Hakuna matunda wala nini, bado mtaendelea kuchaguana kwa ukabila tu. Maajabu ya dunia, mdhamini mkuu wa kundi la kigaidi la Wakikuyu (Mungiki), Uhuru Kenyatta kuwa Rais wa kenya. Hatuna cha kujifunza toka kwenye siasa zenu, nyinyi endeleeni na vurugu zenu za kikabila.Usiishie kwenye kupost links za vurugu baina ya polisi na waandamanaji tu, endelea kupost link zote hadi za matunda ya hayo maandamano pia. Baada ya hayo maandamano, leo hii makamishna wanakwenda nyumbani na wataajiriwa wengine kwa kuzingatia utaratibu wa makini sana. Usipojifunza kitu hapo, basi una matatizo.
Hakuna matunda wala nini, bado mtaendelea kuchaguana kwa ukabila tu. Maajabu ya dunia, mdhamini mkuu wa kundi la kigaidi la Wakikuyu (Mungiki), Uhuru Kenyatta kuwa Rais wa kenya. Hatuna cha kujifunza toka kwenye siasa zenu, nyinyi endeleeni na vurugu zenu za kikabila.
Mkikosa hoja za msingi mnakimbilia kwenye ukabila.akili za kupumbavu kabisa hizi.Huijui Kenya wewe, picha za Uhuru na kelele za Wakikuyu mitandaoni zinakudanganya.
Umempa za uso mpaka naogopa yani.Usiishie kwenye kupost links za vurugu baina ya polisi na waandamanaji tu, endelea kupost link zote hadi za matunda ya hayo maandamano pia. Baada ya hayo maandamano, leo hii makamishna wanakwenda nyumbani na wataajiriwa wengine kwa kuzingatia utaratibu wa makini sana. Usipojifunza kitu hapo, basi una matatizo.
hawaruhusiwi kutoa info kama hizo, kutwa kuficha ukweli, inafika mahali nchi iko kwa hali ya sintofaham na bila data kwa kila jambo, utaweza songa mbele kweli?That is a kenyan article that seeks to document killings by police, and tries to compare it with known countries which have that vice....... as part of a campaign for the government to be more acountable...
hebu sasa tuonyeshe media moja yenu ambayo inaeza tubutu ku expose askari jeshi vibaya kama hivyo bila hio media station kufungwa kabisa na kunyimwa leseni ya utangazaji
Nyumbu usiye na akili.Mkikosa hoja za msingi mnakimbilia kwenye ukabila.akili za kupumbavu kabisa hizi.