Kenya yaongoza duniani kwenye idadi ya watalii wanaosajili kuja

Header ya post yako inapotosha. Inachoongoza Kenya kwa mujibu wa post yako ni growth rate yaani percent ya ongezeko la watalii wanaotembela Kenya. Kenya haiwezi kuwa na watalii wengi zaidi duniani,
HAHAHAH mayonene hata kwenye growth rate TANZANIA NDIYO INAONGOZA DUNIANI IKIWA NA ASILIMIA 98% NDIO MAANA KENYA HATA KWENYE TOP TEN HAIPO SOMA ATTACHMENT YA REPOTI HALISI
 

Attachments

Dah.. jamaa kaumbuka vibaya.

WaKenya lini mtaacha kupika uongo.. yani mnapika mpaka data halafu mna expect sisi kuwaamini bila ku cross check..

Vitu vingine mnajitia aibu...
 
HAHAHAH mayonene hata kwenye growth rate TANZANIA NDIYO INAONGOZA DUNIANI IKIWA NA ASILIMIA 98% NDIO MAANA KENYA HATA KWENYE TOP TEN HAIPO SOMA ATTACHMENT YA REPOTI HALISI
Mkuu umewakimbiza wa k kwenye uzi wao wa majivuno
 

Nilikua nakupuuza lakini naona nikujibu mara moja na kuachana na wewe, mbona mnajitekenya na kucheka cheka wenyewe, hivi mnajua nini kinachoongelewa kuhusu ama lugha imegongana.
Fuata hii link ya Virtuoso utapata idea https://www.virtuoso.com/getmedia/4...2001c228a2/Virtuoso-Q1-2016-Trends-final.aspx
 
***
MK254 ACHA UONGO WAKO TANZANIA INAONGOZO;-
***

Tanzania continues to register a
remarkable performance in
tourism sector internationally. The
International luxury travel network
Virtuoso, recognized as an
influential trend forecaster in the
industry announced recently that
Tanzania has emerged first in the
list of hot ten countries that have
recorded a largest percentage of
growth in tourist bookings
worldwide this year.
According to report released by
the American luxury travel
network Virtuoso Tanzania scores
98% followed by Portugal and
Ireland which scored 88% and
58% respectively. Other countries
with their percentage in brackets
are: Brazil (53%), Mexico (48%),
Russia (44%), Netherlands (38%),
Jamaica (28%), Sweden (23%) and
Poland (18%).
“Tanzania is experiencing a huge
increase in bookings, as travellers
seek out its incredible scenery and
diversity of wildlife” says Virtuoso
in their statement. The release
further discloses that there are
few surprises emerged when
Virtuoso compared this year’s
performance summer hot spots to
last year’s “must see”
destinations.
Commented on this, the Tanzania
Tourist Board, Ag. Director of
Marketing Mr. Philip Chitaunga
observes that this is a great
achievement we should all cherish
and is a clear manifestation of the
great effort Tanzania Tourist
Board in collaboration with other
public institutions and private
sector in tourism industry exert in
promoting destination Tanzania
globally. “We are proud of this
performance as it clearly shows
the commitment that TTB and
other stakeholders attach to
promoting destination Tanzania
and the growth of this lucrative
industry” he said.
Virtuoso is the leading
international travel agency
network specializing in luxury and
experiential travel. This by-
invitation-only organization
comprises of over 380 agency
members with more than 11,400
elite travel advisors in on over 30
countries throughout North
America, Latin America, the
Caribbean, Europe, Asia-Pacific,
Africa and Middle East.
Issued by😛ublic Relations
OfficeTanzania Tourist
Board17th /8/2016
 
