Kenya yapewa msaada wa chakula na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imirati)

Kenya yapewa msaada wa chakula na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imirati)

Kunyanganya tena...
Nani kasmea wamenyanganya wakati hapo kwao ni shamba la bibi wanamiliki karibia uchumi wote

Sent using Jamii Forums mobile app
Shamba la bibi ni kenya ambapo mashamba mazuri yenye rutuba nzuri yanamilikiwa na wazungu pamoja na wanasiasa huku wajinga sampuli yako mkibaki kukenua meno ndio maana kuna gepu kubwa kati ya masikini na matajiri.
 
Shamba la bibi ni kenya ambapo mashamba mazuri yenye rutuba nzuri yanamilikiwa na wazungu pamoja na wanasiasa huku wajinga sampuli yako mkibaki kukenua meno ndio maana kuna gepu kubwa kati ya masikini na matajiri.
Heheee!!mbna unaumia kuskia machothara wanamiliki karibia uchumi wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mmesha wapora mashamba wanayo yamiliki?
Jamaa wanapajenga tayari, kwhyo wasahau kabisa kuhusu watu kuondolewa..
Ishu km hzo kiki kwa wanasiasa, hapo wanaona kiki tayari ndio wapata kura...
We angalia ishu ya likoni na kilifi, yani kenya ukishazubaa wananchi wakijenga sahau..

Kina uhuru walienda mpka eti kugawa tittle deeds, kiki tayari hyo...
Hku ni tofauti sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wanapajenga tayari, kwhyo wasahau kabisa kuhusu watu kuondolewa..
Ishu km hzo kiki kwa wanasiasa, hapo wanaona kiki tayari ndio wapata kura...
We angalia ishu ya likoni na kilifi, yani kenya ukishazubaa wananchi wakijenga sahau..

Kina uhuru walienda mpka eti kugawa tittle deeds, kiki tayari hyo...
Hku ni tofauti sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hakuna kitu maana bado tu mashamba makubwa yanamilikiwa na hao wazungu,
Na serikali yenu inaogopa kuwafanya kitu,
Yaani mzungu unakuta anamiliki hadi heka elfu 5 alafu unakuta mzawa hana kitu,
Kule kericho kiongozi wenu alijaribu lakini wapi,
Huku kwetu hatucheki nao ndio maana tuliwanyanganya na kutaifisha mali zao zote,
Nyie endeleeni kuwaogopa.
 
Hapo hakuna kitu maana bado tu mashamba makubwa yanamilikiwa na hao wazungu,
Na serikali yenu inaogopa kuwafanya kitu,
Yaani mzungu unakuta anamiliki hadi heka elfu 5 alafu unakuta mzawa hana kitu,
Kule kericho kiongozi wenu alijaribu lakini wapi,
Huku kwetu hatucheki nao ndio maana tuliwanyanganya na kutaifisha mali zao zote,
Nyie endeleeni kuwaogopa.
Mashamba ya kericho na naivasha wale jamaa wanafanyia biashra...wanalima majani chai na maua then wafanyikazi ni raia wa kenya...katafuta documentary wazazi walivyowasomesha watoto wao katika hayo hayo mashamba ya wazungu na wengine wakajenga kabisa kupitia hela wanayoipata hapo hapo..

Sasa wewe kw akili zako unafikiria hayo mashamba yakichukuliwa na serikali yatabaki salama.. nakuapia yatakufa na hao hao wananchi watakuja kulialia lw serikali eti hawana kazi..

Usifuate maneno ya wanasiasa, pale wakiporwa yale mashmba unafikiria serikali kodi itatoa wapi kisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashamba ya kericho na naivasha wale jamaa wanafanyia biashra...wanalima majani chai na maua then wafanyikazi ni raia wa kenya...katafuta documentary wazazi walivyowasomesha watoto wao katika hayo hayo mashamba ya wazungu na wengine wakajenga kabisa kupitia hela wanayoipata hapo hapo..

Sasa wewe kw akili zako unafikiria hayo mashamba yakichukuliwa na serikali nakuapia yatakufa na hao hao wananchi watakuja kulialia lw serikali eti hawana kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafahamu kila kitu kuanzia ukubwa wa hayo mashamba huko kila Unilever nk hadi idadi ya wafanyakazi,
Point ni kwamba kwanini serikali yenu iruhusu mashamba makubwa namna hiyo yamilikiwe na wazungu huku wakenya kama wewe mkiachwa bila kitu,
Si huwa mnajiita wachapa kazi sasa hayo mashamba yatawa shinda vipi kuyaendasha mkipewa, najua serikali yenu inamwogopa mzungu yasijetokea yaliyotokea Zim,
Huku kwetu mashamba makubwa kama hayo yanaendeshwa na wananchi kisha raw materials wanawauzia wenye viwanda lakini huko kwenu viwanda na mashamba anamiliki mzungu.
 
Jamaa wanapajenga tayari, kwhyo wasahau kabisa kuhusu watu kuondolewa..
Ishu km hzo kiki kwa wanasiasa, hapo wanaona kiki tayari ndio wapata kura...
We angalia ishu ya likoni na kilifi, yani kenya ukishazubaa wananchi wakijenga sahau..

Kina uhuru walienda mpka eti kugawa tittle deeds, kiki tayari hyo...
Hku ni tofauti sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli nimeamini Kenya is a primitive capitalist country. Yaani shamba la mtu ambaye tayari ana title, watu wanavamia, wanajenga halafu nao wanapewa title za kimagumashi. Trespassers are given right to own land illegally.
Subiri wawapeleke court ndiyo mtajua. Na the way mlivyo waoga kwa wazungu, sijui itakuwaje.
 
