Tetesi: Kenya yaongoza Dunia kwa upotovu wa kutofuata sheria

Tetesi: Kenya yaongoza Dunia kwa upotovu wa kutofuata sheria

Mkikuyu- Akili timamu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,310
Reaction score
7,465
Repoti za "Rule of Law" Zimeonyesha kwamba hadi sasa, Kenya ndio inayo shikilia nambari moja duniani kwa uogozi wa Mihemko, Kukurupuka, Hisia na mikwara ya viogozi badala ya utiifu wa Sheria😂😂😂

IMG_20190821_115137.jpg
 
Pia tusisahau kwamba Kenya inaongoza Africa kwa mvurugiko wa utimamu wa akili (peace of mind) Wakenya kwa ujumla hawana kabisa utimamu wa amani huku Tanzania ikiongoza Africa na duniani imezipita mpaka France, Greece na nchi nyingi kubwa

Watu wa aina waliovurugwa kisaikolojia hawatakaa waheshimu sheria sababu wapo kwenye monkey Republic

Screenshot_20190820-075638.png



 
Kumbe ndio maana ni wabishi [emoji23][emoji23][emoji23].
Pia tusisahau kwamba Kenya inaongoza Africa kwa mvurugiko wa utimamu wa akili (peace of mind) Wakenya kwa ujumla hawana kabisa utimamu wa amani huku Tanzania ikiongoza Africa na duniani imezipita mpaka France, Greece na nchi nyingi kubwa

Watu wa aina waliovurugwa kisaikolojia hawatakaa waheshimu sheria sababu wapo kwenye monkey Republic

View attachment 1186630


 
acheni wivu jameni hamutofikia kenya kamwe. Kwa uzuri na Kwa ubaya pia wanaongoza kotekote.kenya is a special country.
 
Pia tusisahau kwamba Kenya inaongoza Africa kwa mvurugiko wa utimamu wa akili (peace of mind) Wakenya kwa ujumla hawana kabisa utimamu wa amani huku Tanzania ikiongoza Africa na duniani imezipita mpaka France, Greece na nchi nyingi kubwa

Watu wa aina waliovurugwa kisaikolojia hawatakaa waheshimu sheria sababu wapo kwenye monkey Republic

View attachment 1186630


Aiisee
 
Tanzania tupo na bahati mbaya kuwa na jirani Kenya. Sisi tunafanana sana na SADC , sijui kwanini tunaendelea kubakia EAC, karibu nchi zote za EAC ni hovyo kabisa, ukabila, rushwa, Extrajudicial killings, police brutality, njaa, terrorism, Drugs(Akasha family), Eee Mungu tulikukosea nini hadi utepee Kenya kama jirani yetu?
 
Repoti za "Rule of Law" Zimeonyesha kwamba hadi sasa, Kenya ndio inayo shikilia nambari moja duniani kwa uogozi wa Mihemko, Kukurupuka, Hisia na mikwara ya viogozi badala ya utiifu wa Sheria😂😂😂

View attachment 1186612
Yaani siku hizi screenshot moja yenye inaonyesha headline ni tosha kuanzisha mjadala, tena watu wanatoa ma comment like its a done deal! Duh, Yani JF Kenyan section siku hizi imekua ni section ya tit-for-tat, Ungelipa hizo ksh30 bob ununue hio e-gazette na ufungue hio page 6 usome kwanza, labda ungegundua walieka hio heading kihivyo ili kuvutia watu wanunue gazeti...


Official report kutoka kwa World Justice Project ndo hii hapa chini, fungua ujisomee mwenyewe
Kenya iko na 45 points out of 100 wakati Tanzania iko na 47 points out of 100..... Yani kwa kifupi sote tuko na grade D

Kilicho isaidia Tz kupata hizo point mbili juu ya Kenya ni Absence of Civil Conflict ambayo Tz ilipata 98%

1566382478255.png



Na Kenya ilipata 73% kwa absence of civil conflight


1566382568034.png



Na kama unavyoona hapo,Kenya haiongozi duniani, Kenya ni number 101 out of 126


Ranking by Region
1566383328299.png



Ranking by Income level


1566383264223.png









Tena ukichunguza zaidi unagundua Upande wa Kenya interviews/polling ilifanyika Kenya nzima Wakati Tanzania walifanya interviews kwa watalaam wa Dar, Mwanza na Arusha pekee .... Hata hivyo hi tofauti ya 45 na 47 ni ndogo sana, na Kenya haiongozi hata Africa, wacha duniani, kwa ukiukaji wa sheria!!!

1566384927835.png

1566384122111.png

1566384189231.png
 

Attachments

  • 1566383140720.png
    1566383140720.png
    64.8 KB · Views: 10
Yaani siku hizi screenshot moja yenye inaonyesha headline ni tosha kuanzisha mjadala, tena watu wanatoa ma comment like its a done deal! Duh, Yani JF Kenyan section siku hizi imekua ni section ya tit-for-tat, Ungelipa hizo ksh30 bob ununue hio e-gazette na ufungue hio page 6 usome kwanza, labda ungegundua walieka hio heading kihivyo ili kuvutia watu wanunue gazeti...


Official report kutoka kwa World Justice Project ndo hii hapa chini, fungua ujisomee mwenyewe
Kenya iko na 45 points out of 100 wakati Tanzania iko na 47 points out of 100..... Yani kwa kifupi sote tuko na grade D

Kilicho isaidia Tz kupata hizo point mbili juu ya Kenya ni Absence of Civil Conflict ambayo Tz ilipata 98%

View attachment 1186654


Na Kenya ilipata 73% kwa absence of civil conflight


View attachment 1186656


Na kama unavyoona hapo,Kenya haiongozi duniani, Kenya ni number 101 out of 126


Ranking by Region
View attachment 1186669


Ranking by Income level


View attachment 1186668








Tena ukichunguza zaidi unagundua Upande wa Kenya interviews/polling ilifanyika Kenya nzima Wakati Tanzania walifanya interviews kwa watalaam wa Dar, Mwanza na Arusha pekee .... Hata hivyo hi tofauti ya 45 na 47 ni ndogo sana, na Kenya haiongozi hata Africa, wacha duniani, kwa ukiukaji wa sheria!!!

View attachment 1186690
View attachment 1186681
View attachment 1186682
Mungu tunakuomba ile Rift Valley iliyoanza kuligawa bara la Africa uipeleke kwa kasi ili Tanzania ijitenge na EA, tubaki na ndugu zetu wa damu huku kusini(SADC).
 
Mungu tunakuomba ile Rift Valley iliyoanza kuligawa bara la Africa uipeleke kwa kasi ili Tanzania ijitenge na EA, tubaki na ndugu zetu wa damu huku kusini(SADC).
Sio lazima Ardhi ipasuke ndo mjitenge, mnaweza kujitenga ki idiolojia na mjiondoe kwa EAC officially (Kama vile mlivyo jiondoa kwa COMESSA) mbaki ndani ya SADC pekee, hio itakua inatosha, Sisi tunapakana na Ethiopia ambao pia ki jiografia wako EA lakini idiolijia zetu ni ardhi na mbingu (Except when it comes to dealing with Somalia, then our ideologies with Ethiopia align).


Alafu hapo kwa hio ripoti, Naziona Madagascar, Mozambique, Angola, DRC, Zimbabwe zote ziko ndani ya ndugu zenu wa damu SADC na pia ziko chini ya Kenya...

1566383328299-png.1186669
 
Yaani siku hizi screenshot moja yenye inaonyesha headline ni tosha kuanzisha mjadala, tena watu wanatoa ma comment like its a done deal! Duh, Yani JF Kenyan section siku hizi imekua ni section ya tit-for-tat, Ungelipa hizo ksh30 bob ununue hio e-gazette na ufungue hio page 6 usome kwanza, labda ungegundua walieka hio heading kihivyo ili kuvutia watu wanunue gazeti...


