Kenya yasalimu amri kwa Tanzania, yaingiza Tanzania katika orodha ya nchi zinazoruhusiwa kuingia Kenya bila masharti yoyote

Na hii ndio point yangu mkuu, kwanini wasingesema tu wamefungua anga lao rasmi kuliko kuleta maigizo hapa ya kutaja list ya nchi zote kuingia huko!? Wangesema tu wako open kwa wote.. hapa wanaendelea kupima joto.. wana angalia reaction ya hii habari.
Hapa kuna kitu zaidi ya covid.. why leo waorodheshe?!! Hawa huenda kuna mkakati maalum wanaoupanga juu yetu..
Ila sasa tuna serikali MAKINI sana INAYOJUA.. ha ha haaa!!
Wawakazie kwanza uchaguzi upite.
 
Mambo mengine bwana unaishia kucheka mwenyewe
yaani Wamepiga ngoma na kuyakata mauno wenyewe
Labda watuambie Faida gani waliipata kuifungia Tanzania
na Hasara gani Tanzania imepata kufungiwa na Kenya!!
Wakenya narudia kuwaambia Mwaka 2015
Tulikesha humu ,Na Runingani Kumnadi Magufuli na Slogan yake ya Mabadiliko ya Kweli
nyie mlijua Huyu ni JK!!
Hii ni Tanzania mpya
Kama Mzungu Mungu wenu Tuna mdindia Sembuse Kibera Wanuka kinyesi na Chang'aa

Endeleeni na Upumbavu wenu sisi Tunajambo letu
tukimaliza Tutawasikiliza
 
Adui yako muombee njaa hahahaha ndio vigezo vilivyotumika
 
Chonde chonde ngoja tumalize uchaguzi kwanza ndio tufikirie zile KQ kuja huku wacha wakae hukohuko.Kwanza wametumia kigezo kipi kuturuhusu kuingia kwao si hatuba mpango haa haa
 
Na hii ndio point yangu mkuu, kwanini wasingesema tu wamefungua anga lao rasmi kuliko kuleta maigizo hapa ya kutaja list ya nchi zote kuingia huko!? Wangesema tu wako open kwa wote.. hapa wanaendelea kupima joto.. wana angalia reaction ya hii habari.
Tatizo viongozi wa kenya wanachukua maamuzi baada ya kunywa chang'aa
 
Safi sn[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wakenya ni wazembe mno yn tumewagalagaza vby sn huwezi kuwaona humu, tumewapiga KO kila kona [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…