acha ushamba kila kitu ni makubaliano hakuna aliye ogopa....aisee jeshi letu likienda pale lazima ghalama itumike kwanu sisi huwaga tunamaliza kazi kabisa hatunaga mbwembwe..Hehehe! Kama pale Somalia ndio vipimo, basi bora ukae kimyaaa maana nyie mumeogopa kupakaribia wakati mataifa yote ya ukanda huu yamekwenda ikiwemo Burundi na Rwanda.
Haina maslahi Kwa taifa letuHehehe! Kama pale Somalia ndio vipimo, basi bora ukae kimyaaa maana nyie mumeogopa kupakaribia wakati mataifa yote ya ukanda huu yamekwenda ikiwemo Burundi na Rwanda.
wataumia wakenya....kwani hawana technical plan wazembe sanaHahaha unachojua ni kugoogle "Tanzania v Kenya"kinachokupendeza unaleta.." Bwege wewe ombeni hata vita ya kirafiki basi tufunge mjadala"
hawajui hawaTanzania ndio nchi yenye jeshi bora kabisa Afrika.
Teh teh tehHaya sio maoni ya kila mtu, ni tathmini ya uwezo wa mejeshi ya dunia. Japo sina cha kusheherekea hapo maana Afrika tupo nyuma. Marekani anaweza kutumia ndege moja ya kijeshi kuitesa Tanzania hadi muombe poo. Ndege moja ya kisasa ambayo ina uwezo wa kuzunguka kwenye anga yenu ikipiga mabomu na kugeuza ili ikaongeze mafuta, ina uwezo wa kumaliza ndege zenu zote za kivita na kukwepa mizinga na kupiga maeneo yote muhimu ilhali Wamarekani nyumbani hata hawatakua na habari kuna vita baina ya Marekani na Tanzania, wengi hata hawatajua Tanzania ni aina ya chakula au nini, wataendelea kula burger zao pale kwao.
tanzania ni kama izrael vile hatunaga habari za makaratasi sisi kama hayo yanayosema marekani eti anaongoza kwa jeshi bora duniani.....mbona hamgusi muizraelHIVI KENYA MARA YA MWISHO SI KAMBI NZIMA ILIVAMIWA NA KUUAWA KAMA KUKU???????????
KAMBI NZIMA HATA IDADI YA WALIOKUFA MKAOGOPA KUTAJA???????????
NYIE ENDELEENI KUDANGANYWA NA HIZO RIPOTI FEKI TU,,,, WAKOLONI WANAWAFURAHISHA KUSEMA MKO JUU ILI MUENDELEE KUWAFANYIA KAZI HUKO SOMALIA NA MUENDELEE KUFA KAMA KUKU WENYE MDONDO.
HEBU SIKU JARIBUNI HATA KUSOGEZA JIWE LA MPAKA AU KU-CLAIM PORTION FULANI YA TZ NI YENU MUONE MOTO.
ndyo wanavyoangaliaga wale washenziHapo watakuwa wameangalia kale kandege kapya ka UG na viherikopter walivyonunua Kenya juzi.
Ila nadhani Africa wangeitoa kwenye hizo list maana bado tunahangaika sana na chakula Kwanza
acha ushamba kila kitu ni makubaliano hakuna aliye ogopa....aisee jeshi letu likienda pale lazima ghalama itumike kwanu sisi huwaga tunamaliza kazi kabisa hatunaga mbwembwe..
na comoro pia tumewachapa waasi kisha tukawapa nchi yao...je kenya ni wapi walipofanya kama sisi....wangekuwa wao dunia nzima ingejua wanavyopenda sifa ila sisi ni kimya kimyaTumechoka my frnd. Kusini mwa Africa tumekoa. CC tulimtoa iddi amini mbio. DRC Congo M23. Lebanon., Kawauleze
usijaribu kulinganisha jeshi la TANZANIA na uchafu wenu hata siku moja.....bado level zenu ndogo sanaHamna sehemu katika historia ya nchi yenu mumepigana na mujahedin wa kujitoa muhanga, au kwa kifupi adui wa kisasa. Mumezoea wale watoto wa M23. Jaribu kujichanganya muwabip hawa mujahideen bin shetwan, wameishinda dunia, kule Mrusi na Marekani ambao wana uwezo zaidi yenu mara 1,000,000,000 lakini cha moto wanakiona, itakua nyie wapasua matofali.
safi wakenya washazoea kubebwa......waache wabaki na takwimu za makaratasi.....
hawaijui tanzania....wazee wa kimya kimya
Uone ilivyo ripoti ya ungo,et*Kenya na Tanzania currently lack multiple rocket launchers*labda Kenya ndio hawana.Ila mi naipenda hizo under estimations sababu zinapoteza maboya kwa adui ili siku kikisanuka wanashangaa vitu wasivyotegemea,yani inakua MTU unampiga ngumi mpaka alalamike kapigwa jiwe kumbe ngumi tu hiyo.
We mjinga kiasi kipi, Mwanajeshi kufa vitani si jambo la kushangaza. Hivi ulitarajia afie wapi?Hahaha number one lakini hivyo vinuka mkojo hapo Somali wanawatoa jasho la unyayo, am tired to write RIP to Kenyan soldiers wanauwawa kama kuku wenye kideri
Nyie mnauwawa kila siku pamoja na raia lakini hamuui hata kuku wa msomali.We mjinga kiasi kipi, Mwanajeshi kufa vitani si jambo la kushangaza. Hivi ulitarajia afie wapi?
Haya basi, kwa kutumia idadi ya wanajeshi waliokufa vitani kama kigezo hapo Tanzania itakuwa hata juu ya Marekani, Ufaransa, Ujerumani na kadhalika, hii ni kwa sababu hamjashiriki in any mordern war.
Ndo maana nawaambia kila siku ya kwamba vita hamuvijui, maanake hata habari ya kuwa wanajeshi hufa vitani hamuna.
Kwa taarifa yako, we did not rank ourselves, we've been ranked.
Wivu peleka kuleeee.
Mkuu awa niwatu wapropaganda sana tulishawazoea.Mara eti Tz yote hii INA only 30 tanks!?hivi wanajua tuna kambi ngapi za kijeshi na kila kambi ina tank ngapi?propaganda bana,ila mi nazipenda hizo under estimation zao maana ni faida kwetu na inadhihirisha nikiasi gani jeshi letu ni siri na imara.Miktaka kujua hio report hawajui kitu walichoandika ..Tanzania Inazo mutiple rocket system zinaitwa the a 100 hizi hapa na haiku moja sasa View attachment 511037...na hyo ni miaka 50 ya uhuru Tz ...sasa cjui now ztKua ngap?