I gave you the full final report so read it brother.....hahhaah nyie muongoze kwa utalii kwa kipi?.......hahaha mie nimezaliwa na nimeishi ilipozaliwa hiyo lugha sijui unasemaje na ni mtaalam wa lugha tisa za kimataifa......poleni wakenya
 
hahaha kijana nimezaliwa na kuishi hiyo lugha ilipozaliwa na hauniwezi kwa lugha hii nimezaliwa HIGHGATE HOSPITAL na niliishi 5 MANCHESTER ROAD,READING BERKSHIRE,3QD, LONDON UNITED KINGDOM FROM 1983 TO 1998 na nakwenda kila December so hauniwezi kwenye hii lugha.............sasa twende kwenye link uliyoitoa ni ya zamani sana ni ya mwezi February 2016 na haijaonesha asililimia zozote kuhusu Tanzania kuwa na 27% mmepika nyie wakenya na report niliyokupa mimi ni ya mwezi APRIL 2016 sasa angalia unatakiwa kuitegemea ipi kama ushahidi ile ya zamani au mpya?.....Nyie nimeoa kwenu lakini ni malimbukeni sana nawaona hata shemeji zangu hahahah muda wa kuitumia Tanzania umeisha.....nakumbuka miaka ya nyuma hata kwenye ndege zenu mlikuwa mnaweka vipeperushi kuwa 'the only way to see mount Kilimanjaro is through kenya' hii ilikuwa 2012 na ndipo Raisi Wetu JAKAYA KIKWETE akaona inatosha ngoja tuiambie ukweli Dunia kuwa nyie hamna kitu...ndio sababu kunzia 2013 watalii wakaikacha kenya na kujaa Tanzania sababu wamejua ukweli.......nyie kasumba haziwaishi Mtoto wa waziri mkuu wa zamani unategemea atakuwa na ufahamu kwenye mkutano wa kimataifa akadai OLDUVAI GORGE IPO KENYA baaadae akakana kuwa kupitia twitter kuwa alikosea ni Tanzania huku lengo lake la kuitangaza kenya imetimia....
 
***
hii inaitwa alitufanyia "masterminds" tricky./ ujumbe kimataifa kwanza kurekebisha makosa baadae!.
 

Kabla sijapoteza muda wangu kukujibu zaidi, naomba ukapate darasa ya kuandika lugha kwa ufasaha, kuna kitu kinaitwa punctuation, hapa umejaza maneno mengi kwenye paragraph moja hata mwanafunzi wa Kikenya wa darasa la tatu anakuzidi kwenye uandishi.
 


Wewe, uko sure imesoma vizuri hio ya tz na ya kenya, a ulikua over exited na ukaruka line kadhaa kama mwenzio geza? usitake kujiabisha hapa, kama utaleta data original make sure ni the right one, utabaki ukijiburuza mwenyewe sasahivi, media ya kenya aijadanganya yeyote, imetoa source kutoka hukohuko virtuos, joke is on you, umeshinda ukichekacheka hapa sasa tuone nani atakaa kama zube after amerealise alikua anaquote the wrong issue magazine
 
Kabla sijapoteza muda wangu kukujibu zaidi, naomba ukapate darasa ya kuandika lugha kwa ufasaha, kuna kitu kinaitwa punctuation, hapa umejaza maneno mengi kwenye paragraph moja hata mwanafunzi wa Kikenya wa darasa la tatu anakuzidi kwenye uandishi.
Yaani MK254 wewe ni Bongo lala umeshindwa hata kufanya upembuzi yakinifu kuhusu taarifa yako angalia kwenye uzi umeweka kuwa kenya wamepata ongezeko la usaili kwa asilimia 56% afu kwa mabavu kabisa ukaweka link kuwa ndio itatoa ushahidi afu kwenye hiyo link sasa inaonesha kenya wamesajili ongezeko la asilimia 47%.....hapa ndipo najiuliza ulifikiria na kufanya utafiti? au ulikurupuka na ishu za kopi na kupesti?......TUMIA AKILI KAKA HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA
 
I AM VERY SURE MY BROTHER AND MADE A COMPARATIVE ANALYSIS AFTER VIRTUAL THINKING LEADING TO THE ABOVE UNVAILED REALITY AS PER ATTACHED REPORT HEREIN. SUFFICE TO SAY U GUYS ARE THINKING OF BUILDING STOREY ON AIR............
 
Hawa watu sijui bongo zao zimeganda, peleken upuuzi wenu huko Kenya.
 

