Kenya yatia rekodi mpya kwenye ukusanyaji wa kodi na kufikisha KSh1.114 trillion

Kenya yatia rekodi mpya kwenye ukusanyaji wa kodi na kufikisha KSh1.114 trillion

Hiyo deni imeongezeka juu ya hizi miradi midogo? Unaelewa unachozungumzia hapa?

Kenya tops East Africa with mega infrastructure projects

Kenya haiwezi kuchukua madeni eti kijenga barabara ya 100km.
Nilikuuliza unieleze kama Tz haina mipango ya kuborrow pesa za Sgr, bandari na pipeline pamoja na miradi ya juweka pumps na plants za gesi. Haukunijibu.

Tutakopa lakini hatutafikia deni lenu, kumbuka kuwa nyie mnakusanya kodi kubwa kuliko sisi. Swali la kujiuliza, kwa nini lazima mkope kama sisi kila mradi wakati mna mapato makubwa? Bila shaka mirija yenu ya mapato imeelekea Kiambu, Murang'a na Eldoret.

Kenya haiwezi kuchukua madeni eti kujenga barabara ya 100km. Really?

Natoa orodha ndogo tu ya miradi ya barabara za km chache mlizokopa pesa.

1. Construction to Bitumen Standards of Meru Bypass Roads km 23 (Ksh 2,391,755,277.10 World Bank)
2. Nairobi Outering Road Improvement Project km 13 (Ksh 7,395,183,298.13 AfDB)
3. Dualling of Ngong Road Phase I (KNLS Nairobi-Dagoretti Corner) km 2.5 (Yen 1,454,900,000 Japan)
4. Dualling of Ngong Road Phase II (Yaya Centre-Dagoretti Corner) km 3 (Japan)
 
Tutakopa lakini hatutafikia deni lenu, kumbuka kuwa nyie mnakusanya kodi kubwa kuliko sisi. Swali la kujiuliza, kwa nini lazima mkope kama sisi kila mradi wakati mna mapato makubwa? Bila shaka mirija yenu ya mapato imeelekea Kiambu, Murang'a na Eldoret.

Kenya haiwezi kuchukua madeni eti kujenga barabara ya 100km. Really?

Natoa orodha ndogo tu ya miradi ya barabara za km chache mlizokopa pesa.

1. Construction to Bitumen Standards of Meru Bypass Roads km 23 (Ksh 2,391,755,277.10 World Bank)
2. Nairobi Outering Road Improvement Project km 13 (Ksh 7,395,183,298.13 AfDB)
3. Dualling of Ngong Road Phase I (KNLS Nairobi-Dagoretti Corner) km 2.5 (Yen 1,454,900,000 Japan)
4. Dualling of Ngong Road Phase II (Yaya Centre-Dagoretti Corner) km 3 (Japan)


My friend! You are lying!!!!

None of those roads is less than 10km. Nairobi Outering Road for example is 14km.
Ngong Roas is 19km

Those roads are massive with several lanes, overpasses and underpassea, footbridges etc, just like the Thika Superhighway, Southern Bypass, Nothern Bypass, Forest Road, Limuru Road or Langata.

Lakini je, ni kweli hizi barabara zote zinajengwa na borrowed funds? Hapo umetaja tu zile barabara za kisasa. Nafkiri tulikuea tunazungumzia zile barabara za kawaida.

 
Bora umesema wewe, nikisema mimi MK254 na Iconoclastes wananiona mbaya.
It is not true that hio pesa yote hayapati matumizi hapa nyumbani. Kuna vitu vingi hizo pesa zinagharamia. Mfano; masomo ya bure, miradi mingine ya maendeleo, medical services in public hospitals are partly surbsidized, food, public service salaries etc.

Mkisoma budgeti ya serikali @jay254watt, u can see what the things thia money is being expended on.
 
Tuanze tu na elimu

Bajeti ya Kenya kwa elimu ni $2Billion ya mwaka huu... Literacy iko karibu kingia 90% of population.

Tanzania na population kubwa zaidi ya kenya bajeti ya Elimu ni $600 Million, literacy bado iko
 
Litaracy tanzania bado iko asilimia 70 huko... Tofauti ya huyo bajeti za elimilu pekee ni $1.4Billion, hio inatosha kujenga madaraja 5 kama ile ya kigamboni, au barabara mpya zizazofika kila kona ya Kenya.... Lakini kama wakenya tukachagua yote hio inaenda kwa elimu manake ni muhimu zaidi kuliko kina SGR au barabara..
Ukiangalia pesa zinazotumika kujenga mahospitali mpya za Level 5 kwa kila jimbo pamoka na vifaa vinavyonunuliwa vya hizo hospitali ni zaidi ya bajeti yote ya afya ya Tanzania!

