Kenya yatangaza visa 8 zaidi vya corona

Kenya yatangaza visa 8 zaidi vya corona

Haujapata picha zingine za mazishi?.
Vipi unajuaje kuwa maiti hizo sio zilizotolewa taarifa. Na serikali ya Tanzania?.
Unajua wale kumi waliokufa wamezikwa wapi?
subira yaitajinga kama ni habari toka Tz. Corona kwenu usiri ndani ya usalama wa nchi. tutangoja list ya missing persons labda baada ya mwaka. kwa hivyo subra tu!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujapata picha zingine za mazishi?.
Vipi unajuaje kuwa maiti hizo sio zilizotolewa taarifa. Na serikali ya Tanzania?.
Unajua wale kumi waliokufa wamezikwa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe endelea kuchapa kazi Kariakor na Mkulu yupo Chato kajifungia.
 
Kuanzia sasa nitazitumia taarifa za Kenya kama idadi kamili ya wagonjwa walioko Tz maana sasa hivi Ummy kazuiwa kutangaza taarifa rasmi
Realistically utakuwa juha, Tanzania ni Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi + part of Malawi combined..... usiifananishe tanzania na tumikoa. Tz ni kama Giant China, much populated less infected by the global panic.
 
Kenya imetangaza visa vipya vya #CoronaVirus 8 na kufanya idadi ya jumla ya visa vilivyoripotiwa kufikia 363

Wagonjwa hao, wote hawana historia ya kusafiri kwenda nje ya nchi

Wizara ya afya imetangaza pia watu 8 waliopona na kufanya idadi ya waliopona #COVID19 kufikia 114

====

Kenya on Monday recorded eight new cases of Coronavirus.

Health CS Mutahi Kagwe confirmed Nairobi and Mombasa recorded four cases each.

This brings to 363 the total number of Covid-19 cases in the country.

Speaking at Afya House, Kagwe also announced eight more recoveries bringing those who have recovered from the virus in the country to 114.

All of the new cases are Kenyans with no travel history.

Source: Citizen Kenya
 
Back
Top Bottom