Kenya yaongoza EAC kijeshi ikifuatwa na Uganda

Tofauti na kuhenyeshwa Somalia mmeshiriki vita gn nakupa mfano mdg Comoro,Ug, Congo ukijb ntaendeleea
 
Naona wewe una jambo.Jana umeuliza mlima K'njaro umejibiwa.ukauliza uzuri wa Dar vs Nairobi ukapata jibu.ss unauliza masuala ya jeshi sio bure najua uko kazini.kuh.jeshi nadhani hakuna jeshi dhaifu na lilogawika mapande kama KAl.army, mfano in somalia.wakienda wanakwenda kuuzana na kufanya biashara ya mkaa na magendo. Usisahau walikwenda Sudan wakafanya biashara kamanda akatimuliwa na Un. Uzuri uko wapi hapo ? Wana silaha nzuri sana matumizi ziro hilo nalo hujui ?.acha huu ujinga .Nairobi watu kibao wamekufa kule Kibera na mitaa ya madongo poromoka .cause ni chollera .andika ya kwenu.
 
nyie ni dhaifu tu na hakuna eneo kubwa mlilochukua lete ushahidi pia uje na ushahidi kama jeshi la tz lilibaka....acha uwongo na ndevu zako....
 
Kenya inaongoza sababu ya somalia au ni vipi na Uganda sababu ya sudani kusini au mi sielewi
 
nyie ni dhaifu tu na hakuna eneo kubwa mlilochukua lete ushahidi pia uje na ushahidi kama jeshi la tz lilibaka....acha uwongo na ndevu zako....
Sisi Tanzania, karibia nchi zote tumeshaenda kulinda amani na tumewachakaza waasi. Na kubaka tunabaka kweli kweli, tena waasi wa kiume ndio tunabaka
 
Ningewapongeza kama wangekuwa wameunda silaa zao kama wanavyofanya north korea! Hizo rejects za kirusi zinawadanganya
 
hahahaha, daaah eti atanzania ni aina ya chakula
ngoja baba jeska akusikie😀😀😀
 
nilisikia KDF Somalia walikua busy kubeba rumbesa za mikaa na ishu za magumashi au nayo ni propaganda?
 
Langu ni Siku Moja Muijaribu Kuingilia Kenya Kama Nchi ndio mtatambua....tutaweka ubishi hapa but at the end of the day

Kenya iko hapa ingieni na hyo mijeshi yenu ndio mtakiona .....Jiulizeni kwanini Uganda imekuwa Somalia Kwa mda mkubwa kuliko Kenya Lakini Punde tu Kenya ilipo Kanyaga Somalia Story za Uganda zikatupiliwa mbali tukawa number moja kwa hao magaidi...

Kenya ina 3800 troops in somalia controlling Southern SOMALIA

Uganda ina 6700 troops Mogadishu tu....
 
Hizi ni propaganda tu! Uwezo wa jeshi ni siri ya ndani. Taarifa nyingi za jeshi la Tanzania zimefichwa from those waliocompile hiyo list... Mkitaka kujua uwezo wa kijeshi wa nchi husika, piganeni nayo...
Acheni uongo kwenye dunia ya uwazi ya kutumia teknolojia na visas vya mzungu. Hamna siri sikuhizi
 
Ripoti hii itakuwa imeandikwa na yule aliesma binaadamu wa kwanza alikuwa nyani
 
Kama Alshabab wamewashinda sidhani kama mnaweza kupambana na TPDF
 
Tanzania ndio nchi yenye jeshi bora kabisa Afrika.
Wakenya kama hajui JWTZ waulize makaburu na wareno wa msumbiji. Kwa ufahamu wangu na reseach ndogo kwa EAC Tanzania tunaongoza kwa jeshi lililo bora kabisa. Kama mtu anabisha aanzishe vita aone
 
Tanzania nakupenda kwa moyo woteeeee. Wakawaulize M23. Hatunaga utani sisi sio mda kenya will come to ask for support to fight Al shab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…