Alafu kama mazuzu mnakuja hapa kutuuliza kwanini katulipii kila kitu wenyewe? Endeni mkasoneshe wananchi mwanzo alafu ndo mrudi,
 
trump juzi kawapunguzia msaada kwenye afya kisa ufisadi wamelia weee
swali la msingi izo data mnamfurahisha nani uku bado mnalilia misaada na kukopa juu.
jidanganyeni tu kama cc tulivyokuwa tunadanganywa na izo data
 
It is not true that hio pesa yote hayapati matumizi hapa nyumbani. Kuna vitu vingi hizo pesa zinagharamia. Mfano; masomo ya bure, miradi mingine ya maendeleo, medical services in public hospitals are partly surbsidized, food, public service salaries etc.

Mkisoma budgeti ya serikali @jay254watt, u can see what the things thia money is being expended on.
kweli bro ila tuweke patriotism kando tu kidogo....I love Kenya very much just like u....but out of 10 Blillion USD, imagine we cannot build the stadiums, light rail, and more power plants? just 1 Billion USD can build five modern stadiums....light rail na power plant ichukue another 1 billion USD....total ni 2 Billion....yaani tuekosa hizo pia? juzi wamesema watalipia wanafunzi wa secondary wote fees...je hizi pes zimetok wapi all over sudden...kumbuka walikuwa wanasema eti pesa hazitoshi ndio maana ni lazma wapunguze wage bill....sasa hivi kwasababu ya uchaguzi pesa za kulipia watoto shule zimepatikana kimaajabu....yaani tunachezwa sana...
 
kweli bro ila tuweke patriotism kando tu kidogo....I love Kenya very much just like u....but out of 10 Blillion USD, imagine we cannot build the stadiums, light rail, and more power plants? just 1 Billion USD can build five modern stadiums....light rail na power plant ichukue another 1 billion USD....total ni 2 Billion....yaani tuekosa hizo pia? juzi wamesema watalipia wanafunzi wa secondary wote fees...je hizi pes zimetok wapi all over sudden...kumbuka walikuwa wanasema eti pesa hazitoshi ndio maana ni lazma wapunguze wage bill....sasa hivi kwasababu ya uchaguzi pesa za kulipia watoto shule zimepatikana kimaajabu....yaani tunachezwa sana...
We have immediate concerns to deal with first, and 10 billion $ is not sufficiently enough to cater for all these expenses.

Indeed it is bcos of our ability to raise such collosal amounts of money; thru taxes, as well as sales of our commodities and services abroad (and the cash flow is improving each year) that has given our country the confidence to borrow funds abroad in order to concurrently undertake the so many mega- projects that u can see are going on around the country.

Kenya can quite comfortably afford these loans, I see no reason why u should fret over that.

You complained that the govt wage- bill is huge, esp bcos of all the so many elected officials taking away huge salaries and perquisites, but what is the govt supposed to do¿

Yes, Kenya can afford to build the light rails, stadiums, highways etc, but at what expence? Something has to give. That would mean no subsidizedd govt serviced like education or health services; the govt would have to handle only one or two construction projects at a time, (with one project taking at least two years to complete); the public servants would have to agree to have their salaries reduced, and should understand when they miss it on occassions; taxes would have to be raised a little bit more, old loans still have to be repaid.......

Can Kenya really function like that? Cmon Jay, even the wealthiest countries borrow. I see not why u find the idea of Kenya taking loans objectionable.
 
kweli bro ila tuweke patriotism kando tu kidogo....I love Kenya very much just like u....but out of 10 Blillion USD, imagine we cannot build the stadiums, light rail, and more power plants? just 1 Billion USD can build five modern stadiums....light rail na power plant ichukue another 1 billion USD....total ni 2 Billion....yaani tuekosa hizo pia? juzi wamesema watalipia wanafunzi wa secondary wote fees...je hizi pes zimetok wapi all over sudden...kumbuka walikuwa wanasema eti pesa hazitoshi ndio maana ni lazma wapunguze wage bill....sasa hivi kwasababu ya uchaguzi pesa za kulipia watoto shule zimepatikana kimaajabu....yaani tunachezwa sana...

There are priorities to consider, what is the need for 5 stadia while all schools need to be electrified, hospitals need to be equipped, government workers have to be paid, mostly money in kenya is used for recurrent expenditure, most of those you are mentioning are also recurrent hence it will be an overload. A cheap and viable capital expenditure at a time would do so that some crucial requirements are not compromised.
 
Back
Top Bottom