Kenya yapiga hatua mbele kwa mazingira rafiki kwa biashara huku Tanzania ikirudi nyuma

Kenya yapiga hatua mbele kwa mazingira rafiki kwa biashara huku Tanzania ikirudi nyuma

In your dreams.
Contribution and investments are two totally different things. The more than 55trillion cf Tanzania LPG Sector alone needs investment worth $50B to be productive , iron ore are capital intensive industry, a minimum of $4 billion is needed, a gold processing plant, diamond plant....... Gold alone contributes $1Billion to the Tz economy, so 6% to GDP is actually a lot! Remember mining revenues doesn't come all at once, each year its 6%, after 10 years it will cumulatively be 100% of Today's Tanzanian GDP
You've exaggerated your invested numbers, last time LPG needed $30bln and that was before Magufuli took over and questioned the accuracy of that figure. Iron ore only needs less than $2bln to develop it, and Chinese are on this already. (Just to put record straight)
 
Mimi nafanya biashara wa madini. Nimemwambi anipe evidence ya wakezaji wapya kwenye mining. Akishindwa nampa mimi
Yeah.. upo sahihi mkuu, ata sera zilivyo badilishwa wale wawekezaji ambao walikua kwenye atua za awali walisitasita mpaka serikali ika wapa assurance. Data za T.I.C zina onyesha more than 60% zinaenda kwenye viwanda, ikifuatiwa na Tourism, Kilimo na ujenzi.
 
Unafiki wa viongozi wa Tz dhidi ya wanabiashara na wawekezaji sio jambo la kuchukulia kimzaha mzaha. Ngoma bado, dikteta uchwara akimaliza figisu na mipasho yake ya taarab ndio kitaeleweka.
Kijana Wa kiume kuongea mambo haya ni aibu
 
Kijana Wa kiume kuongea mambo haya ni aibu
Kuna wakati mwingine huyo rais wenu akiongea huwa anaanza kuingiza hadithi zingine za ajabu ajabu. Kama imekuuma sana hama chama. Stress kama hizi zitaacha kukulemea.
 
Back
Top Bottom