....good question...Ukishajua hilo kabila la wezi Kenya utafaidika nn ?
mfumo wa kiutawala tanzania ni wa kipekee sana.makabila makubwa kwa maana ya ukubwa wa idadi ya watu,hayakupewa nafasi ya kushika dola.
hii ilileta unafuu sana na inafaida kubwa kwa mustakabali wa nchi.
nyerere alitoka katika kabila dogo la wazanaki,kaskazini mwa tanzania.
mwinyi alitoka katika jamii ndogo ya waswahili wenye asili ya pwani ya tanzania
mkapa alitoka katika jamii ndogo ya kabila la wamakonde kusini mwa tanzania.
kikwete alitoka katika jamii ndogo ya wakwere,pwani ya tanzania.
magufuli ametoka katika jamii ya wasukuma.hata hivyo japo ni wengi kiidadi,haitarajiwi uwingi wao ulete athari katika umoja wa watanzania.
Wakikuyu ndo wameanza kujifunza kula samaki juzi juzi tu!Kwahiyo Wakikuyu kwenye samaki ni kama Wamasai maana na wao hawali samak
hawajui wahaya wewe!ninachowapendea wahaya ni kitu kimoja tu.sio wachoyo.wanajua sana kum-treat mgeni.
hawataki ukiondoka uondoke na sifa mbaya kuhusu wao.yupo radhi azidishe hata matumizi ya fedha kuku-treat ili sifa yake ibaki pale pale.
wanapopata nafasi ya kusoma,hawaichezei,wanasoma kwa bidii sana.
atahakikishaana anamaliza masomo na kupata marks nzuri katika mitahani.
bado sijaelewa hasa point yako ni nini.Good Argument, Wrong Phrasing.
Kikubwa Tanzania ni kwamba viongozi hawakupewa nafasi ya kushika dola pamoja na makabila yao. Inawezekana viongozi wazuri walitoka kwenye haya makabila madogo kwa wakati huo. Kiongozi aliingia madarakani binafsi kwa kuinufaisha chama. Effectively chama ndio kabila Tanzania, ambacho ni kitu kizuri kwa sababu ni vigumu sana kumbagua mtu kwa chama chake (*debatable).
Kusema kuwa "makabila makubwa hayakupewa nafasi ya kushika dola..." ina maana kuwa huko nyuma, kiongozi mzuri angepatikana kutoka kabila kubwa (jambo ambalo limekuja kutokea katika awamu ya sasa....) asingeruhusiwa kushika dola.
ndg yangu naona umevurugwa rafik yangu tangu lini ukamwona mhaya tozi au sharobaro?Hahahaha wajaluo ni kama wahaya na wakikuyu ni kama wachaga
Heshima pesa
namainisha wameru wakenya...niliwahi date na binti mmoja toka ukoo wa kagweria...kagweria ni jina common among merus of mount kenya.
Kwahiyo unasemaje mkuu.. Ukabila na ukanda haupo awamu hii?Good Argument, Wrong Phrasing.
Kikubwa Tanzania ni kwamba viongozi hawakupewa nafasi ya kushika dola pamoja na makabila yao. Inawezekana viongozi wazuri walitoka kwenye haya makabila madogo kwa wakati huo. Kiongozi aliingia madarakani binafsi kwa kuinufaisha chama. Effectively chama ndio kabila Tanzania, ambacho ni kitu kizuri kwa sababu ni vigumu sana kumbagua mtu kwa chama chake (*debatable).
Kusema kuwa "makabila makubwa hayakupewa nafasi ya kushika dola..." ina maana kuwa huko nyuma, kiongozi mzuri angepatikana kutoka kabila kubwa (jambo ambalo limekuja kutokea katika awamu ya sasa....) asingeruhusiwa kushika dola.