MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Leo ilikuwa ni vilio baada ya harambee stars kupigwa bila huruma mbele ya mashabiki wake 43000.Swaziland wakitumia vyema udhaifu wa wachezaji goigoi wa Kenya pale walipowatandika 0-1 bila huruma.
Nairobi sasa hivi ni vilio jiji zima,sio watoto sio wanawake wale wanaume yaani kila mtu ni kilio
Nairobi sasa hivi ni vilio jiji zima,sio watoto sio wanawake wale wanaume yaani kila mtu ni kilio