If we go by this article posted in august, the its is actually TTB who are liers, they are deliberately misleading Tanzanians to save face, You (Tanzania) have been placeholders holding our position in the tourism industry while we(kenya) were busy dodging bullets and grenades, now that the travel advisories were lifted we are taking back our place, you can go now, back to bieng no.2 in the region
Italy, Kenya Top Virtuoso’s Luxury Destinations for Fall 2016 | Luxury Travel Advisor






TTB walijaa mapovu wakashindwa vipi kenya inawapiku na bado hata iko kwa recovery bado ata kuna maeneo mengine kama lamu bado yako na travel advisory na tayari tumeshaanza kujiregesha pale tulipokua, TTB ikaona wacha tu mislead hawa watu na kuweka data za msimu uliopita
 
I AM VERY SURE MY BROTHER AND MADE A COMPARATIVE ANALYSIS AFTER VIRTUAL THINKING LEADING TO THE ABOVE UNVAILED REALITY AS PER ATTACHED REPORT HEREIN. SUFFICE TO SAY U GUYS ARE THINKING OF BUILDING STOREY ON AIR............
it is your TTB that is trying to save face for bieng dethroned, using old data.


there are 4 seasons which cincidentally fall tourist seasons, especially in western countries where seasons change variably, there is spring,summer,autum(fall),winter.... if you look at that website virtuose, they have dived each season by 4 months, jan-march/april, april-june/july.....

the data which TTB chose to use this august is from April2016 (if they wanted to use that, they should have done it in april when it was summer season in western countries)......
the best season to visit kenya is after mid year, this is when there is wildbeast migration also the beaches are warm around july,august,sept....... this is the data that KTB is using, it was releast just 6 days ago by virtuose in that connference quoted above there.... the kenyan media plus KTB have thus released timely acurate data, unlike TTB which is now choosing to shout to capitalise on data which is past its halflife, its old news..... its fall season in western countries, and in this fall kenya recorded 59% increased bookings just after travel advisories were lifted a year ago in most parts at the kenyan coast exept for anywhere north of malindi including lamu.

http://www.travelmarketreport.com/a...op-International-Destinations-For-Fall-Travel




Ulikua unachekacheka kumbe unajicheka mwenyewe na hao TTB wenu
 
 

Attachments

lakini unaonekana hauna uelewa wa seasons za utalii kwa bara la afrika na huwa zinakuwa season mbili tu sio nne kama unavyodai season ya kwanza huanza NOVEMBER-FEBRUARY NA NYINGINE HUANZIA JUNE-SEPTEMBER kila mwaka hizi tunaziita High season na miezi mingine tunaiita low season na kwenye Fall destinations huzihusu nchi za ulaya na amerika sio Africa hata kidogo......poleeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nimesema western countries ndo zina face variable weather (the 4 seasons)..... Hizi seasons ndo pia zina affect watalii wa hizi nchi kuja huku!!!!!!! ..... can you comprehend that in your brain???? Soma na uelewewe!!!
In other words...Hapo naongelea vile season ya weather na season ya utalii zinahusiana na watalii kuja huku, what we (Africans) call June-September high tourist season here in africa, to them (western countries) its usually the begining of fall (weather season) season in their countries, just after summer (also schools and collages are usually closed for summer break between may-september in those countries) . How they choose to come to Africa instead of lets say Asia during those two high seasons(tourist seasons) is also affected by the weather here in africa... Yaani inshort what I am also saying is that when its winter in the west, its summer in Africa.

But lets not make it about that, thats a discussion for another day, what we are here to discuss is the heading of this topic which you have been laughing off and calling people lairs who cook data when infact it is you people who are trying to claim lost glory


here are screen shot from Virtuoso website itself, published 11th this month August,2016








18 Places Upscale Travelers Are Flocking for Holiday Trips

You guys shouls apologies for shaming yourselves infront of us. Leave Kenya to celebrate what it deserves in peace, next time before you start throwing accusations make sure you check your information first befor making people waste their time going in circles while you try to attack from different angles
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…