Kenya yaondoa zuio la kuingiza mahindi kutoka Tanzania na Uganda

Kenya yaondoa zuio la kuingiza mahindi kutoka Tanzania na Uganda

The Minister also appealed to the partner states of the East African Community (EAC) to fast track ratification of EAC- SGS standards on aflatoxin and submit the instruments of certification to the EAC
Hii ndiyo sababu ya figisu. Mimi ningekuwa waziri nisinge ratify ujinga huu
 
Yani habari hii kuna wenzatu ni mwiba,,sijui kwanini jamani??[emoji848]
we bana acha tu.

sometime unatamani uwe karibu na mjinga mmoja umtie bonge la bao la uso[emoji16][emoji16][emoji16].nextime aache uchoko.
 
Wanatikisa kiberiti kuona kina njiti ngapi, shwain kweliii Kenya!
 
Unatishia kujamba wakati unahara! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Viwanda pia vinahitaji masoko. Tunategemeana acha ujinga. Kama viwanda havina wanunuzi unazan vitaendelea kuwepo? Huo ndio mpango ninyi muwe na viwanda mtuuzie products zenu na sisi tuwauzuie mahindi. Sasa shida iko wapi? Japo tunajua viwanda vyenu ninyi wenzetu ni wafanyakazi tu. Faida inaenda china na india

Tafadhali tafuna mandazi polepole bila pressure mwenzangu 🤣 🤣
 
Nasikia AFA (kenya) wamesema tena mahindi ya Tz ndio yana sumu kuvu kuliko kwa kiwango cha juu
yaan hawa wakenya sijui wana tutafutia nini ? Binafsi hata siwaelewi yaan
 
Yale ya pale bandarin mombasa yashanunuliwa tyr ndo maana wamerusu!
 
Tulikuwa tunawatisha ndio mfahamu Sisi ndio baba Yao na mlitishika.
 
Tulikuwa tunawatisha ndio mfahamu Sisi ndio baba Yao na mlitishika.
Hamna uwezo wa kuitikisa Tanzania, dunia nzima inapambana na Tanzania na bado hatutikisili, Kenya ni shithole country kwa Tanzania

Sasa hivi Kenya inatumia jina la Magufuli ili muweze kujitangaza duniani, habari za Tanzania Kenya ndio zenye kifuatiliwa na wakenya wengi kuliko habari zenu
 
Hamna uwezo wa kuitikisa Tanzania, dunia nzima inapambana na Tanzania na bado hatutikisili, Kenya ni shithole country kwa Tanzania

Sasa hivi Kenya inatumia jina la Magufuli ili muweze kujitangaza duniani, habari za Tanzania Kenya ndio zenye kifuatiliwa na wakenya wengi kuliko habari zenu
Ulivyokuwa unababaika kwa mathread ushasahau? Kumbuka tulipoanza kununua mahindi Zambia bei ya mahindi bongo iliporomoka kutoka Tsh. 1000 kwa kilo hadi Tsh. 300 kwa kilo, wakulima wenu wanalilia soko la Kenya, mawaziri wenu wanalilia soko la Kenya, wewe keyboard warrior uko hapa unajifanya mjuaji. Ukulima Tanzania sii kitu bila Kenya maanake hadi exportation mnategemea Kenya. Tazama video.

 
Back
Top Bottom