Official report kutoka kwa World Justice Project ndo hii hapa chini, fungua ujisomee mwenyewe
Kenya iko na 45 points out of 100 wakati Tanzania iko na 47 points out of 100..... Yani kwa kifupi sote tuko na grade D

Kilicho isaidia Tz kupata hizo point mbili juu ya Kenya ni Absence of Civil Conflict ambayo Tz ilipata 98%

View attachment 1186654


Na Kenya ilipata 73% kwa absence of civil conflight


View attachment 1186656


Na kama unavyoona hapo,Kenya haiongozi duniani, Kenya ni number 101 out of 126


Ranking by Region
View attachment 1186669


Ranking by Income level


View attachment 1186668








Tena ukichunguza zaidi unagundua Upande wa Kenya interviews/polling ilifanyika Kenya nzima Wakati Tanzania walifanya interviews kwa watalaam wa Dar, Mwanza na Arusha pekee .... Hata hivyo hi tofauti ya 45 na 47 ni ndogo sana, na Kenya haiongozi hata Africa, wacha duniani, kwa ukiukaji wa sheria!!!

View attachment 1186690
View attachment 1186681
View attachment 1186682
Mungu amlinde JOHN POMBE MAGUFULI kwa Uongozi wake tiifu kwa sheria za Muungano wa Tanzania na Zanzibar na Mfano kwa nchi zote za Africa👏👏👏

IMG_-brx4ep.jpg
 
Yaani siku hizi screenshot moja yenye inaonyesha headline ni tosha kuanzisha mjadala, tena watu wanatoa ma comment like its a done deal! Duh, Yani JF Kenyan section siku hizi imekua ni section ya tit-for-tat, Ungelipa hizo ksh30 bob ununue hio e-gazette na ufungue hio page 6 usome kwanza, labda ungegundua walieka hio heading kihivyo ili kuvutia watu wanunue gazeti...


Official report kutoka kwa World Justice Project ndo hii hapa chini, fungua ujisomee mwenyewe
Kenya iko na 45 points out of 100 wakati Tanzania iko na 47 points out of 100..... Yani kwa kifupi sote tuko na grade D

Kilicho isaidia Tz kupata hizo point mbili juu ya Kenya ni Absence of Civil Conflict ambayo Tz ilipata 98%

View attachment 1186654


Na Kenya ilipata 73% kwa absence of civil conflight


View attachment 1186656


Na kama unavyoona hapo,Kenya haiongozi duniani, Kenya ni number 101 out of 126


Ranking by Region
View attachment 1186669


Ranking by Income level


View attachment 1186668








Tena ukichunguza zaidi unagundua Upande wa Kenya interviews/polling ilifanyika Kenya nzima Wakati Tanzania walifanya interviews kwa watalaam wa Dar, Mwanza na Arusha pekee .... Hata hivyo hi tofauti ya 45 na 47 ni ndogo sana, na Kenya haiongozi hata Africa, wacha duniani, kwa ukiukaji wa sheria!!!

View attachment 1186690
View attachment 1186681
View attachment 1186682

Lakini tuwe wakweli mkuu,
Wakenya kitu pekee huwaboa wakiendesha magari yao barabara za tz ni Vibao vya speed, Pamoja na Kutosimama Traffic lights na Zebra, (lie..??)
Yaani mkenya akifika Traffic light ni kuangalia possibilities za kuchomoka haijalishi taa zimemruhusu au laa.[emoji2]
Tanzanian drivers always observe road signs.
For this We must agree mko very rough na wengi wenu mkija tz hamuelewagi hata kama huku kuna Regulations, mnaishia kupata matatizo,
Nina Ushahidi juu ya Hili, kuna wakati nilijikuta natumia gharama kumsaidia jamaa yangu Nimekaa na kufanya kazi na Wakenya, Waganda, Ethiopia na Wanaijeria, But overall Kenyans are Very rough and arrogant , hata kufuata protocol hamjui, Yaani unakuta MD wa kampuni anakurupuka huko juu anaparamia crook wa chini kabisa anaruka line managers na chain yote ya command hapo katikati mpaka unashangaa. [emoji2][emoji2][emoji2]

