Kenya yatajwa kuongoza kijeshi nchi za Afrika Mashariki

Kenya yatajwa kuongoza kijeshi nchi za Afrika Mashariki

Una kipimo gani cha kuamua kuwa Alshabab wamekubuhu?
Jeshi ni nidhamu na nyenzo.Sasa kwa nyenzo walizo nazo wakenya,wanapigwa na wahuni wanaotumia AK-47,hawana ndege wala vifaru,hata kama wamekubuhu vipi kama jeshi imara wanafyekwa tu
Jeshi la Kenya lina vifaa zaidi ya lakwetu, na budget ya jeshi lao imezidi ya Tanzania plus ya Uganda combined. Of course their army is better.
Kila siku wanapewa misaada ya zana za kivita ili kupigana na Shabab.
Huku pia kama jeshi lingekuwa more active wangepata experience ya kutosha
 
jeshi letu tangu vita ya kagera alijapigana na nguvu ya jeshi ni Teknolojia na muundo wa jeshi Mfano Kenya Wana special force za kupambana na magaidi,Kenya wapi somalia wanaendesha operations wenyewe
 
Issue ya Somalia imewabeba. Tuna muda xx hatujachapa watu bakora. Naomba Malawi waje waone shughul. [emoji602][emoji573][emoji574]️[emoji576]
 
Kenya wametuzidi kila kitu, tuongeze bidii ili tufikie, hongera wakenya
@Mkwepa, hapo umenena kweli. Huwezi kumpita kila mtu kwa kila jambo. Ukiona ako mbele kidogo, kubali tu, then work hard , utamfikia. If you want to succeed, you must accept where you are weak, and work on that area. Rejecting hard truth may make you happy, but is does not change the fact.
 
Hongera zao tatizo wengi wa watz sio wote hatuna mwekekeo sahihi wa kauli zetu...kwa mfano kdf walipata nafasi hiyo kwa sababu ya kuwa na zana za kisasa zaidi lakini ni vipi kama na sisi hapa tungenunua hata helicopter za urusi destroyers na pengine ndege za kisasa zaidi wangekuja watu hapa kuleta mada tofauti mara madawati, mara shule za kata hazitoshi mara njaa kali tunapaswa tujue kila kitu kina umuhimu wake...nawasilisha kwa elimu yangu ya darasa la saba nasubiri Kupewa mkoa
 
Kwa kenya tunawapongeza kwa hilo kwa kua bajeti yao ipo juu zaidi ya yakwetu,kinachosikitisha kwetu ni pale ambapo hoja za kujenga na kuimariha jehi kwa vifaa zikitolewa kuna baadhi ya wabunge watapinga kwa kuleta hoja laini kama madawati, hakuna shule ,mara madawa ,,,,hapo ndipo ugonjwa na upop wetu ulipo hadi raia wakati mwingne tunashabikia hata pumba zikitolewa za kupinga vitu muhimu,,,tunabaati sana na jeshi letu lina uimara zaidi katika majeshi ya africa ,wanajesi wetu wamepiga operation kali za kusaidia inchi nyingne na kutoa mafanikio chaya mfano mzuri m 23 wanaelewa mziki waliokutana nao ,,kitu kinachoturudisha nyuma ni vile inchi imekua ngumu kuwekeza katika jeshi vyombo vya kisasa ambavyo vitazidi kuongeza ufanisi kwa wanajeshi wetu.tusifikiri miaka nenda rudi tupo salama na majirani zetu ifike muda jeshi liangaliwe na kuboreshwa kisasa sio mpaka kuwe na dalili ya vita au chokochoko ,,,,
 
Hongera zao tatizo wengi wa watz sio wote hatuna mwekekeo sahihi wa kauli zetu...kwa mfano kdf walipata nafasi hiyo kwa sababu ya kuwa na zana za kisasa zaidi lakini ni vipi kama na sisi hapa tungenunua hata helicopter za urusi destroyers na pengine ndege za kisasa zaidi wangekuja watu hapa kuleta mada tofauti mara madawati, mara shule za kata hazitoshi mara njaa kali tunapaswa tujue kila kitu kina umuhimu wake...nawasilisha kwa elimu yangu ya darasa la saba nasubiri Kupewa mkoa
MNA vifaa vizuri sana shida hakuna askari kuna wauza mkaa Kule Kismayoo
Waambie waje waombe mechi ya kirafiki Tz...hahaha
 
Hongera zao tatizo wengi wa watz sio wote hatuna mwekekeo sahihi wa kauli zetu...kwa mfano kdf walipata nafasi hiyo kwa sababu ya kuwa na zana za kisasa zaidi lakini ni vipi kama na sisi hapa tungenunua hata helicopter za urusi destroyers na pengine ndege za kisasa zaidi wangekuja watu hapa kuleta mada tofauti mara madawati, mara shule za kata hazitoshi mara njaa kali tunapaswa tujue kila kitu kina umuhimu wake...nawasilisha kwa elimu yangu ya darasa la saba nasubiri Kupewa mkoa
Wakamuulize Kanali Bakar wa Ungazija(Anzuani).
 
ni sawa kenya kuwa juu kijeshi sababu hata kiuchumi wametuzid mbali! watz tuache bla bla kwan tulipokosea ni kuua uchumi wetu. ila wakae wakijua kuna tofauti kati ya kuzidiwa nguvu za kijeshi na mbinu za kijeshi! kwenye mbinu kenya sio level yetu kabisa..sisi ni wa level ya USA an UK
 
mm ni mTanzania Tanzani atuwezi ifananisha na kenya cc tunakila kitu lkn tuko nyuma sana kimaendeleo Tuwe wakweli tuu tusipende ubishana tufanye juhudi na cc tuwazidi wa Kenya na c vinginevyo...
 
Wapasua matofali sijui mnapinga nini. Kenya ina ndege na helicopter nyingi, vifaru vingi na bajeti yao ndio kubwa a.mashariki. hivo ndo vigezo muhimu kwenye kuangalia ubora wa jeshi.
Njooni tupige mechi ya kirafiki uone kama hatutawapasua vichwa
 
Wanatumbuliwa na wasomali Kama majipu jike
kupambana na magaidi wa alishababi co kazi ndogo ndugu acha kabisa mission za kigaidi kwendabkupambana nazo co ishu ndogo usiseme wakenya awako vzr ooh wale ni kama warabu awahofi kufa wale alishababi ww umrusi na mmarekani wanavyosumbuliwa na IS unataka sema wamarekani na rusia awako vzr kijeshi sasa kupambana na mtu ambaye ahofii kufa yy akifa anaona ni swawabu kwake uyo mtu achana nae kabisa kama ujui ishu za kijeshi bora ukaushe tuu..
 
Back
Top Bottom