Kenya yashuhudia wimbi la 2 la maambukizi ya Corona Virus kutokana na wagonjwa kuongezeka

Kenya yashuhudia wimbi la 2 la maambukizi ya Corona Virus kutokana na wagonjwa kuongezeka

kwani sheria zenu zinaruhusu mtu kuingia kenya bila vigezo[emoji23][emoji23][emoji23].

na mnatakiwa kufanya nini endapo mamlaka zenu zitashika mtu sampuli hiyo???

lema hajajitanabaisha kama ni mkimbizi wa machafuko?mhanga wa vurugu za uchaguzi,au mhanga wa haki za binaadam.na serikali yenu itakuwa dhaifu sana ikikubali mtego dhaifu kama huo.

Sheria za ukimbizi tulishazitia saini, hatuna budi kumpokeza kwa UNHCR, hakuna mkimbizi hutegemewa kuwa na nyaraka zozote maana huikimbia nchi yake akiwa na mavazi yaliyo mwilini.

Fanyeni muwakamatie huko kabla hawajavuka, akishavuka ndio basi Wapinzani wa Tanzania mnaokimbilia huku Kenya mtatuchonganisha, tumieni mbinu kama za Lissu
 
Sheria za ukimbizi tulishazitia saini, hatuna budi kumpokeza kwa UNHCR, hakuna mkimbizi hutegemewa kuwa na nyaraka zozote maana huikimbia nchi yake akiwa na mavazi yaliyo mwilini.
Fanyeni muwakamatie huko kabla hawajavuka, akishavuka ndio basi Wapinzani wa Tanzania mnaokimbilia huku Kenya mtatuchonganisha, tumieni mbinu kama za Lissu

Kwahiyo mtu akishindwa uchaguzi anaingia kenya kama mkimbizi[emoji16][emoji16][emoji16].

Anyway huyo mtu sio nembo ya taifa au kivutio cha utaliii, mpeni tenti aishi hapo kenya. Siku akikumbuka ndugu zake, aje tuzungumze kwa utulivu alikimbia ukimbizi upi.
 
kwahiyo mtu akishindwa uchaguzi anaingia kenya kama mkimbizi[emoji16][emoji16][emoji16].

anyway huyo mtu sio nembo ya taifa au kivutio cha utaliii,mpeni tenti aishi hapo kenya.siku akikumbuka ndugu zake,aje tuzungumze kwa utulivu alikimbia ukimbizi upi.

Sio mara ya kwanza hao kushindwa uchaguzi, ila ndio mara ya kwanza wanaikimbia nchi, mngewaacha waishi jameni, mlishasindika kura zao, wamejaribu maandamano yakashindikana, sasa mumeachiwa kila kitu lakini bado mnawafuata kuwaua. Niliona video ya Zitto Kabwe anaeleza mlivyoua wanachama wa ACT hadi wamefikia 13.
 
Sio mara ya kwanza hao kushindwa uchaguzi, ila ndio mara ya kwanza wanaikimbia nchi, mngewaacha waishi jameni, mlishasindika kura zao, wamejaribu maandamano yakashindikana, sasa mumeachiwa kila kitu lakini bado mnawafuata kuwaua. Niliona video ya Zitto Kabwe anaeleza mlivyoua wanachama wa ACT hadi wamefikia 13.

Usiwe mjinga nawewe.

Mtu anayetaka kukuua hakupi tahadhali,huwajui wanasiasa wewe.
 
Enzi hizo tuliteseka kama namna Watanzania wanateseka leo, ila tukaamua basi, tukaibuka barabarani kila siku mabomu ya machozi na risasi na maafa, ila tukakomaa, mbele kwa mbele, kilio na mayowe vikatamalaki nchi yote, mamilioni ya watu wakaingia barabarani hadi mapolisi yakatuchoka, yakawa hayana hamu na sisi tena, Moi akakubali yaishe turekebishe nchi.

Huwa najihisi shujaa maana nilihusika na ninalo kovu mdomoni lililotokana na jeraha la kipindi hicho. Nakumbuka ilikua kama haulow damu au kuathirika kwa mabomu ya machozi ulikua unajiona wa hovyoo, kila mmoja alikua anatafuta apigwe na polisi ilmradi ajihisi amehusika kwenye kuikomboa nchi.
Acha uongo wako ww mamilioni ya watu wapi wakati ni wazungu wali wa pressurerize serikal ya moi ing'aruke madarakan ...hahaha acha kudanganya watu wa zima ww kijana
 
Acha uongo wako ww mamilioni ya watu wapi wakati ni wazungu wali wa pressurerize serikal ya moi ing'aruke madarakan ...hahaha acha kudanganya watu wa zima ww kijana

Wazungu huingilia pale mumelianzisha wenyewe na kuendeleza mzuka, sio kama ninavyoona kwenu huko wapinzani wamekaa wanasubiri wazungu wawasaidie ilhali wenyewe wamelala, watauawa sana kama ndicho wanasubiri.
 
Wazungu huingilia pale mumelianzisha wenyewe na kuendeleza mzuka, sio kama ninavyoona kwenu huko wapinzani wamekaa wanasubiri wazungu wawasaidie ilhali wenyewe wamelala, watauawa sana kama ndicho wanasubiri.
Serikal ya moi ilishutumiwa kwa kukandamiza uhuru, kumbuka kipindi cha moi wana siasa kadhaa walipoteza maisha ikihusishwa pengine na njama za kulipa visasi baada ya uteuzi wake ...kumbuka moi alisha wai kushambuliwa kipindi yu waziri,

Kipindi cha moi pia alikuwa akiwaita wadhungu mabeberu na ukizingatia kenya maskani ya wadhungu Moi aliwanyima wale wabunge wazungu nafasi za uongozi miaka yake ya awali awali
 
Hawa, wanauawa sana....

Hamna kitu hapo, umeattach hewa.
Mzee, bongo amani sana, I know ulitamani tuandamane, big majority ya watu tumeridhika na huu uongozi unaowanyima usingizi wakunya.
Circumnavigation mliyopigwa naye kwenye sgr na bomba la mafuta to name the few, that shit hurts, na ndio sababu ya wivu wenu. Na bado buda
 
Serikal ya moi ilishutumiwa kwa kukandamiza uhuru, kumbuka kipindi cha moi wana siasa kadhaa walipoteza maisha ikihusishwa pengine na njama za kulipa visasi baada ya uteuzi wake ...kumbuka moi alisha wai kushambuliwa kipindi yu waziri,

Kipindi cha moi pia alikuwa akiwaita wadhungu mabeberu na ukizingatia kenya maskani ya wadhungu Moi aliwanyima wale wabunge wazungu nafasi za uongozi miaka yake ya awali awali

Umeeleza kabisa sambamba na hali mlionayo leo hii
 
Hamna kitu hapo, umeattach hewa.
Mzee, bongo amani sana, I know ulitamani tuandamane, big majority ya watu tumeridhika na huu uongozi unaowanyima usingizi wakunya.
Circumnavigation mliyopigwa naye kwenye sgr na bomba la mafuta to name the few, that shit hurts, na ndio sababu ya wivu wenu. Na bado buda

Hao mnaowaua ni binadamu, ndugu zenu na Watanzania wenzenu ambao kosa lao lilikua kushriki kwenye haki zao za msingi, muwaacheni wahusike kweye ujenzi wa taifa.
 
Hao mnaowaua ni binadamu, ndugu zenu na Watanzania wenzenu ambao kosa lao lilikua kushriki kwenye haki zao za msingi, muwaacheni wahusike kweye ujenzi wa taifa.
Video haifunguki, can be true au false, that's visiwani, chaguzi zote huko kwao ni vita. Bara hakuna kifo hata kimoja, huko zenji, vifo havijazidi 30. Tuje kwenu, Kenya chaguzi zote, watu zaidi ya 30 hufa. Alafu you have the balls kuniambia eti hao ni watz wenzetu, kwani wakenya wenzenu hamuwauwagi vipindi vya uchaguzi. Mnajikutaga much know whilst you are worse
 
Video haifunguki, can be true au false, that's visiwani, chaguzi zote huko kwao ni vita. Bara hakuna kifo hata kimoja, huko zenji, vifo havijazidi 30. Tuje kwenu, Kenya chaguzi zote, watu zaidi ya 30 hufa. Alafu you have the balls kuniambia eti hao ni watz wenzetu, kwani wakenya wenzenu hamuwauwagi vipindi vya uchaguzi. Mnajikutaga much know whilst you are worse

Kwa mujibu wa Zitto Kabwe wanawindwa na serikali, ndio inawaua baada ya kusindika kura, mbona msiwaache waishi.
 
Kwa mujibu wa Zitto Kabwe wanawindwa na serikali, ndio inawaua baada ya kusindika kura, mbona msiwaache waishi.
Yani wasiwindwe wakiwa wabunge, waitishe maandamano hawakuwidwa, raia wakakataa kuandamana, alafu eti baada Ya wao kushindwa kote huko, na kugundua hawana ushawishi, ndio wawindwe, yani serikali iwinde watu wasio kuwa na ushawishi, wasio na support yoyote ile, wa faida gani. Wewe sababu ni mkenya na mna yale machungu, we know you'll sympathize with them, watakaa huko, watachoka watarudi kimya kimya. Uchaguzi ulofanyika, umesikia kifo chochote bara, hakuna, si mwanasiasa si mwananchi. Afu eti wanasiasa walioshindwa kura, wa kashindwa kuweka watu mitaani, ndio wawindwe. Mnachekeshaga sana.
 
Back
Top Bottom