Kenya yatoa misaada ya teknolojia kwa nchi 5 za Afrika

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Wanaosema kwamba Kenya inaomba omba chakula na kutegemea msaada kutoka nchi za ulaya. Tazameni hapa Kenya ikitoa msaada wa teknolojia. Tunapatia nchi 5 za Africa tablets 45,000 ili kuwasaidia kufanya census yao kidijitali. Isitoshe tutawafunza jinsi ya kufanya census kidijitali. Sisi hatutoi msaada wa mahindi kama nyinyi mnavyofanya, sisi tupo advanced kiteknolojia ndio maana tunatoa misaada ya kiteknolojia. Nyie malezi endeleeni kutoa misaada ya chakula huku sisi tukitoa misaada ya teknolojia.




 

Ambassadors wa nchi hizo tano wakipokea tablets ili kuwawezesha kuhesabu idadi ya raia wao kidijitali.

Nchi 5 zilizopokea misaada ni South Sudan, Sierra Leone, Botswana, Mauritius na Liberia. Nadhani kila nchi ilipokea tablets 15,000 maana jumla ya tablets zilizotolewa na Kenya kama msaada ni 45,000


Watapokea pia masomo ya jinsi ya kutumia vidude hivi hususan jinsi ya kutumia software ya kuhesabu watu.


Huyu hapa juu ni Ambassador wa Sudan Kusini akitoa shukrani kwa niaba ya nchi zingine zilizopokea misaada.
 
Hahaaaa jamaniii
Kenya ndio imepewa huo msaada acheni kudanganya.
 
Where is the official news? Even if the case, Nina uhakika mmeazimisha as hamna uwezo wa kufanya donation!
Hii ni tweet ya KNBS ambayo ni body ya kiserikali ambayo moja baina ya jukumu lake ni kuhesabu idadi ya Wakenya. Sasa mbona body ya kiserikali idanganye? Watafaidika vipi kwa kudanganya? Sasa kama huamini tweet ya Kenya National Bureau of Statistics basi wewe ndio una tatizo.

 
Hahaaaa jamaniii
Kenya ndio imepewa huo msaada acheni kudanganya.
Malazy mna wivu sana kwenye uzi huu. Mezeni wembe mkipenda au kalilieni chooni. Sisi tunatoa misaada ya teknolojia huku nyinyi mkitoa misaada ya chakula. Kujeni tuwape mafunzo jinsi ya kutumia teknolojia hii.
 
Malazy mna wivu sana kwenye uzi huu. Mezeni wembe mkipenda au kalilieni chooni. Sisi tunatoa misaada ya teknolojia huku nyinyi mkitoa misaada ya chakula. Kujeni tuwape mafunzo jinsi ya kutumia teknolojia hii.
tanzanian imetoa wapi msaada wa chakula?
 
Sasa mbona mnaombagaombaga chakula enyi wazee wa data uchwara? Mshawahi ona sisi tunasaidiwa chakula na Kenya?

Nchi ambayo even availability of food is not constant (facing food insecurity) mnakuja kujipambanua hapa na teknolojia.

Nchi ambayo mnaongoza kufa kwa kipindupindu! [emoji1][emoji1]
 
🤣🤣🤣 nasikia mmeomba KSH 34B kutoka IMF.We we endelea kuchekesha watu wewe mwenyewe huko shallow upande wa tech,wananchi wanatembelea rim alafu ndio utoe msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…