Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

..Watanzania wenzangu tuzingatie kanuni hizi tatu.

1.GDP ya Kenya ni kubwa kuliko ya Tanzania.
2.The Customer is always right.
3.Tajiri au mwenye pesa hanuniwi.

..Tukielewa kanuni hizo tatu hapo juu hatutapata shida ku-deal na ndugu zetu wa Kenya.
OOooh!
Nashindwa kuelewa nilichosoma hapa! Huenda ni utani!
 
Soon ndege za Kenya zinapigwa ban hahaha
Rais wetu njoo huku umechokozwa...

........updates......
Maziwa ya unga yoka Kenya tayari yanajadiliwa kutoingizwa nchini
Unashabikia upuuzi, Kenya wana viwanda vingi vya maziwa,tofauti na nyinyi waabudu jiwe.
 
We acha uwongo,mm nalima tangia 2009 Hadi leo sijawahi pulizia Dawa ya kuuwa viwavijeshi na Wala sijaona Hilo Jambo kwa ukanda huu wa kusini.
Pili Dawa inayowekwa kila baada ya miezi 3 ndio salama zaidi kuliko Dawa zote.Hii nindawa ya vidonge inauwa wadudu kwa harufu hewa na Wala haichanganywi na mahindi ,mahindi tanakuwa yapo ktk magunia yake.Kama hujui kitu acha kulopoka !
 
Kwa sumu hiyo unauozunguzia mm mahindi yangu ninayo mpaka leo hayana
 
Hivi kazi ya mahindi ni unga pekee?
 
Are you aware that you're contradicting yourself in that short statement?
 
Tukikosa kuwatia adabu safari hii, basi tuache wafanye wanavyopenda wao..

Hii ni fursa nzuri sana waliyotoa ya kuwapa funzo wasiloweza kulisahau.

Walijaribu "Coalition of the Willing" (COW); Kikwete kawabonyeza kidogo.

Naona mara hii wamesahau, na wanakuja tena na mchezo huu wa kishamba.

Unajua kwa nini siku hizi wantapatapa hivi mara kwa mara?

They are ever getting more insecure and threatened from their self-proclaimed position of being leaders of the region.
 
And in fact you're right.

Their election cycle is around the corner, 2022, so it is about that time when they loose sense of everything.
 
Mnawaonea sana waganda.

Usidhani Tanzania mnao uwezo wa kuionea kama mnavyowafanyia waganda. Hapa mtanyooshwa tu.

Tena safari hii mmejileta vizuri sana.

Magufuli akiwaachia safari hii nitamdharau kabisa.
 
Hivi kazi ya mahindi ni unga pekee?
Zipo nyingi tu mkuu, hadi kutengeneza pombe (ethyl alcohol) inayochanganywa na petroli kwa ajili ya magari..

Ni kukosa ubunifu tu.

Mahindi kama hayo yenye mycotoxin, si yanaweza kutengeneza pombe badala ya kulisha mifugo na binaadam!
 
Zipo nyingi tu mkuu, hadi kutengeneza pombe (ethyl alcohol) inayochanganywa na petroli kwa ajili ya magari..

Ni kukosa ubunifu tu.

Mahindi kama hayo yenye mycotoxin, si yanaweza kutengeneza pombe badala ya kulisha mifugo na binaadam!
Natunajiita nchi ya viwanda.... Japo hili neno msimu huu wa pili halisikiki kabisa
 
Mihogo nayenyewe ndio balaa
 
Waganda siku zote mmezoea sana kuwaonea.

Usidhani mnao ubavu wa kuwaonea waTanzania kama mnavyowafanyizia waganda.

Hivi kwa nini hamtaki kujifunza na kuelewa hivyo?

Nakushangaa hadi hapa bado hujaona jinsi maofisa wenu walivyokosea stepu.

Hela yetu ndio inatupea jeuri ya kudeka tunavyotaka, acheni ukajanja boresheni mazao yenu kaama mnataka soko.
 
Hela yetu ndio inatupea jeuri ya kudeka tunavyotaka, acheni ukajanja boresheni mazao yenu kaama mnataka soko.

Hamna lolote, mngekua mnanunua luxury goods labda ningeona logic,
Ila mahindi !! Acha utani.

Halafu sikunyingine andika kwa kingreza Kiswahili huwezi.
 
Hamna lolote, mngekua mnanunua luxury goods labda ningeona logic,
Ila mahindi !! Acha utani.

Halafu sikunyingine andika kwa kingreza Kiswahili huwezi.

Hii picha iwafundishe kwanini hamfai kutunisha misuli kwa hili..... mtumie ubongo na busara
Kama haujui kingereza tafuta mtu akutafsirie.
 
Nyie watu wa huko ni waajabu sana.

Wanyama wa Serengeti national park wanaishi vizuri na kenya.
Especially wakati wa migration.

Ila binadamu wa huko ni ........
 

Nisije nikapigwa na mawe

 
Nyie watu wa huko ni waajabu sana.

Wanyama wa Serengeti national park wanaishi vizuri na kenya.
Especially wakati wa migration.

Ila binadamu wa huko ni ........
Hata samaki wa Ziwa Victoria
 
Itakuwa ni huko kwenu kusini mkuu ila huku kanda ya ziwa bila kupulizia huvuni kitu,
Kama kuna jamaa yako yupo huku muulizie akupe ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…