyabisashara wa kitanzania watasafirisha na kuuza mahindi nchini Kenya kutoka maghala ya taifa Arusha na DSM.Gunia moja kilo 90 litauzwa shilingi 2650 (2650X19tsh) za Kenya na kusafirisha ni sh.300 za Kenya.

Tanzania imeagiza Kenya zoezi kuanza mara moja


Kilimo kwanza oyee.

Kenya importing 200,000 tonnes of maize from TZ



Koskei says the maize will be delivered in mid August with the remaining amount negotiated over time depending on the availability of maize in Tanzania/FILE

NAIROBI, Kenya, July 3 – The government has procured 200,000 metric tonnes of maize from Tanzania in bid to lower the maize prices that have been going up in the recent months.

Agriculture, Fisheries and Livestock Cabinet Secretary Felix Koskei says the government of Tanzania has agreed to sell to Kenya a first batch 50,000 metric tonnes from her National Food Reserve Agency at a cost of Sh2,650 per 90 kilogram bag and delivered at a cost of Sh300 per bag.

Koskei says the maize will be delivered in mid August with the remaining amount negotiated over time depending on the availability of maize in Tanzania.

"The main objective of this initiative is to enhance supplies of maize in the Kenyan market with the sole purpose of moderating the prices of maize flour which is a key for staple food for many Kenyans," he said.

The procurement will be through the private sector in Kenya while transport will be by Tanzania's private sector.

"The National Cereals and Produce Board (NCPB) will offer storage facilities to the traders who may not have adequate storage facilities," he said.

The national maize stocks as at May 21, 2014 stood at 8.8 million bags with farmers holding about 4 million bags; traders 1.1 million bags, millers 325,000 bags and NCPB having 3.03 million bags.

He refuted of any shortage of food in the country pointing out that that the national food security situation in Kenya in the month of May was normal.

This comes as Kenya's economy suffers constrained growth owing to erratic weather patterns that resulted in depressed agricultural output in the first quarter of 2014.

Agriculture and forestry grew by 2.7 percent in the first quarter of 2014 compared to a growth of 6.8 percent over a similar period in 2013.

According to latest data from the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) a kilogram of green maize went up by 5.2 percent to Sh48. 97 from Sh46.54 in May while a 2kg packet of maize flour 1.8 percent to Sh121.98 from Sh119.83 in May.

A 2kg packet of wheat flour went up by 2 percent to Sh144.06 from Sh119.83 in May while a kilo of tomatoes went down by 8.9 percent to Sh93.80 from Sh103 in the month of May.

Source: Kenya importing 200000 tonnes of maize from TZ
 
Vibali vinatolewa vp au hakuna vibali?? Maana kwenye vibali ndio inakuaga urasimu
 
Huu ndiyo uimara wa uchumi katika Serikali ya CCM.
 
vibali vitatoka kwa rushwa
_chezea wazee wa takrima we!
 
Kenya imeomba msaada wa chakula kutoka Tanzania kiasi cha tani laki mbili (200,000t).Tanzania imekubali na makubaliano yameishasainiwa jana nchini Kenya baina ya waziri wa kilimo chini ya balozi wa Tanzania.

Wafanyabisashara wa kitanzania watasafirisha na kuuza mahindi nchini Kenya kutoka maghala ya taifa Arusha na DSM.Gunia moja kilo 90 litauzwa shilingi 2650 (2650X19tsh) za Kenya na kusafirisha ni sh.300 za Kenya.

Tanzania imeagiza Kenya zoezi kuanza mara moja


Kilimo kwanza oyee.

Hivi hoja hapa ni Kenya kuomba msaada wa chakula au Kenya kuomba kununua chakula kutoka Tanzania?
 
Tanzania wange safirisha unga badala ya mahindi.Tukoje Tanzania!
Pia tungesafirisha mazao mengine yatokanayo na mahindi kama pumba n.k
Maghala ya NMC na mashine zake tumewapa wawekezaji feki,kwa bei ya kutupa yanachakaa bila kutumika.
 
Huu ndiyo uimara wa uchumi katika Serikali ya CCM.
Mahindi niliyolima kwa gharama zangu yanauhusiano gani na serikali ya CCM. Tangu nianze kilimo hajawahi fika hata mjumbe wa nyumba kumi wa CCM shambani kwangu iweje uhusishe mahindi ya watu na CCM
 
Mahindi niliyolima kwa gharama zangu yanauhusiano gani na serikali ya CCM. Tangu nianze kilimo hajawahi fika hata mjumbe wa nyumba kumi wa CCM shambani kwangu iweje uhusishe mahindi ya watu na CCM

Wacha uongo wewe.
 
Tanzania wange safirisha unga badala ya mahindi.Tukoje Tanzania!
Pia tungesafirisha mazao mengine yatokanayo na mahindi kama pumba n.k
Maghala ya NMC na mashine zake tumewapa wawekezaji feki,kwa bei ya kutupa yanachakaa bila kutumika.

Hao unaowaita wawekezaji feki Bakhresa ndiye msambazaji wa kwanza wa unga wa ngano Afrika Mashariki na ya kati, na hizo mashine zote za kizamani kaondoa, sasa hivi watu wana "bofya" tu.

Uko wapi, umelala?
 
mahindi niliyolima kwa gharama zangu yanauhusiano gani na serikali ya ccm. Tangu nianze kilimo hajawahi fika hata mjumbe wa nyumba kumi wa ccm shambani kwangu iweje uhusishe mahindi ya watu na ccm

kilimo kwanza; ruzuku ya pembejeo na mbegu bure

sera ya ccm, chezea ccm wewe utajuta kuwafahamu 2015. Tutlisha na south sudan na somalia .
Giant of economy inakuja
 
Nyinyi watu hamna pema,paku pongeza pongezeni.ruzuku zote hata Ofisi moja hamjajenga.

Ofisi ni muhimu saa mkuu KWELI!, ila ukumbuke kwamba Kuwa na ofisi zenye viwango vya ubilionea si kigezo cha utendaji na ufanisi bora wa kazi. Mfano mzuri ni CCM na miiko aliyokuwa akilia nayo Nyerere!
 
Ni vyema tukawa bega kwa bega na jirani zetu wakati wa shida na furaha. Ikiwa sisi tutakula na kushiba na jirani zetu wana njaa, sisi ndio tutabeba mzigo wa dhambi. Huu ni wajibu wetu wa mwanzo na huu si msaada ni lazima kwetu, hatuwezi kushiba wakati wenzatu wanalala na njaa.

Tena kama hawana fedha hata bure tutawapa jirani zetu.

Ahsante Jakaya kwa kuona mbali, kuja na ubunifu wa hifadhi ya chakula na kilimo kwanza.
 
Watani wetu wananjaa sana Tanzania ikiweka ngumu wakenya watakufa kuliko waethiopia walivyokufa miaka 80s.
 
Back
Top Bottom