Kenya yapiga hela ndefu kutokana na mauzo ya zao la parachichi, mlitucheka sana tulipoanza kupambana

Nigga, do you know the meanings of the word 'first quarter'? In short, this article compares earnings from avocado exports between January and March this year and the same period (Jan - March) last year na ikabainika kwamba there was an increased of 93% this year during the period of study. Hiyo Ksh4.26b ni mauzo ya miezi mitatu tu za kwanza mwaka huu. Mtaanza kuelewa kiingereza lini?
 
Jombaa, $125M ni jumla ya exports za maparachichi kutoka Kenya mwaka jana, kwa miezi 12. KES 4.26B ni export ya mapachichi kwa miezi mitatu ya kwanza mwaka huu. Ni nini kinakukanganya hapo?
Kitu huyu mnyamwezi haelewi ni hilo neno 'first-quarter'. Yani hicho kiingereza kinampita kabisa 😂
 
Kuelimisha mitanzania ni kazi ngumu sana., akili zimeganda😂😂😂
Yani nimeona hiyo hesabu yaje nikacheka sana. Is this the reason why these people cross over to Kenya to seek for education? Yani nimebaki kinywa wazi vile huyo jomba amepiga hesabu hapo juu! Yani ni aibu aise 😂 😂 😂 Alafu anajiita IT expert 😂
 
Mzee twende sasa hiyo
2.2bx12 itafika $126m.
Wewe ndio unajiita IT expert? 😂 😂 😂 😂 Kwa hivyo Tanzania iko na IT experts dunderheads tu hivi? Hiyo Ksh2.2b ni mauzo ya miezi tatu za kwanza mwaka huu (2021). Si mauzo ya last year 2020. So why are you multiplying that figure with 12 months wakati mwaka(2021) haujaisha? Hivi,hujabakisha hata common sense?
 
Can we blame this math problem kutumia kiswahili kusoma ama rusungu ndio shida, na mtu anasema ni mwanasayansi
Huyu ako tu na ujinga wa kuzaliwa. Let's not blame his stupidity on anything. He's a true definition of a dunderhead. Na anajiita IT expert!😂 😂
 
Arusha na Kilimanjaro (Moshi) muache kupeleka Parachichi Kenya. Tuone kama ni kweli wao uwezo wa kulima au kutoa maparachichi
 
Arusha na Kilimanjaro (Moshi) muache kupeleka Parachichi Kenya. Tuone kama ni kweli wao uwezo wa kulima au kutoa maparachichi
Sasa si muuze tu parachichi zenu kwenye soko za kimataufa nyinyi wenyewe kama mnajua mnazalisha avocado kwa wingi? Mbona hizi zisababu zimekuwa nyingi hivi?
 
Kwetu Muranga, mostly kangema, kahuro, kiharu and kigumo...sinili kwambia wewe rasta naweza kuajiri kama shamba boy wangu 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kwetu Muranga, mostly kangema, kahuro, kiharu and kigumo...sinili kwambia wewe rasta naweza kuajiri kama shamba boy wangu [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Shamba lipi, zile 1/32 zenu kule Kiandutu? [emoji1] Hau ni gûtee! Njoo Kajiado nina ekari 12 za ziada nataka kuziuza, on your way to Kiserian.
 
And he calls himself an IT expert 😂
Hiyo hesabu yake kwanza ilinichanganya, ilibidi nirelax mind ndio nielewe procedure yake lakini hata hivyo bado nilitoka bure. Huyo mwanasayansi nikipelekwa in a class in which he teaches maths I'm sure ntafail.
 
Hiyo hesabu yake kwanza ilinichanganya, ilibidi nirelax mind ndio nielewe procedure yake lakini hata hivyo bado nilitoka bure. Huyo mwanasayansi nikipelekwa in a class in which he teaches maths I'm sure ntafail.
Huyo kilaza alijiaibisha yani..smh! Hadi ikabidi aepe thread kwa aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…