Mashamba ya kericho na naivasha wale jamaa wanafanyia biashra...wanalima majani chai na maua then wafanyikazi ni raia wa kenya...katafuta documentary wazazi walivyowasomesha watoto wao katika hayo hayo mashamba ya wazungu na wengine wakajenga kabisa kupitia hela wanayoipata hapo hapo..

Sasa wewe kw akili zako unafikiria hayo mashamba yakichukuliwa na serikali yatabaki salama.. nakuapia yatakufa na hao hao wananchi watakuja kulialia lw serikali eti hawana kazi..

Usifuate maneno ya wanasiasa, pale wakiporwa yale mashmba unafikiria serikali kodi itatoa wapi kisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini ninyi wakenya hamtumii akili?, lengo kubwa la sisi waafrika kupigania Uhuru ulikua ni kurudisha njia kuu za uzalishaji Mali kuwa mikononi mwetu, hasa Ardhi. Hiyo ardhi lazima ichukuliwe na kureheshwa mikononi mwa wananchi kwa ajili ya kuzalisha Mali, hivi wewe unadhani bila ardhi wananchi watawezaji kujitawala kiuchumi?, ninyi mumezoea kutawaliwa na kuajiriwa hampendi kujiajiri ktk KILIMO?. Mbona sasa mnakumbwa na njaa kila mwaka na mnategemea chakula cha msaada, hizo ajira zinasaidiania nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli nimeamini Kenya is a primitive capitalist country. Yaani shamba la mtu ambaye tayari ana title, watu wanavamia, wanajenga halafu nao wanapewa title za kimagumashi. Trespassers are given right to own land illegally.
Subiri wawapeleke court ndiyo mtajua. Na the way mlivyo waoga kwa wazungu, sijui itakuwaje.
Yani ndio nimeshakwambia hyo jamaa asahau kabisa...
Au bado hujanielewa, kotini atzungushwa mwisho atapewa chake asepe...

Kitu angelitakiwa afanye hapo mahali angepaendeleza km vile wenzake wa naivasha na kericho...

Hicho ndio kimemkuta babu yangu sai, ardhi iko tangu hatujazaliwa mpka sai tumekua wakubwa...
Jamaa wakaona waanze kupavamia upande wa kule chini, watoto wake wameenda mpaka mahakamani lkn kilichowakuta wanasiasa wakaingilia kati(mbunge na mca wa hilo eneo)..
Sai wamebaki kuweka fence tu kule kumebaki na kuwachia wale jamaa manke nusra watu kutiana mapanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini ninyi wakenya hamtumii akili?, lengo kubwa la sisi waafrika kupigania Uhuru ulikua ni kurudisha njia kuu za uzalishaji Mali kuwa mikononi mwetu, hasa Ardhi. Hiyo ardhi lazima ichukuliwe na kureheshwa mikononi mwa wananchi kwa ajili ya kuzalisha Mali, hivi wewe unadhani bila ardhi wananchi watawezaji kujitawala kiuchumi?, ninyi mumezoea kutawaliwa na kuajiriwa hampendi kujiajiri ktk KILIMO?. Mbona sasa mnakumbwa na njaa kila mwaka na mnategemea chakula cha msaada, hizo ajira zinasaidiania nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpokonyeni dangote ile ardhi mliompa azalishe saruji muwape wananchi waiendeleze wenyewe...
Au hta barrick pia mkijiskia waondoeni muwachie wanaanchi wajiendeleze na hzo raslimali..

Nynyi ni wapumbavu kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini ninyi wakenya hamtumii akili?, lengo kubwa la sisi waafrika kupigania Uhuru ulikua ni kurudisha njia kuu za uzalishaji Mali kuwa mikononi mwetu, hasa Ardhi. Hiyo ardhi lazima ichukuliwe na kureheshwa mikononi mwa wananchi kwa ajili ya kuzalisha Mali, hivi wewe unadhani bila ardhi wananchi watawezaji kujitawala kiuchumi?, ninyi mumezoea kutawaliwa na kuajiriwa hampendi kujiajiri ktk KILIMO?. Mbona sasa mnakumbwa na njaa kila mwaka na mnategemea chakula cha msaada, hizo ajira zinasaidiania nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeskia lini kericho na naivasha watu wamekumbwa na njaa...
My friend usipende ku generalize vitu ili uendeleze chuki zako binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kachukueni mashamba ya Lord Dalamare ndiyo uje kuuliza hiyo swali yako ya kipuuzi.
Delamere yale mashamba anayafanyia kazi km vile bakhresa analifanyia kazi lile shamba lake la sukari km sikosei...

Mpokonyeni bakhresa na nyinyi basi...
Watanzania bana, mnaongea ni km hko kwenu hamna watu wanamiliki mashamba makubwa kw ajili ya uzalishaji au ukuluma[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafahamu kila kitu kuanzia ukubwa wa hayo mashamba huko kila Unilever nk hadi idadi ya wafanyakazi,
Point ni kwamba kwanini serikali yenu iruhusu mashamba makubwa namna hiyo yamilikiwe na wazungu huku wakenya kama wewe mkiachwa bila kitu,
Si huwa mnajiita wachapa kazi sasa hayo mashamba yatawa shinda vipi kuyaendasha mkipewa, najua serikali yenu inamwogopa mzungu yasijetokea yaliyotokea Zim,
Huku kwetu mashamba makubwa kama hayo yanaendeshwa na wananchi kisha raw materials wanawauzia wenye viwanda lakini huko kwenu viwanda na mashamba anamiliki mzungu.
Tutampokonya ile siku mtampokonya bakhresa na dangote yale ma hekta yote muwape wannchi wajiendeleze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si wakenya tunaajiriwa nyinyi ndio hampendi kuajiriwa, wapokonyeni mashamba akina bakhresa muqape wananchi wajiajiri kwenye kilimo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom