Nilikwambia kuwa kama unataka mtiririko huo wa rushwa unoge basi ufungulie uzi! Lakini naona hutaki unafungua nyuzi za kusifia tu nchi yako! Kufanya mjadala kama huo kwenye uzi mwingine ni kubaka maana ya uzi!Hebu naomba utiririke kitaalam na kudhihirisha kuwa SGR ina harufu ya rushwa na ufisadi. Tatizo nyie hukaririshwa kama kwaya kanisani.
Oya hii hapa ni ya miezi 11 hivyo bado mwezi mmoja tuliza.
Bro, yani uko cock sure that kila mradi ya maendeleo, hata kabarabara ya 2km inajengwa kwa pesa ya kukopa? Hebu kuwa serious na uache kuongea ujinga!
Ni wapi uliskia upuzi aina hii?
KURA na KRRA ni idara mbili chini ya wizara ya barabara yanayofadhiliwa na pesa za serikali ya Kenya, sio mikopo.
Mikopo Kenya imechukua kufadhili zile projects kubwa kubwa.
Kama una evidence kuhusu haya madai yako, yatoe. Lakini sio kukurupuka kipuzzi namna hii!
Tumia muda wako kaka kujielimisha kuhusu bajeti yetu, haina maana utoe tamko ambalo hujalifanyia uchunguzi wala utafiti, kwa taarifa yako barabara nyingi tumegharamia kwa hela zetu, jadili mada kitaalam, takwimu kwa takwimu.
Halafu kama jinsi tumejaribu kuwaelimisha, kwamba miradi ambayo ipo kwenye ratiba ni mingi kiasi ambapo lazima tukope, hamna nchi yoyote dunia hii isiyokua na mikopo. Juzi hapo kwenu mumeongeza mkopo kwenye kupanua bandari, huwa hamulioni likiwa kwenye macho yenu.
Nilikwambia kuwa kama unataka mtiririko huo wa rushwa unoge basi ufungulie uzi! Lakini naona hutaki unafungua nyuzi za kusifia tu nchi yako! Kufanya mjadala kama huo kwenye uzi mwingine ni kubaka maana ya uzi!
Sisi kama tulitoa hizo shutuma, anzisha uzi utuite tuje tujadili kwa kina huko!
Hili kwa kweli ni jambo la kutia moyo maana likija kwenye suala la uzalendo, Wakenya tupo mbele, tatizo ni viongozi wanatuangusha tu. Hongera kwa kila mlipa kodi, japo KRA hawakufikisha malengo lakini kilichosalia kitakusanywa kwa mwezi mmoja uliobakia.
Kuna wadau humu ndani walibashiri kuipita Kenya ndani ya mwaka mmoja, sasa ikiwa makusanyo yetu ya kodi ni sawia na ukiunganisha na kujumuisha bajeti za nchi kadhaa EAC, hapo inakuakuaje........
----------------------------------------------------------------------------------------------------
Total tax collections in 11 months ended May 31 reached a record Sh1.114 trillion, official exchequer data shows, a growth of 12.77 per cent over Sh987.85 billion collected in the same period last year.
The Kenya Revenue Authority will, however, have to collect Sh153 billion this month to hit the revised full-year target of Sh1.267 trillion set by the National Treasury.
The taxman missed the Sh1.161 trillion target for 11 months on pro rata basis by 4.05 per cent, despite netting Sh124.06 billion in May since collections for the July-April period were Sh989.94 billion.
The Statement of Actual Revenue and Net Exchequer Issues, published by the Treasury CS Henry Rotich in the Kenya Gazette on Friday, shows that total government revenue between July 2016 and May 2017 hit Sh1.764 trillion.
That was a 9.98 per cent growth compared with Sh1.588 trillion a year ago.
The Treasury has a full-year revenue target of Sh2.054 trillion for 2016-17 – meaning the government will have to find some Sh290 billion this month to hit the target, having missed it by 6.27 per cent in 11 months ended May 31.
Tax collections accounted for 63.15 per cent of the total revenue generated by the government in the review period.
Non-tax income rose by 24.70 per cent year-on-year in the 11 months to Sh41.90 billion, but hugely under-performed a target of Sh95.61 billion on a pro-rated basis, given the full-year target of 104.30 billion.
Commercial loans to the government surpassed the revised Sh186.04 billion target for 12 months to stand at Sh186.30 billion in 11 months ended May 31 – Sh111.97 billion more than the Sh74.33 billion borrowed the year before. The target was revised upwards from Sh153.78 billion in the printed budgetary estimates.
“Following Kenya’s elevation to lower middle income economy status in September 2014, recourse to borrowing on commercial and semi-concessional terms has increased while that on concessional terms has declined,” the Central Bank of Kenya said in the quarterly Economic Review for October-December released on April 18.
Net domestic debt was Sh312.01 billion in the review period, 19.65 per cent shot of the Sh388.34 billion on a pro rata basis which reflects the decision by the CBK to reject “expensive” debt offers.
