Kenya yaongoza duniani kwenye idadi ya watalii wanaosajili kuja

I gave you the full final report so read it brother.....hahhaah nyie muongoze kwa utalii kwa kipi?.......hahaha mie nimezaliwa na nimeishi ilipozaliwa hiyo lugha sijui unasemaje na ni mtaalam wa lugha tisa za kimataifa......poleni wakenya
Ahahaha naona jamaa amekuja na report ya February wakati umemuwekea latest ya April.. Ahahaha mkuu kula five.
 


 
hahahah wajamaa manachekesha kweli toeni document halisi from VIRTUOSO sio quotes from other websites bana report ni mbili tu ya February na April hakuna nyingine na nimewatumia humu sasa msitokwe na mapovu kwa kuleta cooked data wajameni its kenya who lost the glory coz truth comes out they now know who is who in tourist industry and we are the kings for east Africa......................................
 
Why should we be splitting hairs here over........growth rates?
 
Tanzania sio haba watalii waja....
 
Hapa ndo mi nashuka, asiyekubali kushindwa....
ripoti hio imetoka kwa website yao, na pia wamequote from their official twitter handle, sikuhizi dunia iliendelea bana document ziko in many formart, kuna online version, offlinr version(pdf) ... lakini hapa ndo mi nashuka hili basi, its clear nani mkweli na nani kaji aibisha
sahii umebaki kuwa comedian hapa kwa hii mada
 
Its your time now even though your not having good national perks than ours but what we as Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…