Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Kweli mkuuWazo zuri, hapo wata kuwa wame wasaidia wafanya biashara kwa hasara hiyo na pia kuyahifadhi.
kama kauli yao:Maendeleo hayana chama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuuWazo zuri, hapo wata kuwa wame wasaidia wafanya biashara kwa hasara hiyo na pia kuyahifadhi.
We are already importing maize from Zambia you nitwit. That's part of the reasons your farmers are suffering.You need toxins free maize from Zambia?
Talk to Magufuli, not Lungu.
Mark you!
No matter how angry a chicken is, it'll never kill an eagle.You people, you are lucky i am not in Magufuli's position.
If it ever happened that i were the President Of this dear country of mine at this moment, then i would
Make Sure i bleed you white of your pomposity, obstinacy and propaganda against my country and Tanzanians
Kwa hatua hii mpaka Wakenya wenzao wanawashangaaMamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imesema uchunguzi umebaini kuwa mahindi yayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa matumizi ya wakenya
Wamesema mahindi hayo yana kiwango kikubwa cha mycotoxins, hasa aflatoxins na fumonisins ambazo yanajulikana kusababisha saratani
Sumu hizo zimesababisha vifo vya wakenya wengi kwa miaka, hali iliyosababisha wachukue hatua ya kuacha kupokea mahindi kutoka Tanzania na Uganda
Aidha wamesema wataendelea kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na nchi wazoshirikiana nazo kibiashara na wanasubiri kuona washikadau wakilizungumzia tatizo hilo
==
View attachment 1718222
No matter how angry a chicken is, it'll never kill an eagle.
The chicken already bowed down.Soon we shall know who is reffered to as a chicken.
I asure u, in less than 2 days, the chicken is going to bow down and peck the spilled maize grains.
Kenya haina uwezo wa kujitosheleza katika mshindi, labda waingie kutoka sehemu nyingine na kwa mwaka huu ni Tanzania pekee katika Southern Africa food pool ndio wenye ziada ya tani 3 million.Tunapanda mahindi wenyewe na pakiwa na upungufu tunaweza kuagiza kutoka Mexico. Nyinyi hatuwahitaji sana.
Hiyo kwenu itabaki kua short term plan, the only solution ni kujilisha kwa 100% otherwise nyi mtabaki kua customers wa tzTunapanda mahindi wenyewe na pakiwa na upungufu tunaweza kuagiza kutoka Mexico. Nyinyi hatuwahitaji sana.
Rudia nilichoandika kama unajua kusoma na ni muungwana utarudi kuomba radhi.Ukweli kiaje? umeenda Maabara na kujiridhisha au unashabikia tu
mkuu tokea Covid ianze tumesuswa sijui kwanini......Nimeshindwa kuelewa kipi kimeharibu soko la mpunga maana mahindi inajulikana Zambia ila mpunga Hadi sasa sijui kuna shida gani
NaamHilo lazima litapita nilisikia juzi wakijadili kuwa tunayo na wataanza na taasisi za umma
You are so stupid as not know what is in store for you.We are already importing maize from Zambia you nitwit. That's part of the reasons your farmers are suffering.
Sawa! Sasa Tanzania ipige marufuku mazao yote ya kuliko kupelekwa kenya.Inauma, maana watu wetu wanakufa kwa saratani halafu mijinga inapokea hela ili ihakikishe ubora wa kile tunanunua kutokea kwenu huko, na kwa mlivyo wazembe mnasindika magunia tu, wala hamkai mfikirie au kutumia ubongo.
Sawa! Sasa Tanzania ipige marufuku mazao yote ya kuliko kupelekwa kenya.
Huyo umemjibu sahihi kabisa, nadhani ni mmoja kati ya wajinga tulionao hapa kwetu.Tunapanda mahindi wenyewe na pakiwa na upungufu tunaweza kuagiza kutoka Mexico. Nyinyi hatuwahitaji sana.
Waganda siku zote mmezoea sana kuwaonea.Halafu Waganda wamepiga kimya na kutafuta namna za kitaalam kukabili hii issue na kubaini ukweli, Watanzania ndio wamepiga ukunga, siku zote ukishutumiwa kwa chochote, kabla kulipuka kwa maneno mengi, shona mdomo kwanza sklizia na kujua upepo unavuma kwenda wapi.
Kwenye hili ningependa wapewe somo ambalo hawatalisahau milele.Hapa ndo huwa nampendea Magufuli aisee, huwa haniangushi kabisa, maake mzee hapigagi magoti kabisa, nafikiri tutegemee warudi wakiomba msamaha maake hawaachagi kujitoa ufaham kisha wanarejea tena wakisugua magoti na majuto yasiyo kifani, tuongoje wakati tu uzungumze.
"Sisi wakulima wa mahindi tumekwisha."Madai yanaweza kuwa kweli. Lakini si wangeiambia serikali kuwa bidhaa hii ina mapungufu fulani yarekebishwe?
Hapa kale kamchezo hakajaisha. Wataacha ya Tz watatachukua Uganda kimyakimya. Lengo ni kuitosa Tanzania.
Sisi wakulima wa mahindi tumekwisha.