The full-year target from domestic borrowing is Sh423.65 billion.
Grants from the peacekeeping African Union Mission in Somalia rose by 21.44 per cent to Sh5.21 billion from Sh4.29 billion the year before. The Treasury targets Sh6.44 billion from Amisom by end of the month.
Other sources of revenue included loans from foreign governments and international organisations at Sh24.93 billion, 10.06 per cent more than Sh22.65 billion last year.
KRA nets a record Sh1.114tn in 11 months but misses target
....Hiyo ni sawa na TZS ngapi?
Hahahahahahaa watatanagaza hewa?hiyo ya kenya hapo ukiconvert to tzs si ni trlioni 20+?Huku kwetu wao wameacha hata kutangaza
Whether Neptune or Jupiter, twende na mada!Kwani wewe umetokea sayari gani maana hili la SGR tulilijadili humu takwimu kwa takwimu Wabongo mkaishia kubeza tu.
Subiri nikipata fursa nitalianzisha au nifukue hizo nyuzi.
Hiyo pesa yote itapotelea kwenye Matumbo makubwa ya Wakikuyu na Wakalenjini.Hili kwa kweli ni jambo la kutia moyo maana likija kwenye suala la uzalendo, Wakenya tupo mbele, tatizo ni viongozi wanatuangusha tu. Hongera kwa kila mlipa kodi, japo KRA hawakufikisha malengo lakini kilichosalia kitakusanywa kwa mwezi mmoja uliobakia.
Kuna wadau humu ndani walibashiri kuipita Kenya ndani ya mwaka mmoja, sasa ikiwa makusanyo yetu ya kodi ni sawia na ukiunganisha na kujumuisha bajeti za nchi kadhaa EAC, hapo inakuakuaje........
----------------------------------------------------------------------------------------------------
Total tax collections in 11 months ended May 31 reached a record Sh1.114 trillion, official exchequer data shows, a growth of 12.77 per cent over Sh987.85 billion collected in the same period last year.
The Kenya Revenue Authority will, however, have to collect Sh153 billion this month to hit the revised full-year target of Sh1.267 trillion set by the National Treasury.
The taxman missed the Sh1.161 trillion target for 11 months on pro rata basis by 4.05 per cent, despite netting Sh124.06 billion in May since collections for the July-April period were Sh989.94 billion.
The Statement of Actual Revenue and Net Exchequer Issues, published by the Treasury CS Henry Rotich in the Kenya Gazette on Friday, shows that total government revenue between July 2016 and May 2017 hit Sh1.764 trillion.
That was a 9.98 per cent growth compared with Sh1.588 trillion a year ago.
The Treasury has a full-year revenue target of Sh2.054 trillion for 2016-17 – meaning the government will have to find some Sh290 billion this month to hit the target, having missed it by 6.27 per cent in 11 months ended May 31.
Tax collections accounted for 63.15 per cent of the total revenue generated by the government in the review period.
Non-tax income rose by 24.70 per cent year-on-year in the 11 months to Sh41.90 billion, but hugely under-performed a target of Sh95.61 billion on a pro-rated basis, given the full-year target of 104.30 billion.
Commercial loans to the government surpassed the revised Sh186.04 billion target for 12 months to stand at Sh186.30 billion in 11 months ended May 31 – Sh111.97 billion more than the Sh74.33 billion borrowed the year before. The target was revised upwards from Sh153.78 billion in the printed budgetary estimates.
“Following Kenya’s elevation to lower middle income economy status in September 2014, recourse to borrowing on commercial and semi-concessional terms has increased while that on concessional terms has declined,” the Central Bank of Kenya said in the quarterly Economic Review for October-December released on April 18.
Net domestic debt was Sh312.01 billion in the review period, 19.65 per cent shot of the Sh388.34 billion on a pro rata basis which reflects the decision by the CBK to reject “expensive” debt offers.
The full-year target from domestic borrowing is Sh423.65 billion.
Grants from the peacekeeping African Union Mission in Somalia rose by 21.44 per cent to Sh5.21 billion from Sh4.29 billion the year before. The Treasury targets Sh6.44 billion from Amisom by end of the month.
Other sources of revenue included loans from foreign governments and international organisations at Sh24.93 billion, 10.06 per cent more than Sh22.65 billion last year.
KRA nets a record Sh1.114tn in 11 months but misses target
Unasubiri mpaka utangaziwe? Kwa nini usisome huko inakoandikwa? Nenda tovuti ya BOT utaiona!Na mda mrefu sana hawajatutangazia tulinganishe na ya kwetu
Tax collections haiwezi kuwa constant kwa miaka yote hyo 12 as u suggest!Great news ....in 10yrs ae will have collected close to 150bn$ for development assuming it remains constant probably 200bn$ in 12yrs
We just need people driven poicies that will benefit Kenyans
Cause in the same 10yrs we will have read a collective 300bn$ + budget or thereabout!!
Wooow Kenya 10yrs from now will be something else [emoji122][emoji122][emoji122]