Subiri this July au August kikifunguliwa utaujua ukweli,Twyford Tile Industries in Kenya is the largest tile factory in the whole of Africa my friend! Located in Kajiado Kenya. Check the facts and come again
Wabongo si muwe mnasoma before hamjacomment hebu ona chenye umeandika sasaAnaenda kuzindua kiwanda chake..
My friend. Kenya inaongoza si Africa tu bali 'developing countries' kwa unywaji wa maziwa yani milk consumption per capitaSio kikubwa Africa [emoji288] Mashariki
Labda uko kwenu Kenya ndio kikubwa
Aisee ndugu uongo wa nini ??akisema hivyo hatakuwa anadanganya kwani Two rivers mall ndio mall kubwa afrika nzima nje ya Afrika Kusini..yaani ndio mall kubwa kabisa imeshinda nchi kubwa kubwa kama Egypt, Algeria, Morocco, Nigeria na zingine zote except SA......
Lingine mall kubwa kushinda hilo la kwenu ni morocco mall....akisema hivyo hatakuwa anadanganya kwani Two rivers mall ndio mall kubwa afrika nzima nje ya Afrika Kusini..yaani ndio mall kubwa kabisa imeshinda nchi kubwa kubwa kama Egypt, Algeria, Morocco, Nigeria na zingine zote except SA......
meant sub sahara africaAisee ndugu uongo wa nini ??
Unasema two river side ndio mall kubwa baada ya SA, ndugu kuna mall kubwa egypt mara tatu la hilo la kenya linaitwa cairo festival city mall. Na liko lengine kubwa sana liko Morocco.
Mara nyengine usipendelee kuleta uongo hapa sawa.
Hapo nakubaliana na wewe 100%meant sub sahara africa
Kenya Uganda Somalia Sudan Chad Tanzania Rwanda Botsaana Namibia Lesotho Swazi Malawi Mozambique Mauritius Nigeria Ghana Tunisia Libya..Two river mall ni kubwa uko Kenya sio Africa yote
Izo toa na jumlisha zako sasa Ni dramaKenya Uganda Somalia Sudan Chad Tanzania Rwanda Botsaana Namibia Lesotho Swazi Malawi Mozambique Mauritius Nigeria Ghana Tunisia Libya..
Yaani Sub Saharan Africa Utoe South Africa
Ama Africa Yote Utoe
Morocco
Egypt na
Algeria
π π π aisee kuwa mwalimu ndani ya danganyika ni tabu tupu. yaani 1+1 =2,,, kwanini isiwe 11? haaya leta vijitiIzo toa na jumlisha zako sasa Ni drama
jibu ni rahisi tu ni mall kubwa Kenya
Mnajipa kazi kuongea maneno mengi kwa maana ya kitu kidogoπ π π aisee kuwa mwalimu ndani ya danganyika ni tabu tupu. yaani 1+1 =2,,, kwanini isiwe 11? haaya leta vijiti