elbarik
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 576
- 395
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya tunaijua vizuri sana, huna sababu ya kupoteza nguvu nyingi kuelezea, hata greenfield terminal rais alizindua mradi kwa shangwe mbele ya mabalozi na mradi ukaanza, kumbe hata pesa haikuwapo, hili unalosema kwamba vifaa vipo tatizo ni sehemu ya kuviweka sidhani kama ni kweli, kama serikali imeshindwa kuinunulia vifaa vya kisasa Kenyatta Hospital matokeao yake tunashabikia mashine za Karen na Nairobi Hospitals, imetoa wapi huo uwezo wa kununua vifaa vya hospitali 47?, kama kuna ushahidi wa kuonyesha serikali imeshalipia hivyo vifaa nitashukuru sana kama utatuonyesha, other wise itakuwa ni wishes hadi hivyo vifaa vitakapolipiwa pesaperhaps haukusoma hio habari nilioweka pale nyuma, Serekali kuu ilishapiga dili na manufaturers kama philips,GE..... kwahivyo kwa equipments hakuna shida, shida ilikua hakuna nafasi ya kuweka hizi equipments kwa hizi hospitali, kwahivyo hapa si wishes tu, sahii ukienda kwa 90% ya tovuti za county governments hautakosa kuona tender au ujenzi wa projecs za kupanua hospitali au kujenga mpya kabisa..... ipatia hadi 2020 hivi kila county itakua na hospitali angalau mbili level ya juu sana..
"Today I officially launched medical equipment at the Nakuru Level 5 Hospital."
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
"............ kuidentify radioactive tracers uliyomeza mwilini."Mnayo siku nyingi na PET scan ni uvumbuzi wa hivi maajuzi? Kwani PET scan ilivumbuliwa Tanzania? Imekuwa huko miaka ngapi? PET scan sio scanner ya kuscan pet yako kama vile mbwa au paka bali ni mashine inayotumia gamma rays kuidentify radioactive tracers uliyomeza mwilini. Technology kama hii bado hamna. Hata sisi hatuna ndio tuko mbioni kuianzisha. Seek information all the time.
Fuata link ujielimishe uache kujiaibisha mbele ya dunia nzima.
Positron emission tomography - Wikipedia
Unajua mtu ukimuonyesha na picha ndo anajua kweli ni ukweli---Tukiamua kupiga gumzo tu, tutalipiga kisha mwisho wa siku hakuna mtu atajua kama kilichoongelewa kina patikana on the ground ama ni porojo za danganya toto......picture is worth.....Kafrican utaangusha server za watu jameni.
Kenya tunaijua vizuri sana, huna sababu ya kupoteza nguvu nyingi kuelezea, hata greenfield terminal rais alizindua mradi kwa shangwe mbele ya mabalozi na mradi ukaanza, kumbe hata pesa haikuwapo, hili unalosema kwamba vifaa vipo tatizo ni sehemu ya kuviweka sidhani kama ni kweli, kama serikali imeshindwa kuinunulia vifaa vya kisasa Kenyatta Hospital matokeao yake tunashabikia mashine za Karen na Nairobi Hospitals, imetoa wapi huo uwezo wa kununua vifaa vya hospitali 47?, kama kuna ushahidi wa kuonyesha serikali imeshalipia hivyo vifaa nitashukuru sana kama utatuonyesha, other wise itakuwa ni wishes hadi hivyo vifaa vitakapolipiwa pesa
Kwamba ni ya kwanza Afrika Mashariki??? Hapana. Ocean Road tayari wanafunga yao.Baada ya rais Uhuru kuwafungulia Waafrika kuja Kenya bila vizuizi, tukianza hivi kuwa na vifaa vya kisasa vya kipekee ukanda wote huu, nafikiri nchi yetu itanufaika pakubwa. Wengi wataanza kutua hapa badala ya kwenda nchi za mbali kama India.
-------------------------------------------------------
Cancer patients will be able to get PET CT scan services in Kenya after the Aga Khan University Hospital, Nairobi acquired the first imaging test machine in East and Central Africa.
The ultra-modern Positron Emission Tomography (PET) CT scanner and Cyclotron is currently being installed at the hospital's oncology unit ahead of its launch in March 2018.
CEO Shawn Bolouki said the machine will revolutionise cancer care and treatment in the country.
"This will enable doctors to identify health threats at the cell-level thus giving them the best view and time of treatment for complex diseases such as cancer and heart diseases, brain and other central nervous system problems, thereby improving treatment outcomes." Bolouki said in a statement.
The technology was acquired at an approximate cost Sh600 million.
A cyclotron is a type of compact particle accelerator used to produce small quantities of radioactive isotopes which is required for PET imaging.
Head of the oncology Asim Jamal said information generated from PET CT scans enable oncologists to make better treatment and follow up plans for cancer patients.
In certain cancer situations, the information is critical in making decisions regarding treatment options including surgery, radiation therapy and chemotherapy.
"This technologycan reveals the presence and stage of cancer, including whether and where the cancer has spread to, and help doctors decide on treatment," Jamal said.
He added: "PET/CT also gives us an indication of how well chemotherapy is working and can detect a recurring tumour sooner than any other diagnostic modalities."
Data from Health ministry released early this year showed that some 116 patients suffering from non communicable diseases travelled to India between January and March this year in search of medical treatment.
Cancer patients made up 57.8 per cent, 16.8 per cent sought renal disease treatment, 7.8 per cent sought treatment for cardiovascular disease while skeletal disorders accounted for 3.4 per cent.
Relief for cancer patients as Kenya gets first PET CT scanner
Wacha maneno wewe, hata majina ya hivyo vifaa kwenye picha unavijua?,habari ya kwamba Karen Hospital kufunga PET scan ilikuja kama picha au ni taarifa ya maelezo?, hizi sio barabara au reli ambazo kila mtu akiona kwenye picha anafahamu kwamba hii ni barabara, sasa hivyo vifaa tutajia majina yake tujua kama kweli ninyi mna vifaa vya kisasa, kati ya hizo picha nionyesheUnajua mtu ukimuonyesha na picha ndo anajua kweli ni ukweli---Tukiamua kupiga gumzo tu, tutalipiga kisha mwisho wa siku hakuna mtu atajua kama kilichoongelewa kina patikana on the ground ama ni porojo za danganya toto......picture is worth.....
Vipi tena!!! Ulisema hospitali zetu ni duni hazina vifaa vyovyote, vifaa nakuonyesha tena kwa picha, sasa umeanza kugeuza story unataka evidence ya cheque kuonyesha kama vifaa vimelipiwa??? heee, nyi watu bana, mko shifty kama mateja, haha Kama unataka kuona vifaa vipya vipya vya KNH sema utaonyeshwa tu
"
Commissioned new medical equipment at Kakamega County Hospital in line with Js vision of affordable, state-of-the-art healthcare countrywide. For the first time in Kenya’s history no one in Kakamega County needs to travel long distances seeking referral services."
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bure kabisa.Wacha maneno wewe, hata majina ya hivyo vifaa kwenye picha unavijua?,habari ya kwamba Karen Hospital kufunga PET scan ilikuja kama picha au ni taarifa ya maelezo?, hizi sio barabara au reli ambazo kila mtu akiona kwenye picha anafahamu kwamba hii ni barabara, sasa hivyo vifaa tutajia majina yake tujua kama kweli ninyi mna vifaa vya kisasa, kati ya hizo picha nionyeshe
1)MRI
2)CT scan
3)Cath lab
Kwani wingi wa picha ndiyo maana ya kuwa na vifaa vya kisasa?, tukiamua kuleta picha ya vifaa vyetu si utachanganyikiwa?, muhimu tuambie ni vifaa gani vya kisasa mpo navyo na ni operation zipi complicated nchi yenu imezifanya katika public hospitals
Mimi sijawahi kuziona hizo mashine nilizoulizia, wala sijawahi sikia kama public hospital za Kenya wanazo, ukinithibitishia kama zipo kati ya hizo picha hapo ingelikuwa njia nyepesi sana ya kunijibu, hizo shutuma unazozitoa ni za mtu asiyekua na uhakika kama mashine zipo hapo au hazipoBure kabisa.
Sometimes si lazima ubishane kila kitu ndugu,ukiishi ivyo hutawahi kushuhudia kitu cha maana dunia hii.
LEARN TO APPRECIATE SOMETIMES.
Unajua mtu ukimuonyesha na picha ndo anajua kweli ni ukweli---Tukiamua kupiga gumzo tu, tutalipiga kisha mwisho wa siku hakuna mtu atajua kama kilichoongelewa kina patikana on the ground ama ni porojo za danganya toto......picture is worth.....
Vipi tena!!! Ulisema hospitali zetu ni duni hazina vifaa vyovyote, vifaa nakuonyesha tena kwa picha, sasa umeanza kugeuza story unataka evidence ya cheque kuonyesha kama vifaa vimelipiwa??? heee, nyi watu bana, mko shifty kama mateja, haha Kama unataka kuona vifaa vipya vipya vya KNH sema utaonyeshwa tu
"
Commissioned new medical equipment at Kakamega County Hospital in line with Js vision of affordable, state-of-the-art healthcare countrywide. For the first time in Kenya’s history no one in Kakamega County needs to travel long distances seeking referral services."
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio ninakuambia hiyo machine ipo siku nyingi ORCI......Na mimi nimeishihudia na kuitumia....Mnayo siku nyingi na PET scan ni uvumbuzi wa hivi maajuzi? Kwani PET scan ilivumbuliwa Tanzania? Imekuwa huko miaka ngapi? PET scan sio scanner ya kuscan pet yako kama vile mbwa au paka bali ni mashine inayotumia gamma rays kuidentify radioactive tracers uliyomeza mwilini. Technology kama hii bado hamna. Hata sisi hatuna ndio tuko mbioni kuianzisha. Seek information all the time.
Fuata link ujielimishe uache kujiaibisha mbele ya dunia nzima.
Positron emission tomography - Wikipedia
Umekosa hoja mkuu, sasa unatafuta vijisababu vya kuficha aibu tu, hata hio cathlab unayotaja huko Tz inapatikana kwa hospitali moja tu, tena jijini, hapa picha ambazo nimeonyesha so far ni picha za hospitali za umma nje ya capital city! hapo hizo picha kuna vifaa kama 4D ultrasound, marmography, x-rays, dialysys machine, life support matchines, radiotherapy rooms.....etcWacha maneno wewe, hata majina ya hivyo vifaa kwenye picha unavijua?,habari ya kwamba Karen Hospital kufunga PET scan ilikuja kama picha au ni taarifa ya maelezo?, hizi sio barabara au reli ambazo kila mtu akiona kwenye picha anafahamu kwamba hii ni barabara, sasa hivyo vifaa tutajia majina yake tujua kama kweli ninyi mna vifaa vya kisasa, kati ya hizo picha nionyeshe
1)MRI
2)CT scan
3)Cath lab
Kwani wingi wa picha ndiyo maana ya kuwa na vifaa vya kisasa?, tukiamua kuleta picha ya vifaa vyetu si utachanganyikiwa?, muhimu tuambie ni vifaa gani vya kisasa mpo navyo na ni operation zipi complicated nchi yenu imezifanya katika public hospitals
Wewe Unajua radioactive tracer ni nini? Kama ni swali ya kutaka kujua zaidi hio ni sawa nitakuelimisha ila kama ni swali ya kejeli mimi sina wakati wa kupoteza. Kwanza nitapost section ya definition of radiotracers from website of IAEA kisha nitakupa link uende mwenyewe usome zaidi kuhusu radiotracers. Kwa kifupi ni kemikali inayomezwa au kudungwa mwilini kisha daktari anatumia PET scan kutafuta ugonjwa mwilini. Hio tracer ndio inamsaidia daktari kuiona ugonjwa kama tumour au defect yoyote. Hii hapa"............ kuidentify radioactive tracers uliyomeza mwilini."
Are you aware of what you are talking about?
Umekosa hoja mkuu, sasa unatafuta vijisababu vya kuficha aibu tu, hata hio cathlab unayotaja huko Tz inapatikana kwa hospitali moja tu, tena jijini, hapa picha ambazo nimeonyesha so far ni picha za hospitali za umma nje ya capital city! hapo hizo picha kuna vifaa kama 4D ultrasound, marmography, x-rays, dialysys machine, life support matchines, radiotherapy rooms.....etc
CT-scan and MRI are basically similar only one uses magnetism and the other uses radiation to get 3D scanned images... A hospital doesn't need to have both.
![]()
Portreitz district hospital Mombasa-level 4
![]()
Kisii teaching and referral hospital - 16 slice CTscan machine
![]()
Nyandarua County referal hospital
![]()
https://pbs.twimg.com/media/DDy6iewXgAAFb0H.jpg
Mombasa
MRI Malindi sub county hospital -level 4
![]()
Kilifi County CT-Scan -level 5
![]()
Machakos has a whole dedicated block for MRI
![]()
Wanjiru says, “I have not been working and my back is painful. The doctor advised me that in Machakos they are doing MRI scans, it is free and you are not going to be charged.”
CNN explores healthcare in Kenya
Gatundu District hospital
https://pbs.twimg.com/media/Cf6JzJ1WsAA_0t0.jpg
https://pbs.twimg.com/media/Cf6JzP8W8AANdmY.jpg
![]()
Kakamega level 5
![]()
Thika level 5
![]()
Amount of payments made by NHIF to patients who have been treated in private hospitals
![]()
Haya tafuta kasababu kengine ka kujitetea,
sasa kazi kwako tuletee picha za hizo MRI,CT,dialysis, cathlab zinazopatikana Tanzania nje ya daresalaam, hospitali kama tano hivi za umma tena ziwe zimesambaa yani kutoka maeneo tofauti ya Tz