Kenya yaongoza EAC kijeshi ikifuatwa na Uganda

Kenya yaongoza EAC kijeshi ikifuatwa na Uganda

Hehehe! Kama pale Somalia ndio vipimo, basi bora ukae kimyaaa maana nyie mumeogopa kupakaribia wakati mataifa yote ya ukanda huu yamekwenda ikiwemo Burundi na Rwanda.
Tz tulienda DR Congo, ina maana na nyie mliogopa kwenda? katika masuala ya kivita Kenya isijilinganishe kabisa na Tz, tumeanza kupigana vita siku nyingi tangu kuzikomboa nchi za Kiafrika kutoka kwa Wareno na Makaburu, Iddi Amin alijaribu kujipima ubavu na Tz akapata matokeo. Kenya muda wote huo walikuwa na urafiki wa kibiashara na Wareno na Makaburu kama kawaida, walimsaidia Idd Amin kumpitishia silaha zake ili atupige nk lakini ni kuwa Kenya haijapigana vita ya kisawasawa, ndio kwanza wanaenda kujipima na Al Shabaab wakisaidiwa na Marekani. Kuwa na silaha nyingi sio kujua kupigana, Marekani isingepigwa na Vietnam kama Kenya inavyopigwa na Al Shabaab!
 
Shirika linalotathmini uwezo wa majeshi duniani linaloitwa 'Global Firepower', limezindua ripoti mpya ambapo Kenya imedumisha uongozi wake wa Kijeshi kwenye ukanda huu. Halafu Uganda ndio ya pili ikifuatwa na Tanzania.

Cha kushangaza ni kwamba Kenya ina wanajeshi wachache, lakini uwezo wake mkubwa kijeshi.
Misri ndio kiongozi Afrika, halafu duniani baba yetu mkubwa ni Marekani akifuatwa na Urusi haalfu Mchina wa tatu.

--------------------------------------------------------------
Kenya’s military has for the second time been ranked as Africa’s eleventh most powerful force ahead of its Ugandan and Tanzanian counterparts, despite the neighbouring countries’ bigger personnel count.

Global Firepower, an agency that assesses the military strength of nations, ranks Kenya as the most powerful nation in East Africa based on its manpower, range of weaponry, logistical flexibility and budgets.

Kenya’s military is, however, ranked below Ethiopia and is also smaller than its East African peers based on personnel headcount.

Kenya has 24,150 military personnel, slightly more than half of Uganda’s 45,000 while Tanzania commands 30,000 servicemen.

“Going beyond military equipment totals and perceived fighting strength, is the actual manpower that drives a given military. Wars of attrition favour those with more,” the study says.

The rankings show that Kenya’s army size has changed little since 2015, retaining the badge as the continent’s eleventh most superior force for the second year.

Neighbouring Ethiopia is more powerful and commands a bigger force of 185,500 personnel, which is seven times Kenya’s.



Nigeria, South Africa, Egypt and Sudan are also ranked ahead of Kenya.

Despite having a larger pool of personnel, Uganda ranks behind Kenya in military strength at position 16 in Africa while Tanzania comes in 17th.

Kenya has an arms stockpile of 76 battle tanks, 591 armoured fighting vehicles, 30 self-propelled guns, 25 towed artillery, 131 aircraft, 17 fighter jets, and 61 helicopters, according to Global Firepower.

Uganda’s weapons stock comprises 240 tanks, 43 aircraft, 1,060 armoured fighting vehicles, nearly twice Kenya’s cache, and 26 multiple-launch rocket systems.

Kenya and Tanzania currently lack the multiple launch rockets. Tanzania’s arsenal includes 30 tanks, 150 armoured fighting vehicles and 30 aircraft.

Kenya, which is the region’s largest economy, has over the years led its East African neighbours in military spending.

Kenya’s defence bill last year grew 10.5 per cent to Sh96 billion ($933 million), shooting above those of Ethiopia and Uganda combined, according to last month’s report by Stockholm International Peace Research Institute (Sipri).

