Mkirusha satellite unitag bila povu.ukweli huupendi ryt??πππ
Ha ha ha ha ha mkuu hivyo "vyereyani" sasa hivi vimekuwa kama wimbo wa taifa.Serekari ya awamu ya tano,anapenda kuwapongeza jirani zetu wa Kenya,kwa kurusha state...sati...hivyo hivyo mnavoitaja. Tunapenda kuwapongeza sana ndugu zetu.
Serekari yetu tutatoa msaada wa bega kwa bega,kwa maana sisi tupo adivancid kidogo kila baada ya nyumba 2 tuna viwanda vya vyereyani vingi tu nakadharika.
Hili ni moja ya majibu mazuri sana!Hivyo mandege mnayonunua wakati Tanzania poverty rate ni 70% hamuoni mnafuata makubwa ilhali nyie maskini wa kutupwa.
Ha ha ha ha mkuu nimecheka jinsi ulivyoandika eti "bomba dear", mkuu ni "Bombardier".Sisi mbona tunarusha bomba dear zetu kila siku au umesahau kwa kuwa bomba dear yetu moja imefia Mwanza.
Mkuu this is the bitter and apparent truth we Tanzanians pretending to ignore!Naona unajadili vitu usivyovijua, hizi ni taarifa za Benki Kuu, yaani World bank. Kingereza kinakuchanganya, sijui nikutafsirie vipi. Benki kuu huwa inatumia indicators tofauti kupima umaskini, yaani kuna
- Extreme poverty - yaani kama wale omba omba wenu huja Kenya
- Basic needs poverty
- Below $2 poverty line
Sasa hapo pa below $2 ndio Tanzania mpo 70%, kwa kifupi Watanzania ambao wanaishi chini ya buku nne kwa siku ni 70%
Nafikiri nimekupa darasa la kutosha, kuanzia hapo nenda kafikirie kwanini liinchi lote hilo lenye madini na rotuba na vivutio bora vya utalii na kila kitu lina wanainchi wake 70% wanaoishi chini ya buku nne, kwaheri....
Kuwa na Satellite yenu wenyewe mliyoitengeneza na kui-design ni moja ya maendeleo na kupiga hatua. Sasa hebu naomba nikuulize sababu ya msingi kuwa na maendeleo???Kila kitu hutakiwa kiende na sababu za msingi, sio kufanya tu ili kufurahisha genge.
Off course, Kenya sio level yetu kabisa, wametuacha mbali sana tu. Watanzania wengi hatuupendi huu ukweli lakini ndivyo ilivyo mkuu.Aisee kama ni kweli basi kenya si level yetu.. hatuwezi kushindana nao
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uyu mtoto Uhuru Kenyatta hana nidhamu kabisa kwa nini hajamuita mzee wa kukata utepe aende kuzindua.
Mkuu hii ni hatua kubwa kwa Wanasayansi wa Kenya, even though the made it under Japanese supervision, but they have achieved something we haven't.Hiyo satellite imekuwa japanese financed, technology ya japan imetengenezwa nairobi na wajapan na kurusha from Japan space station wacha kujidanganya na kujipa sifa ambazo huna. kenya haina technology ya kutengeneza satellite
sijapata kuona mkenya kilaza kama ww aiseeππNaona unajadili vitu usivyovijua, hizi ni taarifa za Benki Kuu, yaani World bank. Kingereza kinakuchanganya, sijui nikutafsirie vipi. Benki kuu huwa inatumia indicators tofauti kupima umaskini, yaani kuna
- Extreme poverty - yaani kama wale omba omba wenu huja Kenya
- Basic needs poverty
- Below $2 poverty line
Sasa hapo pa below $2 ndio Tanzania mpo 70%, kwa kifupi Watanzania ambao wanaishi chini ya buku nne kwa siku ni 70%
Nafikiri nimekupa darasa la kutosha, kuanzia hapo nenda kafikirie kwanini liinchi lote hilo lenye madini na rotuba na vivutio bora vya utalii na kila kitu lina wanainchi wake 70% wanaoishi chini ya buku nne, kwaheri....
Eti Tz inegeuka Nazi Germany ila umaskini umekidhiri...cheki wenzako wanavyo jadili wazi wazi π:sijapata kuona mkenya kilaza kama ww aiseeππ
Hapana chezea vyereyani TzHa ha ha ha ha mkuu hivyo "vyereyani" sasa hivi vimekuwa kama wimbo wa taifa.
Usilie sanaHapo mwisho umekosea, siyo kila wanachofanya Kenya lazima na sisi tufanye. Japo ni jambo jema, ila acha sisi tuendelee kufanya ya kwetu.
Ikifika muda, tena kama ikibidi, Tanzania itarusha tu. Nitakuwa na hofu kama tu ni satellite ya Jeshi, ova
Mbona na sisi tumerusha pia akina kibajaji,polepole ndo wanasayansi wetu