BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 2,882
- 2,263
Ukisema Nyinyi mna viwanda unakiwa unamaanisha wewe na nani? aSisi tuna viwanda. Nyinyi mna viwanda vya matofali na mandazi [emoji1787][emoji1787]
Uchumi upi tena what I know Kenya is a failed state,This cheap maize itaharibu economy yetu.
Kuna mtu narok county najua ako na over 1,000 bags,
Sahii anapea ngombe na kuku kuliko auze hasara 2000-2500.
Hamjawahi kununua mahindi Zambia wacha uongo, Tanzania tulikataa yapitie katika Barbara zetu, hapo ndio ikawa mwisho wa Kenya kufikiria kununua mahindi ya Zambia, ninyi mnatutegemea kwa kila jambo, bila sisi hamuwezi kuzifikia nchi za kusini mwa AfricaUlivyokuwa unababaika kwa mathread ushasahau? Kumbuka tulipoanza kununua mahindi Zambia bei ya mahindi bongo iliporomoka kutoka Tsh. 1000 kwa kilo hadi Tsh. 300 kwa kilo, wakulima wenu wanalilia soko la Kenya, mawaziri wenu wanalilia soko la Kenya, wewe keyboard warrior uko hapa unajifanya mjuaji. Ukulima Tanzania sii kitu bila Kenya maanake hadi exportation mnategemea Kenya. Tazama video.
https://www.facebook.com/
Hivi umeangalia video ama unabwabwaja tu? Ni bundle huna au nini?Hamjawahi kununua mahindi Zambia wacha uongo, Tanzania tulikataa yapitie katika Barbara zetu, hapo ndio ikawa mwisho wa Kenya kufikiria kununua mahindi ya Zambia, ninyi mnatutegemea kwa kila jambo, bila sisi hamuwezi kuzifikia nchi za kusini mwa Africa
Mmebana mapaja mwisho mkaachia tuingize 😆😆🤣Angalia mlivyotoa povu humu na mathread alafu jinsi Waziri wenu alivyokimbia Namanga immediately after kupata news.