READ: Kenya shocks rivals with Sh96bn military budget

ALSO READ: US now clears sale of Sh26bn arms to Kenya

Kenya in defence pact with South Africa

Egypt, which receives billions of dollars in US military aid, tops the list of Africa’s fearsome armies, followed by Algeria, Ethiopia, Nigeria and South Africa in that order.

Egypt had 470,000 military personnel last year, behind Algeria which has the largest army size at 520,000.

Cairo boasts 4,624 tanks, 13,949 armoured fighting vehicles, 889 self-propelled guns, 337 fighter jets, 2,360 towed artillery and 1,481 multiple-launch rocket systems.

Other African countries that are ranked militarily superior to Kenya are DR Congo, Morocco, and Angola.

“The Global Firepower ranking is largely on each nation’s potential conventional war-making capability across land, sea and air,” the agency says.

It adds that a country’s score is not simply based on its size of arms stockpile “but rather focuses on weapon diversity within the number totals to provide a better balance of firepower available.”

Globally, the US still commands the most powerful military with 19 aircraft/helicopter carriers, 5,884 tanks, 13,762 aircraft, 6,065 helicopters, 41,062 armoured fighting vehicles and 1.4 million active frontline army personnel.

Russia is second, followed by China. The two countries have one aircraft carrier each.

Analysts reckon that possession of an aircraft carrier is the hallmark of a country’s military superiority.

The carriers allow armies to navigate the international waters, reaching all corners and serving as mobile naval and air force bases.

No African nation has an aircraft carrier.

Kenya’s military expenditure has nearly doubled in the last decade from Sh50 billion in 2007 to Sh96 billion last year.

Last December, Kenya received six Huey II helicopters from the US at a cost of $106 million (Sh10.9 billion).

The aircraft, mostly used for deployment of troops in battlefields, are designed to reinforce Kenya’s use of drones in waging intelligent warfare.

Nairobi also received a Sh1 billion drone dubbed ScanEagle from the US last year, enabling the army to conduct real-time surveillance on terrorists’ hideouts and stage pre-emptive attacks.

Ugandan, Kenyan and Ethiopian are fighting Somalia-based Al-Shabaab militants in the war-torn nation under UN-sponsored Amisom.
http://www.businessdailyafrica.com/...litary-force/539546-3931860-6qk5e3/index.html
hata Idd Amini dada, kipindi hiko alikuwa na jeshi imara lakini alichapwa na tz , kushinda vita ni muunganiko wa vitu vingi, sio mavifaa tu peke yake. Hata Congo wana jeshi kubwa lakini wanadhibitiwa na nchi ndogo kama rwanda!
 
Sijui lini tutaipenda nchi yetu, watu wako radhi kujiita wachambuzi kutwa kucha kutafuta habari zenye mtazamo hasi dhidi ya mataifa mengine.
Mleta mada ni mkenya mkuu. Hiyo MK254 maana yake ni Mkenya na 254 ndio namba ya simu ya nchi yao kama yetu ilivyo +255.
 
Uwezo wa mbinu na idadi ya wanajeshi ni ngumu kujua. Lakini vifaa kwa nchi za kiafrika ni rahis kujulikana coz wao ndo wanatuuzia. Sion tatzo katka Hilo . But kongo na uganda kutuzidi czan
 
Nyie mnauwawa kila siku pamoja na raia lakini hamuui hata kuku wa msomali.

Usijaribu kufananisha jeshi lenu na Tanzania hata siku moja hakuna cha modern wala old war the war is war tena vita vilivyopiganwa zamani ndio vita vigumu technologies zilikua limited and dormant sio kama leo, unajiaibisha
Funny thing is you guys always rank yourselves as top.😀😀😀😀😀
Mkiulizwa nyie jeshi lenu limepigana wapi, mnakwepa mnaanza side shows.

Hata majeshi yakijadiliwa muwe mnafyata mdomo, kwa sababu jeshi jina tu activity hakuna na sifa mnajimiminia wenyewe, mkiwa ranked by someone indipendent mnakataa matokeo.
 