Kwakweli mna safari ndefu, You need a bit of civilization
 
Mkenya nchini kwake hajazoea kufata sheria ndio maana akiwa nchi zingine utasikia wakisema eti wananyanyaswa kumbe wala hata hawanyanyaswi ni sheria za nchi husika ndio hawazifati hawa jamaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini tuwe wakweli mkuu,
Wakenya kitu pekee huwaboa wakiendesha magari yao barabara za tz ni Vibao vya speed, Pamoja na Kutosimama Traffic lights na Zebra, (lie..??)
Yaani mkenya akifika Traffic light ni kuangalia possibilities za kuchomoka haijalishi taa zimemruhusu au laa.[emoji2]
Tanzanian drivers always observe road signs.
For this We must agree mko very rough na wengi wenu mkija tz hamuelewagi hata kama huku kuna Regulations, mnaishia kupata matatizo,
Nina Ushahidi juu ya Hili, kuna wakati nilijikuta natumia gharama kumsaidia jamaa yangu Nimekaa na kufanya kazi na Wakenya, Waganda, Ethiopia na Wanaijeria, But overall Kenyans are Very rough and arrogant , hata kufuata protocol hamjui, Yaani unakuta MD wa kampuni anakurupuka huko juu anaparamia crook wa chini kabisa anaruka line managers na chain yote ya command hapo katikati mpaka unashangaa. [emoji2][emoji2][emoji2]

Kwakweli mna safari ndefu, You need a bit of civilization
 
Lakini tuwe wakweli mkuu,
Wakenya kitu pekee huwaboa wakiendesha magari yao barabara za tz ni Vibao vya speed, Pamoja na Kutosimama Traffic lights na Zebra, (lie..??)
Yaani mkenya akifika Traffic light ni kuangalia possibilities za kuchomoka haijalishi taa zimemruhusu au laa.[emoji2]
Tanzanian drivers always observe road signs.
For this We must agree mko very rough na wengi wenu mkija tz hamuelewagi hata kama huku kuna Regulations, mnaishia kupata matatizo,
Nina Ushahidi juu ya Hili, kuna wakati nilijikuta natumia gharama kumsaidia jamaa yangu Nimekaa na kufanya kazi na Wakenya, Waganda, Ethiopia na Wanaijeria, But overall Kenyans are Very rough and arrogant , hata kufuata protocol hamjui, Yaani unakuta MD wa kampuni anakurupuka huko juu anaparamia crook wa chini kabisa anaruka line managers na chain yote ya command hapo katikati mpaka unashangaa. [emoji2][emoji2][emoji2]

Kwakweli mna safari ndefu, You need a bit of civilization
45% Vs 47% si safari ndefu, Alafu hayo mengine ni maoni na hisia zako towards Kenyans.....Huku Kenya hua tunawaona wanaijeria kua ni arrogant, loud, rude..etc Sasa wewe unasema sisi ndo tunashinda wanaigeria......... Alafu hayo maneno unayotumia eti arrogant, hatufwati protocol..... In orther words, Ukiuliza huyo mkenya anayefanya hivyo atakwambia watanzania are very slow, lazy, ndio maana huyo MD anakua frustrated manake akifwata protocol anazungushwa na story nyingi, akienda kwa project manager anaambiwa kaaenda harusini, akienda kwa site engineer anaambiwa hajafika kazini tangu jana.... mwishowe inabidi anaruka chain of command anaenda kwa yule anajua ako na uwezo wa ku make things happen!!! Did you think of that????
 
Back
Top Bottom