simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Ujinga wa watanzania ndio uko hapo, badala ya watu kuona hii kama fursa ya kufanya biashara wanaona kama wanatoa msaada na kujivuna. Huu ni uchanga katika biashara. By the way ilitakiwa kuwa na free movement of goods bila hata kuomba vibali ili mkulima wa Tanganyika anufaike na soko la Kenya na popote pale. Huu uzembe wa kutotambua fursa umeletwa na CCM
Wengi wameshiba propaganda hawawezi kupambanua jema lipi baya lipi. Hii ni fursa ya kuchangamkia hasa biashara ya mchele.