We mjinga kiasi kipi, Mwanajeshi kufa vitani si jambo la kushangaza. Hivi ulitarajia afie wapi?
Haya basi, kwa kutumia idadi ya wanajeshi waliokufa vitani kama kigezo hapo Tanzania itakuwa hata juu ya Marekani, Ufaransa, Ujerumani na kadhalika, hii ni kwa sababu hamjashiriki in any mordern war.
Ndo maana nawaambia kila siku ya kwamba vita hamuvijui, maanake hata habari ya kuwa wanajeshi hufa vitani hamuna.

Kwa taarifa yako, we did not rank ourselves, we've been ranked.
Wivu peleka kuleeee.
ha haa haaa........jidanganye ivyo ivyo kama vita hatuvijui....imgieni ndani ya box muone tutakavyo wabaka....mtajuta taifa zima
 
Funny thing is you guys always rank yourselves as top.😀😀😀😀😀
Mkiulizwa nyie jeshi lenu limepigana wapi, mnakwepa mnaanza side shows.

Hata majeshi yakijadiliwa muwe mnafyata mdomo, kwa sababu jeshi jina tu activity hakuna na sifa mnajimiminia wenyewe, mkiwa ranked by someone indipendent mnakataa matokeo.
kama haujui ....lilipaa mpaka saudi alabia wakati osama yupo....kimya kimya.....ndyo maana tunasemaga usilolijua ni sawa na usiku wa giza.....baadhi ya majibu ushajibiwa lakini nshisi kusoma haujui
 
Kwanza uko kwenu wanaume wanapigwa na wake zao ndo ije kwenye jeshi lenu huo upuuzi wenu mwenda mkawasimulie wasomali wanaowabaka kila siku
 
Funny thing is you guys always rank yourselves as top.😀😀😀😀😀
Mkiulizwa nyie jeshi lenu limepigana wapi, mnakwepa mnaanza side shows.

Hata majeshi yakijadiliwa muwe mnafyata mdomo, kwa sababu jeshi jina tu activity hakuna na sifa mnajimiminia wenyewe, mkiwa ranked by someone indipendent mnakataa matokeo.
Wakenya mmeuziwa helcopter chakavu halafu waliowauzia wanawadanganya mko vizuri kijeshi ili muendelee kununua zana chakavu halafu mnachekelea.
 
Wakenya bwana wanapenda sifa za kijinga!! Kama Tanzania ingekuwa na tamaa basi sehemu yote ya Uganda ingekuwa ipo Tanzania na hata Kenya yote, sema Tanzania haina tamaa
 
Naafiki ukubwa wa pua si uwingi wa makamasi
 
Unga hakuna nyinyi mnanunua vyuma. Kwani mnapingana na nani?
 
Huyu MK254 sijui nikabila gani huko kwao

Ingekua huku kwetu angekua Mhaya

Maana yeye kila propaganda za magharibi kwake ni faraja

Wait nikwambie, ukiona mtu anasifia jeshi lako then hujawahi pigana hata vita moja hapo kuna mawili.
Moja.Jeshi lako halina sili
Mbili.Anakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Nguvu ya kijeshi inajulikana tu ukiwa vitani na mwanaume mwenzio
Hivi hujiulizi juzi tu watu sijui sita wanateka kituo cha jeshi kule pwani ya bahari hindi,
watu watatu wanvamia mall(WEST AGTE) polisi na jeshi wanagongana then jeshi lina pishwa kuokoa jahazi badala yake jeshi wanapiaga mabom,then JICHO PEVU linawanasa KDF wanatoka na vifurushi,
Wanachi wanahoji wahalifu wako wapi jeshi lina guna,

Halafu unatoka kifua mbele tunajeshi imara kuliko Jirani,

Leo anatoka mtu mashariki ya mbali ankwambia unajeshi zuri kuliko jirani yako ,unapiga makofi kisa ka kwambia unamzidi jirani,

Uwe unchuja mkuu,

Sifa ya kijeshi nikufanikiwa katika misheni zake,sio kurundika silaha then huna mtumiaji
 
Back
Top Bottom